Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Itakuwa mwaka jana sio mwakaa huu mkuuu
 
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni

Unamaanisha mwaka jana mkuu sio Mwaka huu??
 
Huyu kwa zile tabia zake za kule big brother nilijua tu kuna vitu anatumia maana jamaa hakuwa na akili za kawaida.

Matusi makubwa makubwa,kugombana na mtanzania mwenzake kwenye big brother na kutaka kumchoma mwenzake kisu.

Mwisho wake ulikuwa unaonekana kabisa
 
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Mwaka huu?
 
Hizi ni propaganda nini wakuu?

Jamaa kabadilika kichizi!!

Sijui ni kweli naskia ipo mashine yenyewe ipo kama beseni la kuogeshea watoto unatumbukiza huko miguu inakuwa inanyonya sumu mwilini,
 
Hii kitu ya madawa ya kulevya inatuharibia kabisa watoto wetu.Huyu kijana nafikiri alishiriki Big Brother mwaka fulani na kuiwakilisha Tanzania.

Na kwa sasa hii ndio hali ya afya ya Nando.Zaidi ya Chiddy Benzino,huyu ndio kijana mwingine anayetoa "alarm" kwa vijana wa kisasa kuwa dawa za kulevya sio "ujanja" ni majanga,unaweza kuanza na kuvuta kisirisiri,lkn majibu ya madhara yake yakawa hadharani,na unapotoka hadharani,basi muda unakuwa umekwisha kwenda.

Tuwasaidie vijana wetu waepukane na matumizi ya madawa ya kulevya.

View attachment 453137
Hiyo bajaji hapo nyuma,
Yeye ndiye utingo??
 
Back
Top Bottom