Jay Moe.....Nobody said it better than Moe tech
Japo sidhani kama maneno yalikuwa exactly hivyo
- Sio ganja ni powder ndiyo iliyomharibu(stories Tatu)
- Wambie waache unga wale mmea (hiphop bila madawa)
Itakuwa mwaka jana sio mwakaa huu mkuuuMungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Ngumi kabisa?alitolewa BBA nahisi aligombana na mtu kama sikosei... kachoka hatari
Du!! Kitu cha asiliBora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
Du!! Kitu cha asili
Wenyewe huwa wanasema ukimwi upo toka mwaka 1980 na Condom zipo tena wanagawa bure ila kila siku kuna wagonjwa wapya.Hivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Mwaka huu?Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Wanaopiga vita madawa ndio hao hao wanayoyaingiza.U hb wote umeisha masikini. Serikali iingilie kati kuanzia mtumiaji mpaka mletaji wadhibitiwe
Kama urais unagaiwa kama karanga za dodoma kama alivyotaka agaiwe bwana yule kwa sab walikubaliana kwenye kijiwe cha kahawa mwambie aje achukueDurtete njoo TZ uwe rais huyu wa sasa hapa anaigiza tu.
Kumbe kuna siku unakuwa na akiliWenyewe huwa wanasema ukimwi upo toka mwaka 1980 na Condom zipo tena wanagawa bure ila kila siku kuna wagonjwa wapya.
Gari zinaua ila mtu akinunua Gari anafanya sherehe.
Alimtishia mtu kisu akawa disqualifiedalitolewa BBA nahisi aligombana na mtu kama sikosei... kachoka hatari
Hiyo bajaji hapo nyuma,Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania.
Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando.Zaidi ya Chiddy Benzino,huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga,unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri,lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani,na unapotoka hadharani,basi muda unakuwa umekwisha kwenda.
Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.
View attachment 453137