Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Hata kipindi cha Nyerere waliotaka vyama vingi walikuwa 20% tu ,haijalishi wanaotaka ni asilimia ngapi hata kama ni mmoja tu anataka na akawa na hoja zenye mashiko basi ana haki yake.
-Kuna mambo mengi sana ya hovyo yaliyopo kwenye katiba hii ambayo yanahitaji kuondolewa,eg kuna ulazima wa kuwa na utitiri wa RC,RAS,DAS,DC etc na kuongeza gharama kwa taifa? Rasimu ya Warioba ilikuwa nzuri maana ilikusanya maoni ya wananchi.
Upo sahihi Mkuu