bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Sema kuharibu mazingira kuna lipaMkaa unalipa kuna Jamaa darasa la 7 anashusha bangaloo kwa biashara hio anamiliki vilikuu kadhaa na mabaja kwa ajili ya kusambaza mkaa tu, vijana tujiajiri kuchoma mkaa hakuhitaji uende VETA
Ingia Kisarawe hapoMiti ipo wapi
Eneo la jeshi labdaIngia Kisarawe hapo
Na wenzio wanatajirika wewe muoga unasugua benchSema kuharibu mazingira kuna lipa
Umeuliza pori lipo wapi auEneo la jeshi labda
Madhara wote tunapaataNa wenzio wanatajirika wewe muoga unasugua bench
Ukiiingia mbele mbuga ya selousUmeuliza pori lipo wapi au
Wote tunashiba kwa Mama lishe hatumii vifuuMadhara wote tunapaata
Serikali zenyewe za Afrika ndio hizo gas gharama watu watafanyaje sasa wasipotumia mkaa na kuni kama nishati??Nope sio Afrika... Duniani na akili finyu za Binadamu
Tunahangaika na Mazingira / Ukame kwa kukosa miti, deforestation n.k. Yet bado tunakata miti na kutumia mkaa...
Shitting where we are eating..., so to speak....
Sasa kwa hapo nyuma kunja kushotoUkiiingia mbele mbuga ya selous
Biogas choo cha shimoSerikali zenyewe za Afrika ndio hizo gas gharama watu watafanyaje sasa wasipotumia mkaa na kuni kama nishati??
Hii ni kweli?Tena wakikupiga risasi hapo wamekuhurumia, wengi huwa wanachomwa moto wakiwa hai
Mvua isiponyesha mama lishe hawezi mudu dukaniWote tunashiba kwa Mama lishe hatumii vifuu
NEMC wanakuangalia tuMkaa unalipa kuna Jamaa darasa la 7 anashusha bangaloo kwa biashara hio anamiliki vilikuu kadhaa na mabaja kwa ajili ya kusambaza mkaa tu, vijana tujiajiri kuchoma mkaa hakuhitaji uende VETA
Mudu nini? Atapandisha beiMvua isiponyesha mama lishe hawezi mudu dukani
Michezo michafu michafu usifikiri inachezwa kwenye Gesi na Madini tuNEMC wanakuangalia tu
Uwezo wa kununuaMudu nini? Atapandisha bei