Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mkuu hii picha umepiga na Snapchat!!? Naona mtu mpaka kavitz ni awfulnessMbona jezi kali kabisa??
View attachment 2502229
Nmemsaidia kuongeza saturation ya jezi kwenye picha ya mtoa mada ili asijiskie vibayaππMkuu hii picha umepiga na Snapchat!!? Naona mtu mpaka kavitz ni awfulness
Sheria Ngowi hakika umeupiga mwingi sana katika hizi jersey nzuri kabisa za wananchi!!Huu uzi ukiuina huko mtandaoni unaita kwelikweli, tafuta sasa wa uhalisia, utajua hujui. Anyway sio wa kuuzwa elfu 50, wana yanga tunapigwa hapaView attachment 2502219View attachment 2502221
Acha unafki mkuu Uzi mkali aliopatia ni ule wa Majengo MajengoSheria Ngowi hakika umeupiga mwingi sana katika hizi jersey nzuri kabisa za wananchi!!
Dah aiseeNmemsaidia kuongeza saturation ya jezi kwenye picha ya mtoa mada ili asijiskie vibayaππ
mbona kama unalazimisha mkuu nikubali mawazo yako?Acha unafki mkuu Uzi mkali aliopatia ni ule wa Majengo Majengo
Yaishe, maana uzuri wa kitu upo machoni kwa mtumbona kama unalazimisha mkuu nikubali mawazo yako?
Rangi mujarabu ya vyura
Mmekiuka terms za mkataba lakiniJezi ni Kali sana ππ