Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Ronja ni fununu au tetesi au habari zisizothibitishwa hili neno ni msimu ambao hutumika katika muktadha au mazingira ya kambini hususani jeshini jkt jwtz etc

Waziiii
Sio, ni kitu sahihi kabisa ila unakuwa hujui ila anayejua akikwambia Ndio inaitwa ronja haya kafute ile avatar nanga we
Pole sana ila wanaomuuzia mnawajua
 
It's true wengi wa wala nyasi huingizwa kwenye ngada this way na cku nyingine akija tena anauziwa bangi tupu ili aone tofauti akiulizia tu anaambiwa. Nimeshuhudia haya kwa ndugu zangu kabisa walikuwa mateja nashukuru wawili wamefanikiwa kuacha
Hata Langa ndivyo alivyoanza madawa. Kwa hiyo hata bangi sio safe unless una shamba lako.
 
Sijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)
Afu dawa yao ni kuwaovadozi wakafie mbele
 
Sijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)
Afu dawa yao ni kuwaovadozi wakafie mbele
 
Dah! Bwana mkubwa namuonaga kitaa kwa maalbino mikocheni anatia huruma kwa kweli. Anyways kitaa kizima nadhani ni mahututi wachache waliokua hawapend starehe wamesalimika kwa juhudi za malez ya wazazi
 
Watoto wa Kishua hao hivi wazazi wao wanakuaga wapi?


IMG_20170102_093114.jpg
IMG_20170102_093118.jpg
 
Kuna MTU alikwenda kumkomboa mwanae.wakati watoto wa wenzie wana taabika kwa majanga anayoleta mwanae.bora angenyongwa tu.
 
Sijawahi kumuhurumia mtu aliyeathirika na madawa ya kulevya
 
Ni muda muafaka wa kufanya maamuzi kama ya Raisi wa ufilipino Rodrigo Dutete ya kuwaua kwa kuwapiga Risasi wote wanaohusika kwenye sakata la madawa ya kulevya, maana vijana wengi zaidi wanazidi kuathirika ili kulinda na kutetea maslahi ya wauza unga huku taifa likiendelea kupoteza nguvu kazi ya taifa.Nguvu kazi ni moja ya rasilimali muhimu za taifa kwayo twapata Madaktari Maengeneer n.k hata kuzalisha binadamu wengine nayo ni nguvu kazi muhimu kwa kuwa taifa hili halitabaki utupu kamwe au haliwezi kurithishwa kwa wahamiaji kutoka mataifa mengine pekee.
 
Back
Top Bottom