Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hongera zake kakaza ase
huyu hapa
Capture.PNG
 
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Kaa law NIMEUMIAA SANAAA JAMAA ALIWAHIPOTEZA BEGI NIKAMPELEKEA KINONDONI.. ILA NAHISI MAZINGIRA NAYOO YANACHANGIA KAMANIHUYU WANAKAA KINONDONI BP KWANYUMA.. SOSAD JAMANI....
 
Jamani jamani...Nando wangu[emoji30][emoji30][emoji30]...i was watching BBA kwa ajili yake tu dah....and i thought anatumia weed tu...kumbe na sembe nayo....tumuombeeni jamani...Mungu amsaidie....

Mahandsome wanaisha sasa kitaa....
Ukilia hivo yaan najikuta naumia kabsa moyoni

Nyamaza bas
 
Hizi ni propaganda nini wakuu?

Jamaa kabadilika kichizi!!

Sijui ni kweli naskia ipo mashine yenyewe ipo kama beseni la kuogeshea watoto unatumbukiza huko miguu inakuwa inanyonya sumu mwilini,
SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV

UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
 
This guy namjua sana tena sana,nimekua nae street moja Mikocheni.

He was innocent,charming guy plus good football player,nakumbuka tulikua tunacheza wote mpira shule ya msingi Mikocheni B.

Wengi wanamjua kwa jina la NANDO (Hapa sitoweka jina lake halisi).
Mama'ake mzazi yupo Marekani na wakati anaenda Big Brother Africa alikua uko USA as a model katika kampun flani hv baada ya mama'ake mzazi kumfanyia mchongo.
(Alimaliza Four4 Neema Trust High School)

Back to wat happened to him.

Mid in 2013 nilikutana nae Rose Garden (as we're gud friends aiseee) wakat amerud toka BBA (mnakumbuka ni nin alifanya uko mpaka akatolewa ila mchongo sisi watu wa karibu tulijua kabisa yeye ndo anashinda maana tayari tulipaswa kwenda South Africa kwaajili ya party yake)

Akanibom siku iyo apo Rose Garden kuku mzima ale,nikampa pesa elfu34 maana ni mwanangu kabisa tumeshibana.
Nikasepa. Nikazunguka na mizunguko yangu narud eneo ilo tena nikamkuta (imagine akanibom tena lakin wakat huu tayari amelewa na madawa na hakumbuki kama tulionana,nikampa buku5 ingawa nilionywa nisimpe)

Sisi watu wakaribu tunawalaumu familia yake ya pale Mikocheni.


Back in 2015 juz juz tu nikakutana nae tena ila this time around it was worse aiseeee. Imagine nakutana nae,hanijui kwa jina ila sura anakumbuka. Anaomba kiroba namnunulia bia ila hatak kuichukua anasema niiache atakunywa baadae ila ukitoka anabadilishiwa anapewa UNGA.

Mikocheni,kino,magomen na Msasani ni sehem mbaya kwa vijana wa mambo ya UNGA.

NAUMIA SANA KUMUONA JAMAA HIVI ILA SINA LAKUFANYA.

NAUMIA GUYS TRUST ME
Daah afu class yao ya Neema Trust Secondary wameharibika sana, Amir alisoma form five NTSS siyo form four class ya kina godzilla, Kaloosh(R.I.P), Ham Lundenga, alikuwa anakipaji cha mpira nakumbuka alikuwa mmoja wa wachezaji tegemezi sana. Ni kweli akishatumia maunga yake anasahau majina hata muwe washkaji vipi, starehe zimewaharibu sana madogo kwa hiyo shule kuna kama wanne wapo rehab, mashoga na wasagaji
 
This guy namjua sana tena sana,nimekua nae street moja Mikocheni.

He was innocent,charming guy plus good football player,nakumbuka tulikua tunacheza wote mpira shule ya msingi Mikocheni B.

Wengi wanamjua kwa jina la NANDO (Hapa sitoweka jina lake halisi).
Mama'ake mzazi yupo Marekani na wakati anaenda Big Brother Africa alikua uko USA as a model katika kampun flani hv baada ya mama'ake mzazi kumfanyia mchongo.
(Alimaliza Four4 Neema Trust High School)

Back to wat happened to him.

Mid in 2013 nilikutana nae Rose Garden (as we're gud friends aiseee) wakat amerud toka BBA (mnakumbuka ni nin alifanya uko mpaka akatolewa ila mchongo sisi watu wa karibu tulijua kabisa yeye ndo anashinda maana tayari tulipaswa kwenda South Africa kwaajili ya party yake)

Akanibom siku iyo apo Rose Garden kuku mzima ale,nikampa pesa elfu34 maana ni mwanangu kabisa tumeshibana.
Nikasepa. Nikazunguka na mizunguko yangu narud eneo ilo tena nikamkuta (imagine akanibom tena lakin wakat huu tayari amelewa na madawa na hakumbuki kama tulionana,nikampa buku5 ingawa nilionywa nisimpe)

Sisi watu wakaribu tunawalaumu familia yake ya pale Mikocheni.


Back in 2015 juz juz tu nikakutana nae tena ila this time around it was worse aiseeee. Imagine nakutana nae,hanijui kwa jina ila sura anakumbuka. Anaomba kiroba namnunulia bia ila hatak kuichukua anasema niiache atakunywa baadae ila ukitoka anabadilishiwa anapewa UNGA.

Mikocheni,kino,magomen na Msasani ni sehem mbaya kwa vijana wa mambo ya UNGA.

NAUMIA SANA KUMUONA JAMAA HIVI ILA SINA LAKUFANYA.

NAUMIA GUYS TRUST ME

MKUU SIJUII ALISHINDA A MWAKAGANI ILA ALIPORUDI ALIENDA KINONDONI PALE STUDIO NJIA YAKWENDA MWANANYAMALA OPP NA VIJANA CC M KUNA NJIA UNAINGIA NAYOO.. ALISHAHAMIA HAPOSIKUNYINGI... KINONDONI NALITAMANI WANGEJENGA MAKANISA NA MISIKITI WAMRUDIE MUNGU...
KINGINE
UKILETA INFO ELEZEA USIMWOGOPE MTU.. K UMESEMA UWEZIWEKA JINALAKE LAKINI ANAJULIKANA

KINGINE UMEELEZEA KAMA MTOTOWETU ALIFANYA KOSA BBA... NILITAMANI UMALIZIE ILI UFUNDISHE NA WENGINE WANAOKWENDA KULE KWAKUWA UMEFANYA SIRI HII NIIWEKE WAZI ALIMTISHIA MTU KISU... SIKUANASHUKA AIRPORR ALIKUWA ANALIA NANDUGUZAKE WAKIMKUMBATIA AKAWEKA WAZI HAKUWA NANIA SEMA ALIKUWA ANAMTANIA MWENZIE.. MMH UKWELI ANAUJUA YEYE
NAWAZA MAMAKWANINI AMEMWACHA HAKURUDI NAE MAREKANI.. KUNAMASWALI YAKUJIULIZA SANA KWANINI ATOKEE MAREKANI ASHINDWE RUDI... HAPONAKO KUNA TATIZO...

KAMAMZAZI TUWAOMBEE SANA NAKAMA. MNAWEZA MSIRUHUSU WATOTOI WAKIUME WAKAKAE KINONDONI AMA WAKIKE WAKAE SINZA.. UNAMJARIBU SHETANI NA KAZIZAKE ZOOTE
 
MKUU SIJUII ALISHINDA A MWAKAGANI ILA ALIPORUDI ALIENDA KINONDONI PALE STUDIO NJIA YAKWENDA MWANANYAMALA OPP NA VIJANA CC M KUNA NJIA UNAINGIA NAYOO.. ALISHAHAMIA HAPOSIKUNYINGI... KINONDONI NALITAMANI WANGEJENGA MAKANISA NA MISIKITI WAMRUDIE MUNGU...
KINGINE
UKILETA INFO ELEZEA USIMWOGOPE MTU.. K UMESEMA UWEZIWEKA JINALAKE LAKINI ANAJULIKANA

KINGINE UMEELEZEA KAMA MTOTOWETU ALIFANYA KOSA BBA... NILITAMANI UMALIZIE ILI UFUNDISHE NA WENGINE WANAOKWENDA KULE KWAKUWA UMEFANYA SIRI HII NIIWEKE WAZI ALIMTISHIA MTU KISU... SIKUANASHUKA AIRPORR ALIKUWA ANALIA NANDUGUZAKE WAKIMKUMBATIA AKAWEKA WAZI HAKUWA NANIA SEMA ALIKUWA ANAMTANIA MWENZIE.. MMH UKWELI ANAUJUA YEYE
NAWAZA MAMAKWANINI AMEMWACHA HAKURUDI NAE MAREKANI.. KUNAMASWALI YAKUJIULIZA SANA KWANINI ATOKEE MAREKANI ASHINDWE RUDI... HAPONAKO KUNA TATIZO...

KAMAMZAZI TUWAOMBEE SANA NAKAMA. MNAWEZA MSIRUHUSU WATOTOI WAKIUME WAKAKAE KINONDONI AMA WAKIKE WAKAE SINZA.. UNAMJARIBU SHETANI NA KAZIZAKE ZOOTE
Sio kama naogopa.

Nina mengi ya kuongea ila napata tabu nianzie wapi. Inauma sana tena sana trust me
 
Sio kama naogopa.

Nina mengi ya kuongea ila napata tabu nianzie wapi. Inauma sana tena sana trust me
Mpwaa usimalizie nimeelewaa Kansas inaumaa sanaasanaa tuwaombeeesana watoto wetu
 
Wakikosaa madawaa unasikia wanalamba VIROBA

AKIKOSA VIROBA WANALAMBA EMPIRE AISEE MUNGU INGILIA KATI... HAPO BURUUUUUDANIII INACHEKAA TU
 
MMESAHAUU NA VIMELEAA VYAMALAWII (Nalani)) NAVYOO N MOJAYA LUTALII N SHIDAAA
 

Attachments

  • proxy-3.jpg
    proxy-3.jpg
    7.5 KB · Views: 101
  • proxy-4.jpg
    proxy-4.jpg
    14.4 KB · Views: 100
  • proxy-2.jpg
    proxy-2.jpg
    10.3 KB · Views: 102
HaPPY
New
YR

Sseboo
 

Attachments

  • proxy.jpg
    proxy.jpg
    32.9 KB · Views: 115
  • proxy-1.jpg
    proxy-1.jpg
    32.4 KB · Views: 101
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Sometimes wakienda kununua marijuana pushers wana mix ili ku recruit clients
 
CHOICE, CHANCE, CHANGE (3 C's)

YOU MUST MAKE A CHOICE TO TAKE A CHANCE OR YOU WILL NEVER CHANGE

YOU ARE FREE TO MAKE YOUR CHOICES BUT YOU NOT FREE TO CHOOSE THE CONSEQUENCES

AMEFANYA MAAMUZI WACHA MATOKEO YAMTAFUNE
 
So sad! Kuna hii Tume ya kupambana na madawa ya kulevya, hivi wanapambana kweli? kwasababu vijana wengi wanapotea.
 
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Serikali kupitia chombo cha usalama wa taifa livalieni njuga hili suala, linazidi kutumalizia vijana wetu ambao ni nguvu kazi ya taifa.
Na nyinyi ndugu zetu munaojitahidi kufichua maovu ya wanasiasa na wale walio serikalini pindi wanapoihujumu nchi, nakuombeni tumieni zile mbinu munazozitumia katika kufichua maovu ya wanasiasa na badala yake tuzitumie kuwafichua hawa wauzaji wa madawa ya kulevya ili wachukuliwe hatua kali za kisheria na kuwanusuru vijana wetu.
 
Back
Top Bottom