Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
 
Huyu kwa zile tabia zake za kule big brother nilijua tu kuna vitu anatumia maana jamaa hakuwa na akili za kawaida.

Matusi makubwa makubwa,kugombana na mtanzania mwenzake kwenye big brother na kutaka kumchoma mwenzake kisu.

Mwisho wake ulikuwa unaonekana kabisa
Duh, alimchoma kisu kabisa?
 
Huyu jamaa niliangalia interview moja hivi alifanya na zamaradi wa clouds TV daaaaah so sad.
 
SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV

UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
[emoji23] [emoji23]

Sema kweli?
 
Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
Maskini ndio maana simsikii,Rechal yeah alikua na kasauti flani katamu hivi kamahaba daah
 
icho kipindi cha take one kinashawishi watu wajihusishe na mambo mabaya. story za kupiga vijiweni wao wanarusha live. bora kilivyo fungiwa
 
Tanzania Ndio Hii Wenye Soba Houz Ndio Wauzaji Wa Vi Pinch!!! MAISHA YAMEJAA UNAFIKI Mtu Mgonjwa Mahututi Watu Wamemfungia Vioo na Tinted juu Gharama ya Matibabu Ni Ndogo Tu Apone Wanampotezea Sasa Subiri Akifariki Malori ya Mchele na Nafaka Michango ya Pesa Utashangaa.. KWENI UONGO ?MAISHA YA KINAFIKINAFIKI
 
Hii kitu Ni balaa itabidi nijaribu maana yaonyesha utamu wake Ni noooooomaaqq
Mkuu, kama wewe ni Mkristo futa hayo maneno yako (ikiwa yametoka nafsini mwako) kwani maneno yanaumba.

Labda tu hujajua ni jinsi gani haya madawa yalivyo au hujawa karibu na muathirika

Sorry, its an advice to take or leave.
 
Back
Top Bottom