witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
No inategemea na trip ya wapi na capacity ya kubeba mzigo..kuna punda pale kinondoni B anakula 10m per trip...Wanalipwa laki tano naskia per trip
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No inategemea na trip ya wapi na capacity ya kubeba mzigo..kuna punda pale kinondoni B anakula 10m per trip...Wanalipwa laki tano naskia per trip
Amani kwa kaka voda milionea/ mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea [HASHTAG]#Langa[/HASHTAG]aman kwa Kama voda...waambie wadogo zako waache poda wale mmea...[HASHTAG]#jay[/HASHTAG] mo#
KAAMUA KUMUIGA WANNABE WAKE!Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
Nando alishafika huko,nipe poda kula rujo!Hivi haya madawa yana starehe sana eeh, na inakuaje wanapokosa pesa ya kununulia? Nahisi baadhi yao huenda wakakubali hata kupumuliwa, hii hatari sana serikali ijitahidi kuangamiza hili tatizo kwa kweli ndio maana mashoga wamekuwa wengi mtaani.
Yakibadilika yanakuaje?Yaani kila ninapoiangalia hiyo miguu kwenye Avatar yako mapigo ya moyo yanabadilika ati seriously.
Nasikiaga tu kaka voda kaka voda ila sikuwahi kujua ni nani.Yeye anahusika na madawa?Don moja la mikocheni,king'oko ndo ilikua maskani yake kubwa.
hivi na woote wanaoathirika na HIV hawawaoni wenzao walioathirika kabla yaoHivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
Sio yule zungu Ali 1 wa kino clan na akahamisha maskani mikocheniDon moja la mikocheni,king'oko ndo ilikua maskani yake kubwa.
hakuna sumu inayotolewa kwa mtindo huo ni wizi tu kwa watu wasio na elimu sumu inatolewa kwa dialysis kama figo zako hazifanyi kazi, kama figo zinafanya kazi hutakiwi kuhangaika na chochote.SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV
UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
No Mkuu nilisema kuwa alitaka kumchoma kisu kwa kumaanisha kuwa alimtishiaDuh, alimchoma kisu kabisa?