Hii ndio jezi ya Yanga SC mitandaoni na uhalisia. Tumepigwa!

Hii ndio jezi ya Yanga SC mitandaoni na uhalisia. Tumepigwa!

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Huu uzi ukiuona huko mtandaoni unaita kwelikweli, tafuta sasa wa uhalisia, utajua hujui.

Anyway sio wa kuuzwa elfu 50, wana Yanga SC tunapigwa hapa

99C0BCE4-A0B0-4B46-AC94-4459FE7CB047.jpeg
7680F86D-7C63-493D-84CB-D90B1FE26B1B.jpeg
 
Baibui la miss buza linafunika mpaka chura jagwani
 
Tayari huko SportPesa wamekiwasha wanadai Yanga wamekiuka mkataba kwa kumuweka mdhamini mwingine kwenye jezi yao waliyoizindua juzi
 
Hivi kwenye ile Logo ya mdamini TOTAL ile rangi nyekundu hawajaikataa
 
Back
Top Bottom