Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Hii ndio orodha ya majiji mazuri zaidi Tanzania

Mara yako ya mwisho kufika Arusha ni mwaka gani mkuu?
Unaulizia shule ya Serikali ya English medium Arusha? Ipo. Inaitwa Arusha School.

Vyuo je?
1. Arusha Technical
2. Arusha University
3. Nelson Mandela University
4. Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru
5. Chuo cha Mifugo Tengeru
6. Mt. Meru University
7. Eastern and Southern African Management Institute - ESAMI (hiki ni Chuo cha Kimataifa, wanaopitia pale wanapata exposure kubwa sana)
8. Makumira University
9. Tanzania Military Academy(TMA)

Havijatosha tu? Au niendelee kuvitaja na vingine? Bado vipo vingi tu.
Arusha is always on the top and they know it😍
 
Hujui kitu hopeless 😄
Endelea kubishana stori za kijiweni
Hiyo arusha school aliyosoma mo dewji ni shule ya serikali
Wivu juu ya arusha utawaua
Wewe umezoea kubishana na watu wa vijiweni 😄
Hizo ndio hoja zako??
Mo dewji kasoma arusha school ya serikali unabisha
Mwanzo ulisema arusha hamna shule ya english medium ya private 😜
Huu uzi ni mwanza vs arusha
Baada ya mwanza kupigwa na kitu kizito kuanzia makusanyo ya TRA na wingi wa maghorofa
Mlichobaki nacho ni kuzaliana kama panya
Mnatafuta ahueni huku
Arusha umetoka kuwa mji wa 9 kwa ukubwa hadi leo ilipo
Na sasa hivi dodoma ndio imewazika kwa umuhimu miji ni Dar, Zanzibar, Dodoma na Arusha bas
Nyie dagaa wa ziwani zama zenu zimeisha
Unaongelea mapato ya utalii hujui hata kitu kinaitwa mnyororo wa thamani ndio maama ufukara umewajaa hamna kitu cha kuwaingizia mapato
Laiti ungejua projects zinazoendelea arusha ungeshika kichwa 😄
Hawawez elewa hapo watu wa ziwani
 
Arusha Jiji limewekwa kukidhi zaidi watalii na wenye pesa, sio wananchi wa kawaida.

Vuta picha jiji halina shule ya serikali english medium za laki 2 (kama ipo haizidi moja) lakini mtu anaishi Ngarenaro anakuja sifia eti kuna shule za kimataifa za milioni 40
Wewe uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ya shule 3 za English medium ndio sifa ya kuwa jiji bora. Mbona majiji hayo yalikuwepo kabla ya hizo shule. Thick critically.
 
List ni
1. Dar
2.Arusha

Hata nchi jirani kama Kenya, Uganda n.k wanapenda sana wafikie Arusha kujionea uzuri wake. Mwanza na Mbeya haijulikani.
Jengeni kwanza stend na soko acha ubishi, hivyo vitu vinawaaibisha sana na kuwaondolea status ya jiji.

Kile kistend na kile kisoko ni uchafu! halafu muache na usela wa kijinga na kuvuta bangi hovyo bila mpangilio mji utakuwa mzuri.
 
Bora hata tungeenda Kwa data rasmi, ndiyo ingekuwa vizuri...mambo ya maghorofa makubwa nayo hudanganya, maghorofa mengine yapo tupu tu hayana watu....mwenye data rasmi azimwage hapa.
 
Jengeni kwanza stend na soko acha ubishi, hivyo vitu vinawaaibisha sana na kuwaondolea status ya jiji.

Kile kistend na kile kisoko ni uchafu! halafu muache na usela wa kijinga na kuvuta bangi hovyo bila mpangilio mji utakuwa mzuri.
Kwan stend za mwanza, mpanda na sumbawanga si zimejengwa na serikali kuu ni halmashauri gani imejenga stendi kwa hela zake
Kama serikali imeona kaskazini isubiri kwanza ni wao
Bangi marekani wanavuta zaidi miji yao iondolewe hadhi ya jiji
Shida watu wa ziwani hamnaga facts mmejaa tu ubaguzi na chuki dhidi yabwatu wa kaskazini
 
1. DAR - ES - SALAAM

Majiji Mengine ....

2. MWANZA - Ni jiji tangu enzi za Tanzania yenye majiji mawili
3. MBEYA - ni likijiji likubwa lakini kuna fursa nyingi, vyakula, unafuu wa huduma ya maji, utitiri wa vyuo, hospitali bora na huduma nyingine za jamii, n.k.
4. ARUSHA - Ni jiji zuri kwa watalii na matajiri wachache wenye kampuni za utalii na migodi nje ya mkoa, si kwa wananchi wa kawaida
5. DODOMA
6. TANGA

Uzuri wa jiji sio majengo tu ya mjini, ni mnyumbuiko wa mambo mengi sana kama:

  • Upatakanaji na unafuu wa Vyakula
  • Mzunguko wa Pesa ndani ya jiji
  • Hali nzuri ya hewa.
  • Huduma ya maji
  • Shule na vyuo
  • Ajira-wingi wa Makampuni na Viwanda
  • Stendi za Mabasi
  • Viwanja vya ndege
  • Hospitali
  • Barabara
  • Hoteli na Lodges
  • Timu za mpira - Ligi kuu
  • Kumbi za Starehe
  • Uzuri wa makazi ya watu
  • Usalama
  • Masoko makubwa Mall na Supermarkets
Tanga na Mbeya zitoe hapo, vile ni vijiji vikubwa. Dodoma inakuja kwa kasi mno, Mwanza na Arusha wajipange.
 
Amna kasi wanayokuja nayo ni serekali tu inajenga majengo yake na miundombinu lakini hakuna pull factors za kukuza mji uliza watu Dodoma biashara zilivongumu
Dodoma ni jiji linalofanya vizuri kwa ukusanyaji mapato baada ya Dar na kwa upande wa halmashauri za manispaa/jiji Dodoma inaongoza kwa ukusanyaji mapato. Unataka kusema hayo mapato yanakusanywa kwenye biashara zisizozalisha!!!??? Achana na story za kahawani, leta data hapa uumbuke.
 
Amna kasi wanayokuja nayo ni serekali tu inajenga majengo yake na miundombinu lakini hakuna pull factors za kukuza mji uliza watu Dodoma biashara zilivongumu
Stori za vijiweni 😁😁

Ukitoa Dar,Kuna Mji gani hapa Tzn unaikaribia Dom Kwa Ukuaji na Mapato?
Screenshot_20240816-084347.jpg
 
1. DAR - ES - SALAAM

Majiji Mengine ....

2. MWANZA - Ni jiji tangu enzi za Tanzania yenye majiji mawili
3. MBEYA - ni likijiji likubwa lakini kuna fursa nyingi, vyakula, unafuu wa huduma ya maji, utitiri wa vyuo, hospitali bora na huduma nyingine za jamii, n.k.
4. ARUSHA - Ni jiji zuri kwa watalii na matajiri wachache wenye kampuni za utalii na migodi nje ya mkoa, si kwa wananchi wa kawaida
5. DODOMA
6. TANGA

Uzuri wa jiji sio majengo tu ya mjini, ni mnyumbuiko wa mambo mengi sana kama:

  • Upatakanaji na unafuu wa Vyakula
  • Mzunguko wa Pesa ndani ya jiji
  • Hali nzuri ya hewa.
  • Huduma ya maji
  • Shule na vyuo
  • Ajira-wingi wa Makampuni na Viwanda
  • Stendi za Mabasi
  • Viwanja vya ndege
  • Hospitali
  • Barabara
  • Hoteli na Lodges
  • Timu za mpira - Ligi kuu
  • Kumbi za Starehe
  • Uzuri wa makazi ya watu
  • Usalama
  • Masoko makubwa Mall na Supermarkets
seriously unataja hadi Dodoma kule kwenye vumbi na maji ya chumvi kama magadi, hhaaaa u must be kidding , pale ni kijiji kilichochangamka hamna kitu afadhali hata kwenye huo mkeka wako ungetaja Morogoro japo yenyewe bado ni manispaa.
 
Nimeshakwambia majiji TZ ni 2 tu mbona huelewi

Dar

Mwanza

Mji ambao hauna stend na soko la maana, Arusha jengeni kwanza stend na soko ndio mtakuwa jiji mambo mengine mnajitahidi.

Mbeya sio jiji kwa sababu kuna nyumba za tope mjini halafu haijulikani city center ni wapi.

Dodoma wanakuja vizuri, tatizo hali ya hewa na lile jangwa kama Kandahar lakini wanakuja kuwa namba 3.

Kwahiyo kwa sasa majiji yabaki 2 tu.
Jangwani watu wanaishije? Moja ya Majiji ya hovyo hapa Tanzania ni Mwanza 😁😁
Screenshot_20240816-084347.jpg
 
Sijawi ona faida ya faida juu ya majiji ubishani wa majiji sijuwi. Haina tija, haisaii chochote. Zaidi naona watoa mada juu ya ubishani huu ni kukosa exposure au walienda shule kwaajili wasisumbue wazazi nyumbani. Badilikeni fikra na mitazamo toka enzi za zama za mawe.Hayo yote mliyotaja hapo ni maporini tu yenye majengo.
Pole ila faida mojawapo ya kuwa Jiji ni kupata Fedha kubwa ya Maendeleo kushinda Manispaa,Miji na Halmashauri na stahiki zinginezo.
 
Itaichukua Singida miaka 500 kufika ilipo Arusha saiv.
Kumbuka kwenye makusanyo ya TRA ikitoka Dar ni Arusha.
Yaan tukisema kila mkoa utumie makusanyo yake mikoa kama Mwanza,mbeya,Tanga itapelekwa intensive care unit.
Hapana tutaweka tozo kwenye mazao ya Kilimo ambayo Yako less taxable Kwa Sasa.

Pia tuna Utalii ambao uko neglected in favor Kwa Arusha 👇👇

View: https://twitter.com/TanzaniaWelcome/status/1755646168422342923?t=t0PdOXoDl3WJG0uj4eoiQQ&s=19

View: https://twitter.com/TanzaniaWelcome/status/1725769078156022121?t=xTcAOp-k8XNgEeEXt_5wDg&s=19
 
Back
Top Bottom