Hivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
Binadamu tungekuwa tunajifunza kutokana na matatizo ya wenzetu, hata ukimwi haungefikia kiwango cha kutisha kama ilivyo sasa....!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
mpaka ifike mwezi wa2,ndio tunajitambuaga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ha haaa haaa mwaka ukiwa unaanza shida kweli!
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
ngoja kwanza upate watotoSijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)
Na walionza kuvuta bang walianza ma sigara?bas sigara zipigwe marufuku.isee,hiyo itakuwa ni kweli kabisa maana sidhani kama kuna walioanza kula unga kabla ya kuwa wanavuta bangi,hata kama wapo watakuwa wachache sana,na nathani wana malengo kabisa ya ku recruit watu maarufu hasa kwenye tasnia ya entertainment kwasababu hawa wanakuwa na kipato na pia kuna kuigana ukiona flani maarufu na anatumia unaona kumbe ndo ujanja!
Mhh hiyi video ukiangaliaa anavyotoa ushauri na alivyosasa duhh hata mchungaji sio wa kumuamin
Imeshakuwa mwaka Jana mkuuMungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Mateja wengi huwa wanafanya kazi ngumu za mtaaniinasemekana anapita mtaani anjiuza kwa 20,000 ,unajua kuna hata fununu marehemu langa alifikia hatua hiyo,na mwisho wa siku mateja wengi wanageuzwa wa kike au wa kiume,kwenye hiyo video ukiangalia vizuri,jamaa linampigampiga mgongoni sijui ni utani au vipi lakini kama wanataja bei,maana huyo demu anasema FORTY????nando anaona aibu sijui anataka kulia anainamisha kichwa chini
Ina maana video nzima anavyoongea nando ushaur alioutoa haujausikiaaa auUmeona katoa ushauri gani sasa hapo?
hizi siku za mwanzo kuzoea shida kweli mkuu!Imeshakuwa mwaka Jana mkuu
uyo kaka Voda milionea alie kua ana tajwa na wasanii n nani naona swali lime ulizwa zaid ya mara4 lakini wachangiaji wana li ruka tuu.inasemekana anapita mtaani anjiuza kwa 20,000 ,unajua kuna hata fununu marehemu langa alifikia hatua hiyo,na mwisho wa siku mateja wengi wanageuzwa wa kike au wa kiume,kwenye hiyo video ukiangalia vizuri,jamaa linampigampiga mgongoni sijui ni utani au vipi lakini kama wanataja bei,maana huyo demu anasema FORTY????nando anaona aibu sijui anataka kulia anainamisha kichwa chini