Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,186
- 7,492
Kwa sasa, kazi ya msingi inayofanywa na UVCCM ni kupongeza kazi nzuri zinazofanywa na serikali chini ya Mhe. Rais Mama samia.
Jambo wanalofanya ni zuri kwa kuwa ni kweli kuna kazi nzuri na kubwa zinazofanyika. Aidha, ni muhimu kwa kuwa mtu anapofanya jambo jema na akapongezwa, hiyo ni incentives kwake kufanya mambo ya maana zaidi na asipopongezwa taratibu huvunjika moyo na kurudi nyuma. Hivyo kwa hili wanafanya jambo jema.
Hata hivyo pamoja na umuhimu wa kazi hiyo wanayofanya; kwa kufanya kazi hiyo tu na kuishia hapo ; wanakuwa wanatumia uwezo wao chini ya kiwango sana (under utilize their potencials/ capabilities).
Tunaweza kusema labda wanatumia uwezo wao kwa 1℅ na 99℅ wanaacha kuitumia iko idle na hii sio tu kwamba ni hasara kwa chama na kwa taifa bali pia ni hatari kwa namna fulani sasa na baadae.
Inaendelea...
Jambo wanalofanya ni zuri kwa kuwa ni kweli kuna kazi nzuri na kubwa zinazofanyika. Aidha, ni muhimu kwa kuwa mtu anapofanya jambo jema na akapongezwa, hiyo ni incentives kwake kufanya mambo ya maana zaidi na asipopongezwa taratibu huvunjika moyo na kurudi nyuma. Hivyo kwa hili wanafanya jambo jema.
Hata hivyo pamoja na umuhimu wa kazi hiyo wanayofanya; kwa kufanya kazi hiyo tu na kuishia hapo ; wanakuwa wanatumia uwezo wao chini ya kiwango sana (under utilize their potencials/ capabilities).
Tunaweza kusema labda wanatumia uwezo wao kwa 1℅ na 99℅ wanaacha kuitumia iko idle na hii sio tu kwamba ni hasara kwa chama na kwa taifa bali pia ni hatari kwa namna fulani sasa na baadae.
Inaendelea...