Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha sawa nimestop....happy 2017...mzima wewe?Ukilia hivo yaan najikuta naumia kabsa moyoni
Nyamaza bas
Happy 2017, yaan afya yangu sio nzuri sababu ulipotea latelyHaha sawa nimestop....happy 2017...mzima wewe?
U hb wote umeisha masikini. Serikali iingilie kati kuanzia mtumiaji mpaka mletaji wadhibitiwe
[emoji4] am glad kama unaanza kupata nafuu...nitajitahidi nisipotee tena...Happy 2017, yaan afya yangu sio nzuri sababu ulipotea lately
Thanks nime ku catch naanza kupata nafuu
Sumu Aijaribiwi Kwa Kulambwa MkuuNgada.na mimi ngojea nitest nipate ladha,
Duuuuh ugoro tenaBora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
Wanayapata wapi? Hao barons wa unga mbona hawashikwi?Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.
Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.
Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.
Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.
View attachment 453137
Inawezekana mkuu, yeye na chid benz sio. bonge ya movie.Siyo yupo location kweli
Tupo badoJamani jamani...Nando wangu[emoji30][emoji30][emoji30]...i was watching BBA kwa ajili yake tu dah....and i thought anatumia weed tu...kumbe na sembe nayo....tumuombeeni jamani...Mungu amsaidie....
Mahandsome wanaisha sasa kitaa....