Kule italy,,kuna padri alikuwa kwenye ventilator,,akamwona kijana mmoja kaletwa yuko hoi,amekosa ventilator,,padri ilibii aombe wamtoe kwenye mashine,wamwekee kijana,,juu yeye ameshaishi miaka mingi,akaona bora kijana apate fighting chance kuliko kumuacha afe angali bado mdogo,
Padri akafa
Duuh poleni sanaHaya mambo mimi nimejionea mwenyewe yaani sio kuambiwa, kaka alikosa mashine tukaambiwa masine iko moja na ina mtu kama tuna hela kidogo tutoe jamaa anyofolewe nilishindwa tukapambana kumuomba mungu tu wakaja kumwekea usiku saa nane asubuhi saa moja kaka yangu akafariki ....sitasahahau hii changamoto ya upumuaji imemuondoa mtu aliyekuwa nguzo kwangu
Wanakwambia bora watu wote wafe , ila uchumi ukue, Sasa sijui huo uchumi ni kwa manufaa Ya naniTakwimu zingesaidia sana watu kuona ukubwa na uzito wa tatizo. Hakika mtu aliyezuia upimaji na utoaji wa takwimu ni muuji kama corona yenyewe.
Wanakwambia bora watu wote wafe , ila uchumi ukue, Sasa sijui huo uchumi ni kwa manufaa Ya nani
Rais kala chanjoBy Boniface Jacob kupitia Twitter:
Tumuombe Sana Mungu Ndugu zangu,Wiki hii nimeona Mambo ya Kutisha.
Sikuwahi Kujua Ipo Siku sisi Binadamu tutagombea "Oxygen" wenyewe kwa Wenyewe INATISHA.
Mbaya Zaidi unakuwa Upo Tayari Kumpandia "Dau" Mgonjwa asiye wako anyofolewe kwenye "Oxygen" ili awekwe Ndugu yako.UBINAFSI
Kwani mwaka jana mlikuwa mnajikinga vip kabla ujinga haujaingilia kati.Mimi nadhani ni vizuri zaidi kama watu wakajikita katika kutoa elimu ya jinsi ya kujikinga na gonjwa hili kuliko kutangaza vifo vya watu wa familia zingine, sijasema kutangaza vifo vya familia zingine haifai au inafaa ila elimu ya kujikinga na gonjwa hili ni muhimu zaidi.
Kama inawezekaza basi Mods wangeweka thd ya namna hiyo kama sticky thd.
Naumwa rafiki. Acha utani. Napambana mwenzioRafiki vile nakuona Valentine's day jana umekung'uta siafu![emoji23][emoji23][emoji23]
Rafiki nasikia hapo Arusha mnakiona cha mtema kuni!Huu ni ugonjwa au jinamizi? Maana unaenda kugusa sehemu maalumu ya kuitwa mtu yupo Hai yaaani PUMZI
[emoji15][emoji15][emoji15]Rafiki ni Corona?[emoji24][emoji24][emoji24]Naumwa rafiki. Acha utani. Napambana mwenzio
Iwe nn rafiki!!!! Hakuna kushangaa. Jilinde sana[emoji15][emoji15][emoji15]Rafiki ni Corona?[emoji24][emoji24][emoji24]
Yo' muvafukin azz insane ma nigga πππ jus craked a nigga ribs like fo sho!The only thing that will save lives from this disease is to stick our asses at home. But the problem comes Black asses are not adhesive at all!
I say huu ungonjwa kama ni kusambaa TZ na basi umesambaa saana... Nalaumu sana baadhi ya viongozi wenu. Nchi yenu ya TZ iina kila kitu inachohitaji kuwa number moja kand ahii ya afrika mashariki na ya kati. Lakini mara kwa mara decisions ambazo baadhi ya viongozi wenu huchukua, huwa za kuhuzunisha saana.Taratibu ni zile zile Mkuu.
1. Kuvaa barakoa
2.Kutumia "SANTAIZA".
3.Kunawa Mikono na maji tiririka na sabuni.
4.Social Distancing.
5.Kama hakuna ulazima wa kutoka basi ni bora utulie nyumbani.
6.Kufanya Mazoezi.
7.Kula vyakula vya kuongeza kinga za mwili.
KENYATAJA SERIKALI YOYOTE ILIYOCHANGAMKA KWENYE SUALA LA KUPAMBANA NA KORONA NA IKAFANIKISHA.
No!not you rafiki!π’π’π’Iwe nn rafiki!!!! Hakuna kushangaa. Jilinde sana
Sasa kinachofatia ni TZ kutengwa na nchi nyingi kutokana na hali ya ugonjwa huu huko kwenu..pia itabidi travel advisory zitolewe na hii pia itawagharimu.I say huu ungonjwa kama ni kusambaa TZ na basi umesambaa saana... Nalaumu sana baadhi ya viongozi wenu. Nchi yenu ya TZ iina kila kitu inachohitaji kuwa number moja kand ahii ya afrika mashariki na ya kati. Lakini mara kwa mara decisions ambazo baadhi ya viongozi wenu huchukua, huwa za kuhuzunisha saana.
Walisema hakuna ungonjwa TZ na kutupilia mbali taratibu za kujikinga nakdhlika.
Its good to be unique ,but not too unique.
Hata Biblia yenyewe kuna mahali inasema:
ISAIAH 26:20 (Njoni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita)
Mambo ya kujiunga na mambo ya afrika mashariki mkawa na ugumu, yaani mambo yenu mengi mnayafanya kitofauti tofauti na ina wagharimu saana kama nchi.
AMKENI NDUGU ZETU.
Wamepona wangapii au huoni matangazo na leo wamepoteza mtu muhimu saana.KENYA