Hii ndio picha yangu ya karne

Hii ndio picha yangu ya karne

Mkaa unalipa kuna Jamaa darasa la 7 anashusha bangaloo kwa biashara hio anamiliki vilikuu kadhaa na mabaja kwa ajili ya kusambaza mkaa tu, vijana tujiajiri kuchoma mkaa hakuhitaji uende VETA
Sema kuharibu mazingira kuna lipa
 
Kuanzia kibaha hadi chalinze ulikua msitu mnene tu mmeuchoma mkaa wote leo hata kivuli hakuna
 
Nope sio Afrika... Duniani na akili finyu za Binadamu

Tunahangaika na Mazingira / Ukame kwa kukosa miti, deforestation n.k. Yet bado tunakata miti na kutumia mkaa...

Shitting where we are eating..., so to speak....
Serikali zenyewe za Afrika ndio hizo gas gharama watu watafanyaje sasa wasipotumia mkaa na kuni kama nishati??
 
Serikali zenyewe za Afrika ndio hizo gas gharama watu watafanyaje sasa wasipotumia mkaa na kuni kama nishati??
Biogas choo cha shimo

Kuna wabunifu wapo Segerea hapo wamebuni majiko ya gesi biogesi toka kwenye choo cha shimo
 
Mkaa unalipa kuna Jamaa darasa la 7 anashusha bangaloo kwa biashara hio anamiliki vilikuu kadhaa na mabaja kwa ajili ya kusambaza mkaa tu, vijana tujiajiri kuchoma mkaa hakuhitaji uende VETA
NEMC wanakuangalia tu
 
Back
Top Bottom