Hii ndio gari KABAMBE atakayopewa Mshindi wa shindano la urembo MISS LAKE ZONE

Hii ndio gari KABAMBE atakayopewa Mshindi wa shindano la urembo MISS LAKE ZONE

Gari iliyochoka ndio nzuri kuanzia sababu inakuwa Na matatizo kibao unaujua umakenika Bila kwenda chuo mara breki zimepitwa,mara inachemsha ,nk ukija nunua mpya Kila kitu unajua huhitaji fundi wa kukwambia.Hao waliotoa zawadi naona wamelizangatia hilo. Cha umuhimu atembee Na box la spana namba zote
Na kweli ukutaka kuwa fundi nunua gari bovu
 
Na kweli ukutaka kuwa fundi nunua gari bovu
Lakini ni wangapi walitaka kuwa mafundi wakaanza kwa kununua magari yao binafsi mabovu? Sawa hao ni kwa wale wanaotaka kuwa mafundi lakini na hao mabinti wanataka kuwa mafundi makenika?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukisikia "Mshindi wa Miss Lake zone akataa zawadi" basi usishangae.
 
Hii si ilikuwa bodi kwa mangi pale buzuruga, kumbe iliisha
 
Wanaosimamia mashindano na wasanii hivi ndio wanatakiwa kusimamia sio kwenda uwanjani kumvizia Diamond akiondoka bila kibali hilo ni gari la kumpa mshindi bora lingekua aina hiyo ila jipya kwani jipya ni shilingi ngapi mpaka mtoe hicho mnatudhalilisha hata tusiousika bhana...
 
Back
Top Bottom