Asili100
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 240
- 181
ASANTE, KWA SASA HAITAZIDI LAKI, HUDUMA NZURI HIIPitahapoo Mkuu nilifanyaa zamani kiss ikantoa 65,,pamojanakuandikisha file etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ASANTE, KWA SASA HAITAZIDI LAKI, HUDUMA NZURI HIIPitahapoo Mkuu nilifanyaa zamani kiss ikantoa 65,,pamojanakuandikisha file etc
Whow is kaka voda milionea?"Amani kaka voda millionea waambie wadogo zako waache ushoga na umbea" from maheremu langa.. alimjibu jaymoe
Acha geji jombaaaBora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
Mimi jina lako tu..tehehehee!!!..Bora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
Mimi jina lako tu..tehehehee!!!..
Duuuhh yaelekea hata papuchi haioni ndaniKulingana na UTAFITI nilioufanya mimi mjini Mombasa ninapotoka, THE PROBLEM IS PEER PRESSURE. Kaa mbali na marafiki au watu mnaojuana wanaotumia hizi vitu. Vijana wengi wanadanganyana kuwa ukivuta unga unakuwa High kushinda Pombe au Bangi na pia unakuwa na uwezo mkubwa kitandani(Uwezo wa kuSex kwa mda mrefu) coz Unga ni zaidi ya Viagra. Mwanamme anayetumia Unga anapata tabu sana kupiga bao, anaelea kwenye utamu tu na hii ni advantage kwa mwanamke anayelala nae coz anaweza kumfanya mwanamke huyo Kukojoa kwa urahisi sana. On the other side, mwanamke aliyevuta unga ni rahisi sana kukojoa anapoSex.
Na wanasema utamu wa kuvuta Unga ni sawa na Utamu wa mwili mzima kupiga bao continuosly (Full Body Orgasm) mpaka stimu itakapokatika. Sasa hapa ndio sielewi.
Wengine wanasema ukishavuta, unajiskia dunia ni yako, shida zimekuondokea na kila kitu unakiona AMAZING kwako, au unajiskia kama Mungu amekukumbatia, au unaskia raha sana na mwili wako unajiskia vizuri mno. Shida ni pale stimu inapokatika, ile raha inapoisha ndio unajiskia unataka kuskia ile feeling tena. Hapo ndio utafanya juhudi zote ili uskie ile feeling tena. Wanasema its the best feeling in the world. Ndio maana utapata MATEJA wengi hawajali kuhusu muonekano, usafi, familia au afya zao. Roho zinawabadilika na wengine wanageuka wezi bila kutaka. Wanachojali ni ile feeling tu ya kuvuta unga wanayosema ni The best ever.
WARNING: STAY AWAY FROM DRUGS.
hEmbu dadavua kidogo
Duuuhh yaelekea hata papuchi haioni ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hii kitu ni ya ajabu,,hata uwe mnene vipi lazima ukonde..wale wanaosumbukia uzito na vitambi inafaa