mtumweusi
Senior Member
- Dec 11, 2015
- 148
- 147
"Amani kaka voda millionea waambie wadogo zako waache ushoga na umbea" from maheremu langa.. alimjibu jaymoeaman kwa Kama voda...waambie wadogo zako waache poda wale mmea...[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] mo#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Amani kaka voda millionea waambie wadogo zako waache ushoga na umbea" from maheremu langa.. alimjibu jaymoeaman kwa Kama voda...waambie wadogo zako waache poda wale mmea...[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] mo#
Serious simjuiKwani humjui[emoji14]
Sio, ni kitu sahihi kabisa ila unakuwa hujui ila anayejua akikwambia Ndio inaitwa ronja haya kafute ile avatar nanga weRonja ni fununu au tetesi au habari zisizothibitishwa hili neno ni msimu ambao hutumika katika muktadha au mazingira ya kambini hususani jeshini jkt jwtz etc
Waziiii
Pole sana ila wanaomuuzia mnawajua
Amen RA. ..asante sanaKwa mtazamo wako mkuu.
Hata Langa ndivyo alivyoanza madawa. Kwa hiyo hata bangi sio safe unless una shamba lako.It's true wengi wa wala nyasi huingizwa kwenye ngada this way na cku nyingine akija tena anauziwa bangi tupu ili aone tofauti akiulizia tu anaambiwa. Nimeshuhudia haya kwa ndugu zangu kabisa walikuwa mateja nashukuru wawili wamefanikiwa kuacha
Afu dawa yao ni kuwaovadozi wakafie mbeleSijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)
Afu dawa yao ni kuwaovadozi wakafie mbeleSijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)
ha haaaa haaa si unajua siku za mwanzo hizi! nilimaanisha mwaka jana miezi ya sita[HASHTAG]#mwaka[/HASHTAG] huu au mwaka jana maana post yako ni ya 2017
ni mwaka jana mkuuMwaka huu?
Hii vita kila rais imemshinda.kila wakijaribu kukata shina.wanakuta wanakata shina walilo kalia.wanaacha.Durtete njoo TZ uwe rais huyu wa sasa hapa anaigiza tu.