Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Hii ndio orodha ya Miji na Wilaya za Tanzania zenye watu wenye kipato cha Uhakika

Maendeleo ni dhana pana ila kwa muktadha wa mjadala wetu ambapo najua unataka kujua ni vipi kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo, nitakujibu
Bado hujajibu maana ya maendeleo ("Development").

Kama ambavyo huwezi kumregard mtu ameendelea kwa kuwa anamudu chakula au mavazi, ndivyo ambavyo huwezi kumregard mtu huyo huyo kwa kuwa tu amejenga nyumba ya kulala.
Duh! Hivi mwenye nyumba ya ghorofa na ile ya makuti wote hawajaendelea?

Mtu aliyejenga na aliyepanga wote wana malazi tena yawezekana aliyepanga ana malazi bora kuliko aliyejenga kutegemea na hadhi ya nyumba husika.
Hayo ni mawazo yako.

Kwa nini hiyo gharama ya ujenzi usibuni mradi pale kijijini ambao utapelekea kujenga huku watu wakiwa wanajiingizia kipato na kujipatia chakula, mavazi, elimu, afya njema, huduma za maji, nishati ya umeme nk nk ambavyo actually ndivyo huitwa maendeleo kwa pamoja.
Tusipangiane namna ya kuishi, kila mmoja ana vipaumbele vyake.
 
Then unaskia sera za majimbo unabaki kujiuliza hayo majimbo yangefanya maendeleo kwa mapato gani?
Taarifa km hizi ni muhimu sana watu kua nazo kabla hawajaropoka kuhadaa uma.
Hayo ni Mapato ya halmashauri kuna ya TRA hapo yataleta utofauti sana.

Ila pia tabia ya kutegemea central government kwenye miradi inapelekea uzembe kwenye hizi halmashauri Na kukosa ubunifu kabisa
 
Makambako ni kamji kadogo sana ingawa kamechangamka sana na mzunguko wa hela upo kwa wananchi wake ,ila hawana uwezo wa kufikisha 3.8b
Hicho kiwango unakaonea hako kamji yaani hata serikali imekawekea target ya 2.5bln lakini wameishia kupata 2.4 bln tuu

Ngoja wakue kue na kubuni vyanzo vya uhakika vya mapato sio maduka tuu
 
Ni kweli na ndiko zinakofujwa na ndiyo unaona kuna watu wananunua VXR kama Geita wakati wilaya ina uhaba wa madarasa kwa 51%

Wilaya ya Rombo peke yake inaweza kuwa na mapato makubwa kwenda serikali kuu kuliko Geita pamoja na kuwa haina madini wala rasilimali ya maana. Mpaka wa Holili na Tarakea unachangia pakubwa kutoka na cross border trade lakini kodi zake zinaenda serikali kuu moja kwa moja

Uziri wa trade kama hizi ni kuwa inainvolve wananchi wengi wa wilaya husika tofauti na wilaya zenye mgodi ambako hela wanaletewa tu kama mtu kaletewa mkate wenye siagi kwenye kisahani
Nawaangalia tuu muda wote wanavyodemka... moshi is dying. Yaan wanashindwaga hata ficha hisia zao. Halafu logic ya uzi wake na uhalisia hata haoni lama amekinzana nao... wengine hawapendi kujengwe vijijini. Wanasahau kila mtu ana priority zake.
 
Mufindi kuko vizuri sana mkuu, sema tu marehemu alivuruga mambo mengi sana. Miti saa hizi imeshuka bei hivyo wajanja hawavuni wanasubiri bei ipande juu tena.
Hivi mpaka kesho unajua huwa nashangaa jinsi jamaa alivyokua psycho na bado walikua wanashabikia? Honestly mkoa wa Iringa wananivutiaga sana jinsi wamekua wazalendo na mkoa wao. Yaan wanapambanaga kweli. Mkoa unepangika vizuri sana. Moshi needs Restructuring maana its an old town. Ni mji wa zamani sana. Hizo boda bado zinaingiza mapato makubwa sana. Kuna kilimo lakini kwakweli ardhi ni ndogo sana. Sisi wenyewe haitoshi. Ndogo mno. Kuna utalii pia. zile bureau zilikua zinaingiza pesa kweli. Ni miaka pia kule boda za holili na tarakea sijui bado wanafanyaga ile biashara ya kubadilishana pesa?
 
Kujenga nyumba ya kuishi sio maendeleo ndio maana pamoja na majengo hayo yote kwenye kuzalisha mapato huoni halmashauri za mkoa wa Kilimanjaro zikifanya vizuri.

Wangeweza kufanya uwekezaji ambao una tija na kujenga makazi yenye ubora, Kilimanjaro ina uhaba wa ardhi kwa sabab ya matumizi ya hovyo ya ardhi ikiwemo kujenga majengo ambayo hakuna hata wa kuishi na kujikatia mashamba ambayo hata hayazalishi chochote cha maana. Kama ulimsikia Kimei nadhani anatoa hoja bungeni wapatiwe ardhi ya ziada.[emoji116][emoji116]


Upumbavu ni hiyo namna unayoamini wewe kuwa ukienda kujenga nyumba ya kuishi kijijini kwenu utakuwa umewaridhisha ndugu na jamaa na kificha hiyo unayoita aibu wakati hakuna namna umeinua hali zao za maisha.

Ndugu na jamaa zako wanashindia mlo mmoja, wamejaa viraka, elimu duni, hawana shughuli za kuwapatia kipato nk nk then we la maana unaloona ni kujenga nyumba nzuri kisha walale humo na njaa na viraka vyao.[emoji116][emoji116]




Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona una jazba sana na nyumba za watu wewe kaka. Wewe umejenga maghorofa mangapi hapo mjini? [emoji23][emoji23][emoji23] what a loss. Ndo maana hamurudigi vijijini kwenu nyie. Kila mtu ana malemgo yake. Halaf wenye hela zao na miradi yao hawanaga hasira za kijinga hivi
 
Ikiwa huko kijijini kwenu ndio mnajengewa shule za kata, kuletewa umeme wa REA na vituo vya afya kwa hisani ya CCM.
Uchagani huduma muhimu kama shule, vituo vya afya, umeme, maji na barabara ni vitu ambavyo wazee wetu walivijenga na bado vipo vinavyojengwa na kuendelezwa hadi hii leo.
Na kuhusu suala la kuinuana na kujaliana Wachaga ni moja ya jamii au kabila inayojali kuinuana sana kielimu na kiuchumi.
Lekana na kiasaka cho mbee
 
Naomba taarifa hii nzima kama unayo. Taarifa hii inaweza kutoa direction ya fursa ya uwekezaji.

Ukiacha mkoa wa DSM na majiji ambao vyanzo vyao vinatokana na uchumi wenye mjumuiko wa vitu vingi mikoa mingine ina kitu ambacho data hizo hazijakiweka wazi.

Nimeona Iringa na Njombe, halmashauri zao zinafanya vizuri sana. Na line ya Wilaya zote kutoka Iringa hadi Tunduma zinafanya vizuri sana. Nini kipo nyuma ya mapato hayo?

Nimeangalia baadhi ya sehemu Halmashauri za Wilaya zimefanya vizuri kuliko Manispaa husika. Natamani kujua chanzo cha mapato hayo, mfano Muleba DC imefanya vizuri kuliko Bukoba MC, Kilwa DC kuliko Lindi MC, etc.

Zipo baadhi ya sehemu kama Kahama, Geita TC, Tarime DC sababu ni madini. Halmashauri za Pwani kuna viwanda, hao wengine nini kimewabeba?

Kama ni kilimo tujue ni kilimo kipi kusaidia wananchi wajue walime nini. Pili kama ni kwa sababu ya structure ya kodi/tozo/ushuru kwenye mazao fulani ni vema liwe wazi pia.
Sera ambazo hazikua rafiki zimeididimiza Mtwara sana. Ilikua inafikisha hata 15bn, leo iishie kupata 4.8bn, its very bad kwa kweli. Wakati Sekta ya Madini imeendelea kuruhusiwa,kule Sekta ya Gesi haikua na kitu, sawa na zao la Korosho ambalo msimu mmoja uliingiza zaidi ya Trillion 1.2, sawa na hela zote za mazao yote combined. Daaa, acha, taarifa hizi zingeendela kutolewa kila mwaka ili kila Halmashauri ijitathmini kujua wapi inakwama na sababu za kukwama kwake pengine utatuzi ungefanywa.
 
Tuleteeni manji..
Nasikia bashe wanamrudisha manji kununua mbaazi ntwala kwa anko nchumali. Yaani akimaliza hapo arudi haraka sana. Tutamrudisha ofisini mara moja kama lipumba haijalishi aliresign. Tena atake asitake[emoji23][emoji23]
Kwani wauza magodoro wameshindwa kusajili?
 
Mji umekua ukafikia uzee sidhani kama kuna jipya eti hao ndio walitaka kuwa Jiji wakati hawana pesa za kuiendesha
Kwan Moshi haipo kwenye orodha ulioweka? Unajua mkoa wa kilimanjaro Ni wa ngapi kuchangia Pato la taifa?
Unajua kuwa mkoa wa kilimanjaro Ni wa Kwanza Kitaifa kwa makazi bora vijijin ? Kilimanjaro huduma nyingi za kisasa zipo vijijin kwahyo watu hawana uhitaji wa kwenda mjini
Sii kama huko kwenu hata ka TV ukitaka kununua lazma ufunge safari mjini
 
Back
Top Bottom