Na kweli ukutaka kuwa fundi nunua gari bovuGari iliyochoka ndio nzuri kuanzia sababu inakuwa Na matatizo kibao unaujua umakenika Bila kwenda chuo mara breki zimepitwa,mara inachemsha ,nk ukija nunua mpya Kila kitu unajua huhitaji fundi wa kukwambia.Hao waliotoa zawadi naona wamelizangatia hilo. Cha umuhimu atembee Na box la spana namba zote
Lakini ni wangapi walitaka kuwa mafundi wakaanza kwa kununua magari yao binafsi mabovu? Sawa hao ni kwa wale wanaotaka kuwa mafundi lakini na hao mabinti wanataka kuwa mafundi makenika?Na kweli ukutaka kuwa fundi nunua gari bovu
[emoji12] [emoji12] [emoji12] ilo liko waziunaweza kuta hata kufika hapo ilivutwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]unaweza kuta hata kufika hapo ilivutwa
Na kunyosha hapo kwenye tairi palipogongwawameshindwa hata kudanganya danganya kwa kuzipiga Rangi
Ina engine ya Land Rover 109Daaadakiiiii.....hiyo ikiingia kwa road tu afande anayo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]unaweza kuta hata kufika hapo ilivutwa
kulijaza taifa.Ili waje kulisaidia nini taifa?