Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitajie punda tajiri mjini,zaidi ya vi altezaa na byumba za kupanga zenye flat screen ndani,ulidhani wanalipwaga ngapi kwani?
shule walishaifunga sasa hivi wamefungua Braeburn International school
Don moja la mikocheni,king'oko ndo ilikua maskani yake kubwa.Huyo kaka voda ni nani?
Serikali inakamata wauza unga kwa manenoU hb wote umeisha masikini. Serikali iingilie kati kuanzia mtumiaji mpaka mletaji wadhibitiwe
Duh, alimchoma kisu kabisa?Huyu kwa zile tabia zake za kule big brother nilijua tu kuna vitu anatumia maana jamaa hakuwa na akili za kawaida.
Matusi makubwa makubwa,kugombana na mtanzania mwenzake kwenye big brother na kutaka kumchoma mwenzake kisu.
Mwisho wake ulikuwa unaonekana kabisa
Bora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
[emoji23] [emoji23]SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV
UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
Maskini ndio maana simsikii,Rechal yeah alikua na kasauti flani katamu hivi kamahaba daahHaya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
Please ongea, jitie moyoSio kama naogopa.
Nina mengi ya kuongea ila napata tabu nianzie wapi. Inauma sana tena sana trust me
Huyo voda milliinea ni nani?"Amani kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"- Babuu wa kitaa
Langa (R.I.P) akajibu "Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea"
Madawa ya kulevya ni janga la dunia
Mkuu, kama wewe ni Mkristo futa hayo maneno yako (ikiwa yametoka nafsini mwako) kwani maneno yanaumba.Hii kitu Ni balaa itabidi nijaribu maana yaonyesha utamu wake Ni noooooomaaqq
Yaani kila ninapoiangalia hiyo miguu kwenye Avatar yako mapigo ya moyo yanabadilika ati seriously.Maskini jamani kawa kama mzee