leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,588
Pale mjanja ndie atanufaika ila mkataba wao uko wazi sanaTayari huko SportPesa wamekiwasha wanadai Yanga wamekiuka mkataba kwa kumuweka mdhamini mwingine kwenye jezi yao waliyoizindua juzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pale mjanja ndie atanufaika ila mkataba wao uko wazi sanaTayari huko SportPesa wamekiwasha wanadai Yanga wamekiuka mkataba kwa kumuweka mdhamini mwingine kwenye jezi yao waliyoizindua juzi
Ni kwasababu timu inaendeshwa kiselaMwaka huu mna kazi , hamujui mshike lipi muache lipi
Camera imeshindwa kuonyesha hata hiyo gari vizuriHuu uzi ukiuina huko mtandaoni unaita kwelikweli, tafuta sasa wa uhalisia, utajua hujui. Anyway sio wa kuuzwa elfu 50, wana yanga tunapigwa hapaView attachment 2502219View attachment 2502221
Endeleeni na uana harakatiNi kwasababu timu inaendeshwa kisela
Kwa sababu wanaoupinga na kuulaani wana chembe chembe zake.Ni namna yao tu ya kupima nguvu za upepo.ALIWAZALO MJINGAKwanini maneno ya ushoga yamekuwa ya kawaida Sana kutamkwa
Sawa shoga mkuu!! Haya kafunge pampas usituachie kinyesi kwenye uziKuionea huruma pesa ya mwanaume mwenzako izo ni dalili mbaya ( viashirilia vya kuwa shoga ) take care Bwana mdogo
Xiaomi ni simu au calculator? Tafuta hela ununue simu ya kuelewekaUnapiga picha Kwa Tecno Y3 ukitegemea picha ifanane na iliyopigwa na Xiaomi
Mpaka Bumbuli katokezea kama albinoMkuu hii picha umepiga na Snapchat!!? Naona mtu mpaka kavitz ni awfulness
Mkuu hiyo editing hadi gari rangi nyeusi imekuwa pink daa!