Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

Yeye Alisema anaonja onja lakini sio mtumiaji wa unga,
 
Haya madawa yamekuwa hatari kwa vijana ukimuona rechal yule kizunguzungu utalia machozi yuko mwanza saahiv amechoka anakula kwa mamantile na kiroba mkononi ,, kawa teja amechokaa kachakaa
KAAMUA KUMUIGA WANNABE WAKE!
nilijua ataishia kuiga kiuno na kurembua macho,kumbe mpk unga?
 
Hivi haya madawa yana starehe sana eeh, na inakuaje wanapokosa pesa ya kununulia? Nahisi baadhi yao huenda wakakubali hata kupumuliwa, hii hatari sana serikali ijitahidi kuangamiza hili tatizo kwa kweli ndio maana mashoga wamekuwa wengi mtaani.
Nando alishafika huko,nipe poda kula rujo!
dah!
 
Hivi,hawa wooote wanaoathiriwa na sembe hawawaoni wenzio walivoathiriwa kabla yao!?
hivi na woote wanaoathirika na HIV hawawaoni wenzao walioathirika kabla yao

anyway binadamu atujifunzi mpaka madhara
 
SINZA MAPAMBANOO KWA WACHINAA ILEMASHINE INAONDOA HADI SUMU YA HIV

UKIWEKA MIGUU WANAKUUNGANISHA NA MITAMBO MAJIYANAANZA BADILIKA RANGI KUWA BLUE AMA NYEKUNDU... UKIONA MAJIMEKUNDU KAPIME NA NGOMA UKITOKA HAPO
hakuna sumu inayotolewa kwa mtindo huo ni wizi tu kwa watu wasio na elimu sumu inatolewa kwa dialysis kama figo zako hazifanyi kazi, kama figo zinafanya kazi hutakiwi kuhangaika na chochote.
 
Tatizo vijana wa kitanzania ni malimbukeni wanadhani ukishakuwa star basi ni lazima utumie mihadarati.
 
Back
Top Bottom