Ukimuonyesha mtanzania uhusiano wa wazi na moja kwa moja jinsi gani katiba imefanya tuwe na hali mbaya ya kiuchumi au jinsi gani katiba itaboresha need ya chini kabisa ya kila mwananchi kama ilivyo kwenye Maslow's hierarchy basi hata hilo kundi ambalo halina muda na katiba litaanza kufikiri zaid,
,, msiwahukumu kuwa hawataki katiba wakat mnajua dhahiri kuwa hayo yooote ya kutaka au kutokutaka katiba ni for your own interests za kisiasa
CCM wanatumia advantage ya kutuweka kwenye hali duni for more than 60 years kutufanya tusifikirie vitu vikubwa,,,,siwezi kutaka burger wakati mlo wa siku ni shida kuupata( simple personality calculation) siwezi kuwaza self esteem au self actualization level wakati physical and security needs sijazipata bado
CHADEMA wana hoja nzuri za kutaka mabadiliko ya kiutawala ( na sio kikatiba kama wanavyo claim wao) najua kama CHADEMA wangekuwa wenye nchi sasa hv hoja ya katiba isingekuwa kipaumbele kwao,, ( wenye fikra finyu watakataa)
Makundi hayo hayawezi kuwasikiliza kwa sababu hamjagusa sehemu ambayo wao wanaona ina umuhimu pesa, mlo, mavazi na uhakika wa kuingiza kipato kila siku,,,, sio CCM au CDM hakuna mwenye maelezo ya moja kwa moja ubadilishwaji wa katiba utaleta uhakika wa kupata angalau pesa ya matumizi ( nazungumzia kazi)
Mnasahau kuwa kundi la hao ambao hawataki katiba ndio kubwa zaidi tanzania wajuzeni hao ambao mnaona ni washenzi,,, kuhusu umuhimu wa katiba ambao unagusa maisha yao ya kila siku moja kwa moja (ukiwatoa CCM ) hapo mtafanikiwa
Twitter na mitandao ya jamii isiwadanganye kuwa each citizens of this doomed county anataka katiba
#politiciansarefiltyliers