Hii ndio hatua aliyofikia Koffi Olomide?

Kama kuna member yoyote humu anayemshangaa Mopao kwa huo uvaaji wake basi itakuwa amezaliwa miaka ya tisini mwishoni
 
.
 

Attachments

  • 80756ad7c34286c9fa0c66deddf352e4.jpg
    36.1 KB · Views: 47
Pesa inafanya watu wabadilishe
Hata jinsia zao ndo maana
Mashoga wengi n wale matajir
Na,watu maarufu
 
Shentemba mokili mombimbaa papaa mopao le generale
 
Kuna msani mmoja wa bongo siku sio nyingi ataiga[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Jamaa alikuaga MTU wa heshima sana kipndi kileeeee sijui kapatwa na nn uzeeni
Aliruka stage...ila msisahau kuwa huyu ni mutu ya Congo kwahyo wao kutupia vitu vya ajabu ni kawaida
 
Atakuwa anakuja Bongo huyu anaficha jinsia yake kuepuka kipimo cha tezi dume.
 
Begi lake hata likiachwa Tandale hakuna atakayelichukua zaidi litapelekwa ubalozi wa DRC hata kama halina utambulisho mateja wa Tandale watajua tu kuwa hivi viwalo ni vya mzee mpiga mateke wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…