Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania.

Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando.Zaidi ya Chiddy Benzino,huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga,unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri,lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani,na unapotoka hadharani,basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
This guy namjua sana tena sana,nimekua nae street moja Mikocheni.

He was innocent,charming guy plus good football player,nakumbuka tulikua tunacheza wote mpira shule ya msingi Mikocheni B.

Wengi wanamjua kwa jina la NANDO (Hapa sitoweka jina lake halisi).
Mama'ake mzazi yupo Marekani na wakati anaenda Big Brother Africa alikua uko USA as a model katika kampun flani hv baada ya mama'ake mzazi kumfanyia mchongo.
(Alimaliza Four4 Neema Trust High School)

Back to wat happened to him.

Mid in 2013 nilikutana nae Rose Garden (as we're gud friends aiseee) wakat amerud toka BBA (mnakumbuka ni nin alifanya uko mpaka akatolewa ila mchongo sisi watu wa karibu tulijua kabisa yeye ndo anashinda maana tayari tulipaswa kwenda South Africa kwaajili ya party yake)

Akanibom siku iyo apo Rose Garden kuku mzima ale,nikampa pesa elfu34 maana ni mwanangu kabisa tumeshibana.
Nikasepa. Nikazunguka na mizunguko yangu narud eneo ilo tena nikamkuta (imagine akanibom tena lakin wakat huu tayari amelewa na madawa na hakumbuki kama tulionana,nikampa buku5 ingawa nilionywa nisimpe)

Sisi watu wakaribu tunawalaumu familia yake ya pale Mikocheni.


Back in 2015 juz juz tu nikakutana nae tena ila this time around it was worse aiseeee. Imagine nakutana nae,hanijui kwa jina ila sura anakumbuka. Anaomba kiroba namnunulia bia ila hatak kuichukua anasema niiache atakunywa baadae ila ukitoka anabadilishiwa anapewa UNGA.

Mikocheni,kino,magomen na Msasani ni sehem mbaya kwa vijana wa mambo ya UNGA.

NAUMIA SANA KUMUONA JAMAA HIVI ILA SINA LAKUFANYA.

NAUMIA GUYS TRUST ME
 
This guy namjua sana tena sana,nimekua nae street moja Mikocheni.

He was innocent,charming guy plus good football player,nakumbuka tulikua tunacheza wote mpira shule ya msingi Mikocheni B.

Wengi wanamjua kwa jina la NANDO (Hapa sitoweka jina lake halisi).
Mama'ake mzazi yupo Marekani na wakati anaenda Big Brother Africa alikua uko USA as a model katika kampun flani hv baada ya mama'ake mzazi kumfanyia mchongo.
(Alimaliza Four4 Neema Trust High School)

Back to wat happened to him.

Mid in 2013 nilikutana nae Rose Garden (as we're gud friends aiseee) wakat amerud toka BBA (mnakumbuka ni nin alifanya uko mpaka akatolewa ila mchongo sisi watu wa karibu tulijua kabisa yeye ndo anashinda maana tayari tulipaswa kwenda South Africa kwaajili ya party yake)

Akanibom siku iyo apo Rose Garden kuku mzima ale,nikampa pesa elfu34 maana ni mwanangu kabisa tumeshibana.
Nikasepa. Nikazunguka na mizunguko yangu narud eneo ilo tena nikamkuta (imagine akanibom tena lakin wakat huu tayari amelewa na madawa na hakumbuki kama tulionana,nikampa buku5 ingawa nilionywa nisimpe)

Sisi watu wakaribu tunawalaumu familia yake ya pale Mikocheni.


Back in 2015 juz juz tu nikakutana nae tena ila this time around it was worse aiseeee. Imagine nakutana nae,hanijui kwa jina ila sura anakumbuka. Anaomba kiroba namnunulia bia ila hatak kuichukua anasema niiache atakunywa baadae ila ukitoka anabadilishiwa anapewa UNGA.

Mikocheni,kino,magomen na Msasani ni sehem mbaya kwa vijana wa mambo ya UNGA.

NAUMIA SANA KUMUONA JAMAA HIVI ILA SINA LAKUFANYA.

NAUMIA GUYS TRUST ME

mazee acha tu nafikiri kina Njota ndo wamemuharibu ,hivi CT yule albino kaka yake huyu jamaa hatumii???kina bob chopa,kevin wote hoi,nilihama huko muda kama miaka 2 lakini inasikitisha sana kumuona Amir amekuwa hivi
 
mazee acha tu nafikiri kina Njota ndo wamemuharibu ,hivi CT yule albino kaka yake huyu jamaa hatumii???kina bob chopa,kevin wote hoi,nilihama huko muda kama miaka 2 lakini inasikitisha sana kumuona Amir amekuwa hivi
Kaka do i know u.?? Yaan CT ndo kampa majanga mdogo wake. Mara ya mwisho namuona nililia aiseeee.

Mungu ni mkubwa
 
Jamani jamani...Nando wangu[emoji30][emoji30][emoji30]...i was watching BBA kwa ajili yake tu dah....and i thought anatumia weed tu...kumbe na sembe nayo....tumuombeeni jamani...Mungu amsaidie....

Mahandsome wanaisha sasa kitaa....
 
79cace886410b463dbee02aef8d1d453.jpg


Dogo mfaume
 
Back
Top Bottom