Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
siku za mwanzo hizi mkuu zinachanganya ila nilimaanisha hivo mkuuItakuwa mwaka jana sio mwakaa huu mkuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku za mwanzo hizi mkuu zinachanganya ila nilimaanisha hivo mkuuItakuwa mwaka jana sio mwakaa huu mkuuu
Nilikuelewa mkuusiku za mwanzo hizi mkuu zinachanganya ila nilimaanisha hivo mkuu
ndugu umesahau [emoji28] [emoji28] [emoji28] Leo tarehe2Mungu wangu! huyu kijana ameisha kiasi hicho lini?
Nakumbuka ni mwaka huu alifanya kipindi na zamaradi mketema clouds tv, alikuwa anaonekana yuko poa!
Ila alikiri anatumia kidogo sasa labda kimoja kilijidoble siku za karibuni
Yule rais nuksiDurtete njoo TZ uwe rais huyu wa sasa hapa anaigiza tu.
isee,hiyo itakuwa ni kweli kabisa maana sidhani kama kuna walioanza kula unga kabla ya kuwa wanavuta bangi,hata kama wapo watakuwa wachache sana,na nathani wana malengo kabisa ya ku recruit watu maarufu hasa kwenye tasnia ya entertainment kwasababu hawa wanakuwa na kipato na pia kuna kuigana ukiona flani maarufu na anatumia unaona kumbe ndo ujanja!Sometimes wakienda kununua marijuana pushers wana mix ili ku recruit clients
Yani ata anavyoviongea havieleweki!Hapa gari lilishaanza kuwaka dah
acha tugonge geji tuBora niendelee kula ugoro tu,unga haufai.
hahaa.... rumours. ..ni maneno ya wazalendo. .....akina mickRonja ni nini. ?
Na huyo kwenye Avatar ni wewe. ?
Kweliii MKUUUSHUKA MAPAMBANO OPP KUNA BANGO LA HOSPT.. UKIFIKA WAELEZE UNATAKA KUTOA SUMU... MWILINI JIANDAE NA KALAKIMSHENZI UNAWEZA KUKAACHA HAPO IKIWEMO BA DAWAZAOKweli??
Ma hb bado tupo wewe acha hizo Au kwa sababu mchizi ni point 5.Jamani jamani...Nando wangu[emoji30][emoji30][emoji30]...i was watching BBA kwa ajili yake tu dah....and i thought anatumia weed tu...kumbe na sembe nayo....tumuombeeni jamani...Mungu amsaidie....
Mahandsome wanaisha sasa kitaa....
Hata Nando alivyohojiwa alisema hivyo hivyo kwamba yeye hatumii crack cocaine so hawez Choka na ni rahis kuacha,the rest is history endeleen kujidanganya na story za vijiwen. BTW unawajua Lamar Odom,Emmy Winehouse,George Michael,Whitney Houston?walikua wanakula nn?Tatzo wanakula makap ya unga alaf hawajui kujtunza Rio anakula unga kama nyoka lakn yupo vzr tu
Gusa UnaseNatamani kujua raha wanayopata mpka wanashindwa kuchomoka.
Who's Kaka VODA? Naona ametajwa sana kwenye baddhi ya hiyo mistari."Amani kwa kaka voda milionea waambie wadogo zako waache poda wale mmea"- Babuu wa kitaa
Langa (R.I.P) akajibu "Amani kwa kaka voda milionea mwambie mdogo ako aache ushoga na umbea"
ha haaa haaa mwaka ukiwa unaanza shida kweli!ndugu umesahau [emoji28] [emoji28] [emoji28] Leo tarehe2