Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Hata kipindi cha Nyerere waliotaka vyama vingi walikuwa 20% tu ,haijalishi wanaotaka ni asilimia ngapi hata kama ni mmoja tu anataka na akawa na hoja zenye mashiko basi ana haki yake.
-Kuna mambo mengi sana ya hovyo yaliyopo kwenye katiba hii ambayo yanahitaji kuondolewa,eg kuna ulazima wa kuwa na utitiri wa RC,RAS,DAS,DC etc na kuongeza gharama kwa taifa? Rasimu ya Warioba ilikuwa nzuri maana ilikusanya maoni ya wananchi.
Katiba inaumhimu wake ila si kwa kila kitu,
Mwanadamu si wa kudhibitiwa na katiba pekee, Ni nidhamu na kupenda haki ndiyo tunu kwa kila taifa
Ukitaka kufahamu kwamba katiba sio mwarobaini, Jifunze kwa vitabu vya Mungu vilivyoahidi adhabu kali kuliko katiba zote za duniani, lakini wanadamu wanazivunja kila siku amri na katiba ya maisha ya baada ya haya, sembuse katiba isiyoziba mianya yote, la mwanadamu haliwezi kuwa Perfect 💯, Mtatengeneza katiba, lakini kutapatikana tu watu watakaoona mianya ya katiba hiyo na watajinufaisha kupitia udhaifu huo, hii ni lazima,
Katiba inahitajika, ila siyo dawa ya wavunja katiba, na wala haitasababisha tuishi kama peponi, Kwani Africa nzima hakuna nchi zenye katiba nzuri na bora?
Je kwao kukoje?
Tuitafuteni katiba kwa maelewano, Wale wanaoitaka, wasiitake kwa nguvu, wale wasiopenda wasiwazuie wanaoitaka kwa nguvu
Tujadiliane kwa upendo, ingawa kwangu mimi siiwekei umhumu na kuipa matumaini makubwa mno
Tujifunze kwa katiba za vyama vyetu,
Mungu Ibariki Tanzania
Katiba inaumhimu wake ila si kwa kila kitu,
Mwanadamu si wa kudhibitiwa na katiba pekee, Ni nidhamu na kupenda haki ndiyo tunu kwa kila taifa
Ukitaka kufahamu kwamba katiba sio mwarobaini, Jifunze kwa vitabu vya Mungu vilivyoahidi adhabu kali kuliko katiba zote za duniani, lakini wanadamu wanazivunja kila siku amri na katiba ya maisha ya baada ya haya, sembuse katiba isiyoziba mianya yote, la mwanadamu haliwezi kuwa Perfect 💯, Mtatengeneza katiba, lakini kutapatikana tu watu watakaoona mianya ya katiba hiyo na watajinufaisha kupitia udhaifu huo, hii ni lazima,
Katiba inahitajika, ila siyo dawa ya wavunja katiba, na wala haitasababisha tuishi kama peponi, Kwani Africa nzima hakuna nchi zenye katiba nzuri na bora?
Je kwao kukoje?
Tuitafuteni katiba kwa maelewano, Wale wanaoitaka, wasiitake kwa nguvu, wale wasiopenda wasiwazuie wanaoitaka kwa nguvu
Tujadiliane kwa upendo, ingawa kwangu mimi siiwekei umhumu na kuipa matumaini makubwa mno
Tujifunze kwa katiba za vyama vyetu,
Mungu Ibariki Tanzania
Kwanza kuna swali moja la kuuliza. Unapokuwa madarakani unaweza ukawa unakuja kwa nia njema kabisa ya kupigania haki za wananchi na sio maslahi binafsi na kulinda serikali hata kama inakosea.HII NDIO ORODHA YA MAKUNDI YA WATU WANAOHITAJI KATIBA MPYA
Na, Robert Heriel
Robert..japo kutokana na utafiti wako imeonesha ni 20% ndio wanaotaka mabadiliko ya Katiba, lakini kumbuka mara nyingi kundi dogo kama hili ndio huwa chachu ya kuwabadili waliowengi...rejea vuguvugu la Arab spring lilivyo waondoa watawala wa Afrika Kaskazini, rejea jinsi mfumo wa vyama vingi ulivyokubalika hapa nchini!
Kwanza kuna swali moja la kuuliza. Unapokuwa madarakani unaweza ukawa unakuja kwa nia njema kabisa ya kupigania haki za wananchi na sio maslahi binafsi na kulinda serikali hata kama inakosea.Robert..japo kutokana na utafiti wako imeonesha ni 20% ndio wanaotaka mabadiliko ya Katiba, lakini kumbuka mara nyingi kundi dogo kama hili ndio huwa chachu ya kuwabadili waliowengi...rejea vuguvugu la Arab spring lilivyo waondoa watawala wa Afrika Kaskazini, rejea jinsi mfumo wa vyama vingi ulivyokubalika hapa nchini!
Kwanza kuna swali moja la kuuliza. Unapokuwa madarakani unaweza ukawa unakuja kwa nia njema kabisa ya kupigania haki za wananchi na sio maslahi binafsi na kulinda serikali hata kama inakosea.Hapo amegusa kundi kubwa la vijana wa chadema!
Kwanza kuna swali moja la kuuliza. Unapokuwa madarakani unaweza ukawa unakuja kwa nia njema kabisa ya kupigania haki za wananchi na sio maslahi binafsi na kulinda serikali hata kama inakosea.Kenya wana katiba tunayoambiwa ni bora sana lakini ufisadi na umasikini kwa raia umekita mizizi!
Ndio kusema kwamba katiba ya Kenya ni nzuri kwa wanasiasa tu!
Katiba nzuri na huku una njaa ni sawa na unyani[emoji205][emoji205][emoji205]
Maskini na wasio na akili ndio hawataki Katiba mpya. Akiwa tajiri ujue ni fisadiHII NDIO ORODHA YA MAKUNDI YA WATU WANAOHITAJI KATIBA MPYA
Na, Robert Heriel
Mjadala unaoendelea katika Siasa mitandaoni ni ishu ya Katiba.
Ndiyo mkuu, lakini kipengele hiko ni sehemu ya mtu kuwa na ajira!! kumbuka hilo mkuu
Kwanza kuna swali moja la kuuliza. Unapokuwa madarakani unaweza ukawa unakuja kwa nia njema kabisa ya kupigania haki za wananchi na sio maslahi binafsi na kulinda serikali hata kama inakosea.
Kwa maneno hayo sasa. Tujiulize, ni wangapi ambao wanaweza kuweka kipaumbele shida za wananchi na kuweza ku sacrifice hata uhai wake. Tunajua kupigania haki ni jambo linalohitaji ujasiri sana. Ili uwe kiongozi bora katika hili ni lazima pia usiwe mlafi wa pesa na uroho wa madaraka, pia unahitaji kua na mindset ya mwanafalsafa.
Kwa mfano tunawalaumu sana viongozi/wanasiasa juu ya uwajibikaji. Lakini ukweli mchungu kwa dunia ya sasa viongozi ni wafanyabiashara. Na siku zote mfanya biashara atafanya chochote hata kudiriki kudanganya wananchi ilimradi lengo lake litimie. Hawa huwa hawana uchungu na jamii wanazotoka, huwa ni waoga wa kupoteza mali na pesa kwa ajili ya kupambana dhidi ya matatizo ya nchi.
Kiongozi wa aina hii, huwa anahakikisha anacheza karata yake kwa umakini sana akiwa madarakani au nyazfa yoyote ya uongozi.
Sisi wananchi tunabaki kulia mara ooh mbona mbunge fulani anajua tuna matatizo fulani wilayani lakini haongei. Anaweza asiongee kwa sababu kwake ni rahisi kuishi vizuri aki defend serikali kuliko ku defend wananchi. So wanachofanya wanaaangalia sehemu yenye influence ya power. Kama kusifia raisi kutamfanya maisha yake yawe mazuri na salama atasifia sana hata kama ni ujinga.
Ndo maana tunasema kwa dunia ya sasa 2021 tuna wafanya biashara wengi sana kwenye nyazifa za uongozi kuliko wazalendo na viongozi wa kweli. Sifa kuu ya mfanyabiashara ni kufanya chochote kinachomwezesha kupata hela na usalama wa maisha yake sio ya wananchi.
Sasa solution ya hii mambo ni nn wakuu? South afrika imetuonesha ni kiasi gani kuna wafanya biashara wengi kuliko viongozi. Kuna swala la kujifunza hapa kama nchi.
Hoja imekidhi kanuni 20/80 ya Pareto uamuzi wa kuruhusu vyama vingi ulizingatia hii kanuni na Mambo mengi duniani. Katiba mpya haikwepeki muda utasema!!!!
Bila shaka upo kundi fulani lililotajwa hapo juu. Mbaya zaidi si kundi la kujivunia mtu mwenye akili timamuSihitaji Katiba wala nini nachotaka ni ugali mezani na kulipa ada za wanangu bila shida.
Maskini na wasio na akili ndio hawataki Katiba mpya. Akiwa tajiri ujue ni fisadi
nakubaliana na ww sema hujasoma reply yote, soma information, na support, sikupingiMaslahi hubadilika mkuu
Ila inashangaza ukiambiwa katiba mpya unanuna. Ilitakiwa usijali mana haileti tofauti kwako ila ajabu unapinga, kitu kinacho nifanya nisiamini maneno yako. Una agenda ya siri.Kenya wana katiba tunayoambiwa ni bora sana lakini ufisadi na umasikini kwa raia umekita mizizi!
Ndio kusema kwamba katiba ya Kenya ni nzuri kwa wanasiasa tu!
Katiba nzuri na huku una njaa ni sawa na unyani[emoji205][emoji205][emoji205]
Hili kundi ni rahisi Sana kulibadilisha. Unawaambia tu kwamba katiba mpya maana ni kuondoa wizi wa kura wakati wa uchaguzi.Vijana wa umri chini ya miaka 40 ambao wanaelimu ya chini na Hali zao za kimaisha ni duni. Hawa ukiwakuta kijiweni ukileta mambo ya Katiba mpya ndio utavuruga kila kitu. Kwanza hawatachangia mada. Kundi hili mada zake ni Udaku, mpira, kisha Diamond na Allyi