Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Funzo kwa wengne
 
Tatzo wanakula makap ya unga alaf hawajui kujtunza Rio anakula unga kama nyoka lakn yupo vzr tu
Mkuu kila siku tunasema humu ngada halina kujitunza kuna watu walikuwa na hela kama Whitney Houston au Boby brown lakini wote hao ngada limewapoteza ingawa brown. Vijana tuachane na starehe za vitu ambavyo athari zake ni mbaya sana full stop.
 
Inasemekana wanachanganyiwa bila wao kujua hasa wakishagundulika wanao uwezo wa kununua madawa hayo. Pia kuwa makini na aina ya vyakula au bites, watafuta wateja wanatumia sana kuongeza wateja. Mfano wanaweza kutarget mtoto wa familia yenye uwezo kwa kumlengesha ubuyuwenye unga. Watu wabaya wale!!!
Sahihi kabisa, hasa mazoea clubs/bar na watu usiowafahamu vzr ni hatari..ogopa vya kupewa/kununuliwa clubs...
 
Inamaana serikali ya JPM imeshindwa kabisa kupambana na wauza madawa ya kulevya?

Inamaana Tanzania kuna wanapozalisha haya madawa au yanatoka nje ya nchi??

Kama yanatoka nje ya nchi yanapitia wapi kuingia nchini??

Serikali ya awamu ya tano iache "kutuigizia" ipambane na vitu kama hivi vinavyoharibu vijana wetu!
 
Nobody said it better than Moe tech
  1. Sio ganja ni powder ndiyo iliyomharibu(stories Tatu)
  2. Wambie waache unga wale mmea (hiphop bila madawa)
Japo sidhani kama maneno yalikuwa exactly hivyo
Amani kwa kaka voda waambie wadogo zako waache unga wale mmea- Song kimbia artist Babuu wa kitaa
 
aman kwa Kama voda...waambie wadogo zako waache poda wale mmea...[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] mo#
"Amani kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"- Babuu wa kitaa

Langa (R.I.P) akajibu "Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea"
 
This guy namjua sana tena sana,nimekua nae street moja Mikocheni.

He was innocent,charming guy plus good football player,nakumbuka tulikua tunacheza wote mpira shule ya msingi Mikocheni B.

Wengi wanamjua kwa jina la NANDO (Hapa sitoweka jina lake halisi).
Mama'ake mzazi yupo Marekani na wakati anaenda Big Brother Africa alikua uko USA as a model katika kampun flani hv baada ya mama'ake mzazi kumfanyia mchongo.
(Alimaliza Four4 Neema Trust High School)

Back to wat happened to him.

Mid in 2013 nilikutana nae Rose Garden (as we're gud friends aiseee) wakat amerud toka BBA (mnakumbuka ni nin alifanya uko mpaka akatolewa ila mchongo sisi watu wa karibu tulijua kabisa yeye ndo anashinda maana tayari tulipaswa kwenda South Africa kwaajili ya party yake)

Akanibom siku iyo apo Rose Garden kuku mzima ale,nikampa pesa elfu34 maana ni mwanangu kabisa tumeshibana.
Nikasepa. Nikazunguka na mizunguko yangu narud eneo ilo tena nikamkuta (imagine akanibom tena lakin wakat huu tayari amelewa na madawa na hakumbuki kama tulionana,nikampa buku5 ingawa nilionywa nisimpe)

Sisi watu wakaribu tunawalaumu familia yake ya pale Mikocheni.


Back in 2015 juz juz tu nikakutana nae tena ila this time around it was worse aiseeee. Imagine nakutana nae,hanijui kwa jina ila sura anakumbuka. Anaomba kiroba namnunulia bia ila hatak kuichukua anasema niiache atakunywa baadae ila ukitoka anabadilishiwa anapewa UNGA.

Mikocheni,kino,magomen na Msasani ni sehem mbaya kwa vijana wa mambo ya UNGA.

NAUMIA SANA KUMUONA JAMAA HIVI ILA SINA LAKUFANYA.

NAUMIA GUYS TRUST ME
Pole sana ila wanaomuuzia mnawajua
 
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.

Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania. Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando, zaidi ya Chiddy Benzino.

Huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga. Unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri, lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani na unapotoka hadharani basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Tunazidi kuwapoteza vijana wengi kwa kasi ya ajabu mno na hili ni janga la dunia
 
Daah afu class yao ya Neema Trust Secondary wameharibika sana, Amir alisoma form five NTSS siyo form four class ya kina godzilla, Kaloosh(R.I.P), Ham Lundenga, alikuwa anakipaji cha mpira nakumbuka alikuwa mmoja wa wachezaji tegemezi sana. Ni kweli akishatumia maunga yake anasahau majina hata muwe washkaji vipi, starehe zimewaharibu sana madogo kwa hiyo shule kuna kama wanne wapo rehab, mashoga na wasagaji
Hehehe tusipeleke wanetu hapo jamani kuna mapepo[emoji14]
 
Dah hii kitu balaa uhend some wote kwishinei eee mungu tunusuru watoto wako na janga hili
 
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
[HASHTAG]#mwaka[/HASHTAG] huu au mwaka jana maana post yako ni ya 2017
 
Back
Top Bottom