Itaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.Kuna jiji la ovyo na la ajabu kama arusha nyinyi hata kwenye uchumi Singida anawapumulia nyuma, mlishabakiza kujitapa kwenye hali ya hewa na mapori ya maonesho utadhani mnaishi kwenye mapori ya hifadhi.
Kuna indirect na direct tax ndio maana uchumi haupimwi kwa taxes, unapimwa GDP, utalii una mapato ya moja ka moja kama mngekuwa mnaongoza au uchumi unapiwa kwa mapato ya TRA mngekuwa na uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya.Itaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.
Kumbuka kwenye makusanyo ya TRA ikitoka Dar ni Arusha.
Yaan tukisema kila mkoa utumie makusanyo yake mikoa kama Mwanza,mbeya,Tanga itapelekwa intensive care unit.
atajua yeye.Unasema
Achana hao washamba, wasiojua uzuri wa Mbeya, nje ya Dar na Mwanza hakuna jiji kama Mbeya.Mnaoiponda Mbeya na kuiacha Tanga siwaelewagi kabisa kisa viazi ndoo elf 2 ndo maana mnapaona kijijini au?
Umeniamsha nikajua kuna mtu kapata gono tenaatajua yeye.
Hahhahaha, vipi unatiba yake/ unatibu gonoUmeniamsha nikajua kuna mtu kapata gono tena
πππ Mbona kama unamtaja DR SANTOS maana kuna uzi wake umefufuka leoUmeniamsha nikajua kuna mtu kapata gono tena
Baba yako angevaa kondomu tu, kuuepusha ukoo na utahira wakoMwanza ipo kimakosa...hili jiji wakazi wake ni kama watumwa...kampuni nyingi na viwanda vingi wanalipa mishahara kidogo sana, usiombe uajiriwe na wahindi au wachina sahau hata kujenga, bado ukisema ujiajiri biashara zao za kibaguzi sana, kama huongei kisukuma au kikurya na kijaluo utapata tabu sana π’
ππnilikuwa naupitia mwanangu gono limenipitiaπππ Mbona kama unamtaja DR SANTOS maana kuna uzi wake umefufuka leo
Mbeya iko vizuri mno, dar yenyewe anamtegemea ili aweze kushiba, halafu pia dar ni km imeelemewa hasa huduma za kijamii ni ovyo mnoAchana hao washamba, wasiojua uzuri wa Mbeya, nje ya Dar na Mwanza hakuna jiji kama Mbeya.
Kuhusu Dar hatuwezi kuweka jiji lolote la kushinana nalo.Mbeya iko vizuri mno, dar yenyewe anamtegemea ili aweze kushiba, halafu pia dar ni km imeelemewa hasa huduma za kijamii ni ovyo mno
Huko Dar kumejaa harufu ya makwapa, uchafu kila mahali na hewa nyingi ya ukaa, huko ni ndugu mmoja na jehanum japo ndio sehemu yenye fursa na mianya ya kutoboa life.Mbeya iko vizuri mno, dar yenyewe anamtegemea ili aweze kushiba, halafu pia dar ni km imeelemewa hasa huduma za kijamii ni ovyo mno
Pole Sana mkuu πππππnilikuwa naupitia mwanangu gono limenipitia
Kweli usicheke haya mpati mbuzi
Pambaneni na vumbi lenye trachoma.Dodoma ingepata Hali kama ya mbeya π¦π¦π¦
HakikaaKuhusu Dar hatuwezi kuweka jiji lolote la kushinana nalo.
Tanzania kuna Dar na majiji mengine.
Gap ni refu sana
Hizi story nani anataka kusikia? Kikubwa mapato yote hayo yanatoka Arusha ambayo unaiita pori.Kuna indirect na direct tax ndio maana uchumi haupimwi kwa taxes, unapimwa GDP, utalii una mapato ya moja ka moja kama mngekuwa mnaongoza au uchumi unapiwa kwa mapato ya TRA mngekuwa na uchumi mkubwa kuliko Mwanza na Mbeya.