knysna
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 351
- 109
Mtandao Mkubwa sana.Wanayapata wapi? Hao barons wa unga mbona hawashikwi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtandao Mkubwa sana.Wanayapata wapi? Hao barons wa unga mbona hawashikwi?
Kwa mtazamo wako mkuu.Hao wauza unga woote wafe katika jina la Yahushua ha Mashaic. ...Amen RA
shule walishaifunga sasa hivi wamefungua Braeburn International schoolHehehe tusipeleke wanetu hapo jamani kuna mapepo[emoji14]
Hivyo vya kinondoni ni vidagaa tu sio wauzaji.Hapo kinondoni si hawa wauzaji wanafahamika sasa kwann wanaachwa tuu?
hivi ilikuwa ni 2014?alitolewa BBA nahisi aligombana na mtu kama sikosei... kachoka hatari
Ukishaanza kutumia kuacha ni vigumu, nakumbuka tulifundishwa kuwa kwa mara ya kwanza unapotumia madawa ya kulevya basi ubongo huzalisha hormone flani hivi ambayo inakufanya utumie kiasi kikubwa kuliko cha kwanzaMungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Aisee bora ulozi kuliko ngada[emoji2]Tunazidi kuwapoteza vijana wengi kwa kasi ya ajabu mno na hili ni janga la dunia
Kwani humjui[emoji14]Huyo kaka voda ni nani?
It's true wengi wa wala nyasi huingizwa kwenye ngada this way na cku nyingine akija tena anauziwa bangi tupu ili aone tofauti akiulizia tu anaambiwa. Nimeshuhudia haya kwa ndugu zangu kabisa walikuwa mateja nashukuru wawili wamefanikiwa kuachaSometimes wakienda kununua marijuana pushers wana mix ili ku recruit clients
Kweli??SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV
UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
Embu dadavua kidogoInasemekana wanachanganyiwa bila wao kujua hasa wakishagundulika wanao uwezo wa kununua madawa hayo. Pia kuwa makini na aina ya vyakula au bites, watafuta wateja wanatumia sana kuongeza wateja. Mfano wanaweza kutarget mtoto wa familia yenye uwezo kwa kumlengesha ubuyuwenye unga. Watu wabaya wale!!!
Ndio ilikuwa inapiga stataHapa gari lilishaanza kuwaka dah