Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Kuna jiji la ovyo na la ajabu kama arusha nyinyi hata kwenye uchumi Singida anawapumulia nyuma, mlishabakiza kujitapa kwenye hali ya hewa na mapori ya maonesho utadhani mnaishi kwenye mapori ya hifadhi.
Itaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.
Kumbuka kwenye makusanyo ya TRA ikitoka Dar ni Arusha.
Yaan tukisema kila mkoa utumie makusanyo yake mikoa kama Mwanza,mbeya,Tanga itapelekwa intensive care unit.
 
Mnaoiponda Mbeya na kuiacha Tanga siwaelewagi kabisa kisa viazi ndoo elf 2 ndo maana mnapaona kijijini au?
 
Itaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.
Kumbuka kwenye makusanyo ya TRA ikitoka Dar ni Arusha.
Yaan tukisema kila mkoa utumie makusanyo yake mikoa kama Mwanza,mbeya,Tanga itapelekwa intensive care unit.
Kuna indirect na direct tax ndio maana uchumi haupimwi kwa taxes, unapimwa GDP, utalii una mapato ya moja ka moja kama mngekuwa mnaongoza au uchumi unapiwa kwa mapato ya TRA mngekuwa na uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya.
 
Mwanza ipo kimakosa...hili jiji wakazi wake ni kama watumwa...kampuni nyingi na viwanda vingi wanalipa mishahara kidogo sana, usiombe uajiriwe na wahindi au wachina sahau hata kujenga, bado ukisema ujiajiri biashara zao za kibaguzi sana, kama huongei kisukuma au kikurya na kijaluo utapata tabu sana 😢
Baba yako angevaa kondomu tu, kuuepusha ukoo na utahira wako
 
Kuna indirect na direct tax ndio maana uchumi haupimwi kwa taxes, unapimwa GDP, utalii una mapato ya moja ka moja kama mngekuwa mnaongoza au uchumi unapiwa kwa mapato ya TRA mngekuwa na uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya.
Hizi story nani anataka kusikia? Kikubwa mapato yote hayo yanatoka Arusha ambayo unaiita pori.
 
Back
Top Bottom