Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #61
Wahuni wananunua Jimbo.Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Hehe mtawekwa chupa kwenye mipododo kama wa kuleWiki Ijayo tutakuwa Chalinze ili kuona Maendeleo ya hapo , Maana Mbunge wake anayeitwa Riziwan Kikwete naye alipita bila kupingwa , tutafika Rwangwa na Mtama
Hatujawahi kuogopa kulogwa
Tena bila hata ya kutegemea serikali kuu,wilaya itabakiwa na mbunge mmoja tu(sio 3),mbunge huyu atapewa ziara ya kuitangaza wilaya hii ujerumani na Switzerland 🇨🇭,kitu cha kwanza ni kuitengeneza ile pass kwa juhudi za wananchi na kuongea na jiji la Capetown wapeleke wataalamu wa kujenga hizi pass (western province ndani ya SA kumejengwq pass mpaka unafurahi kuziona),pass hii itakua na look out nyingi tu,watalii kutoka ujerumani na Switzerland wataanza kuja kwa wingi na ndio watatoa ajira za kujiajiri kwa vijana wa Lushoto (kila watalii 14 kuna one job opportunity),Switzerland watasaidia kujenga zile cable cars,within 3 yrs Lushoto kutasimama,kwa sasa ni huzuni kubwa kuona nguvu kazi ya vijana inapotea na wamejikatia tamaa ya kuishiNi wakati wenu Chadema kuchukua jimbo muweke lami!
Shetani hajawahi kumshinda MunguHehe mtawekwa chupa kwenye mipododo kama wa kule
Umeeleza vizuri. Lakini kwa nini kila kitu cha maendeleo katika wilaya au halmashaurI tusubiri fedha/uamuzi kutoka serikali kuu/hazina. Kama ni hivyo kwa nini tuna wakuu wa wilaya na ma-ded. Na mchango wa wananchi utaonekana wapi. Tusilaumu Waziri Makamba. Inawezekana tatizo ni kubwa kuliko uwezo wake hata kama ana nia nzuri. Tutafute chanzo cha tatizo hilo badala ya kulaumu/kushutumu watu.EEEeeenHEEEeee. Mkuu 'Nkanini', ni kweli Lushoto ina mandhari ya Kiswiss kama ulivyo eleza; lakini kwa vitu hivyo ulivyotaja hapo, nadhani utakuwa unawaonea bure hao wabunge (siwatetei). Miradi ya namna hiyo ni ya serikali kuu, wizara husika buka alivyowachomea utambi watangulizi wake?
Makamba ni kiongozi. Kiongozi akishindwa kusimamia, hasa aliyo ahidi kuwa atayafanya, lawama itamwangukia, hata kama kushindwa kwake kulikuwa nje ya uwezo wake.Tusilaumu Waziri Makamba. Inawezekana tatizo ni kubwa kuliko uwezo wake hata kama ana nia nzuri. Tutafute chanzo cha tatizo hilo badala ya kulaumu/kushutumu watu.
Eti kwamba CHADEMA ndio ije kujenga Ofisi zake kwa siku 14 baada ya kushika madaraka? Mbula. Ina maana gani hiyo?CCM haijawahi kumiliki ofisi,imepora,
Itawezaje kujenga barabara kweli?
Ukiona umepita bila kupingwa wewe ni zuzuMara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Ukisoma vizuri, kwa kutulia utaona nimeandika kwamba mbunge hupeleka taarifa ili serikali ikatatue, hata barabara nimetaja.Hao wakazi ndio wanaojenga Barabara? Au Serikali huweka miundombinu ili kuchochea maendeleo?
Dah wewe uliyeleta uzi ni mchawi chawi kabisa. January hahusiki na mabarabara kabisa.Mara baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge Mheshimiwa January Makamba aliweka utaratibu wa wana Bumbuli kutoa kero zao
View attachment 2972079
Lakini pamoja na kero hizo kutumwa hali ndio kama mnavyoona .
View attachment 2972080
Jambo la Muhimu ambalo hupaswi kusahau ni kwamba , January Makamba alipita bila kupingwa
Ila we jamaa umenishinda tabia🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wananchi wengi wanasema Mbunge wao ni mbunge wa Kiangazi
Swali la kijinga sana !Kwa hiyo mbunge akichaguliwa ndyo anakuwa na magreda ya kuchonga na kuweka lami barabarani?
Botswana naona inasifiwa sana hii nchi.Mkuu tembelea Namibia 🇳🇦 na Botswana 🇧🇼 kupo super,A3 yao ni super pamoja kuwa inapita kwenye national park (more than 300km za mbugani tu),pale mikumi national park (50km kuna matuta yasiyopungua 40!!na wanaopita pale hasa usiku pls guys kuwa careful,kuna handaki pale linaumiza magari kila siku ,lipo pale getini ukitokea Duma,ni hatari mno)
Hawa ni watu wachache sana, lakini viongozi wao wamejua jinsi ya kutumia raslimali zao kuu, hasa mbili: Almas na ng'ombe vizuri sana.Botswana naona inasifiwa sana hii nchi.
Jibu hiyo hoja ya lissu kuhama chadema kisha tuambie huwa habari unaokoteza wapi maana kuna hii pia ya bashite kuongea na waandishi wa habari pia uliinya weweAcha porojo .weka ushahidi kuwa hiyo ni barabara ya Bumbuli.maana wewe kwa uongo na kubandika picha za kuokoteza unapenda sana .
Mwalimu hakuchaguliwa na watu wa Butiama, bali alichaguliwa na Watanzania wote. Januari ni Waziri kwa sababu alichaguliwa na watu wa Bumbuli. Aliwaandikia kijitabu cha kiingereza akiwaahidi kuwaletea maroli ya barafu ili wawe wanasafirisha matunda yao kupeleka kwenye masoko Dar, na vile vile kuwanunulia hisa New York Stock Exchangekiongozi makini hujali taifa kwa ujula
hata mwalimu hakusukumiza mandeleo butiama pekee