Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Kwanini maneno ya ushoga yamekuwa ya kawaida Sana kutamkwaKuionea huruma pesa ya mwanaume mwenzako izo ni dalili mbaya ( viashirilia vya kuwa shoga ) take care Bwana mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini maneno ya ushoga yamekuwa ya kawaida Sana kutamkwaKuionea huruma pesa ya mwanaume mwenzako izo ni dalili mbaya ( viashirilia vya kuwa shoga ) take care Bwana mdogo
Huo mkataba uko wapi? Na unasemaje?Mmekiuka terms za mkataba lakini
Anao SportPesaHuo mkataba uko wapi?
Hauna usemiNa unasemaje?
Sasa kama hauna usemi wewe umejuaje umekiukwaAnao SportPesa
Hauna usemi
Sasa kama hauna usemi wewe umejuaje umekiukwa
Huu ndo Mkataba?
Hilo ni lalamiko la mdhamini likiituhumu Club kukiuka masharti ya mkatabaHuu ndo Mkataba?
Kumbe lalamiko tuHilo ni lalamiko la mdhamini likiituhumu Club kukiuka masharti ya mkataba
Mkataba umekiukwaKumbe lalamiko tu
Kwahiyo nini kifanyikeMkataba umekiukwa
Mbona jezi kali kabisa??
View attachment 2502229
Hilo ni suala wali ambalo management ya Yanga ilipaswa kujiuliza kabla ya kufikia hatua ya kutoa jeziKwahiyo nini kifanyike
Nadhani walishajiuliza na kufikia maamuzi ya kutafuta mdhamini mwingine kwa mashindano ya CAFHilo ni suala wali ambalo management ya Yanga ilipaswa kujiuliza kabla ya kufikia hatua ya kutoa jezi
Walituma request kwa mfadhili mkuu (SportPesa) kupewa ruhusa ya kupata mfadhili mwingineNadhani walishajiuliza na kufikia maamuzi ya kutafuta mdhamini mwingine kwa mashindano ya CAF
Tarimba Abbas avuliwe uanachama maana ameanza kutuonea wivu na kutuhujumu wananchiKwahiyo nini kifanyike
Unapiga picha Kwa Tecno Y3 ukitegemea picha ifanane na iliyopigwa na XiaomiHuu uzi ukiuina huko mtandaoni unaita kwelikweli, tafuta sasa wa uhalisia, utajua hujui. Anyway sio wa kuuzwa elfu 50, wana yanga tunapigwa hapaView attachment 2502219View attachment 2502221
Mwaka huu mna kazi , hamujui mshike lipi muache lipiMkataba umekiukwa
Hio yako ni Getafe ya Mtukula