Hii ndio sababu inayofanya Tanzania kutokuwa na maprogrammer wengi?

Hii ndio sababu inayofanya Tanzania kutokuwa na maprogrammer wengi?

Kaa kwa kutulia
Labda umesomea kompyuta sayansi ile ya teofili kisanji
Hili jukwaa lisikudanganye, Tanzania kozi ya Programming haina ubora unaostahili pale unatoka na basics tu.

Miaka hiyo nashare na wadau humu kuhusu projects mbalimbali nlizokua nafanya sidhani kama ulikua unajua JF ni kitu gani. Ukiona kibongo bongo mtu wa Programming ana story nyingi za nimesomea nimesomea jua kichwani mtupu. Nahisi upo kundi hilo.
Nyie ndio aina ya wale watu mkiulizwa mnatumia Programming Language ipi mnajibu ENGLISH. Hopeless.

Programming Course ya bongo haikufanyi uwe bora ila mazoezi yako na jinsi unavyoiapply kwenye shughuli zako.
 
Miaka hiyo nashare na wadau humu kuhusu projects mbalimbali nlizokua nafanya sidhani kama ulikua unajua JF ni kitu gani.
Miaka hiyo nilikuwa napita JF kutokana na homesickness nikiwa nasoma UK, nilikuwa nakutana pumba za kutosha mpaka hasira zinanipanda, sasa ndio najua mlikuwa nyinyi mafwambwa na waporipori
kila nikifungua akaunti nakutana upumbavu wa kusubiri mbuzi mmoja anajiita Moderator ndio ahakiki, nilikuwa sina huo muda kupoteza wakati kuna Quora ya akili kubwa, na lengo la kuingia humu lilikuwa ni kupaka mbovu vilaza wote kama nyinyi
 
Aya jaman kijana wenu ..mdogo enu nimekuja nataman kusoma hii career ya programming na data analysis moyo uko mkunjufu...naomben ushaur apo wadau kwa course ya kwenda au kama kuna scholarships..ili niienjoy kucode na ku analyse vitu na mm ki digital....am 22 nahsi bado cjachelewa sana wakubwa
 
Umeongea fact kaka mim sina degree kuhusu uchumi/fintech/biashara ila najipambania mwenyewe kila siku niwe bora coz napenda
 
Vipi degree inayotolewa na hawa wahindi Unique Academy (Bachelor degree in information security) nataka dogo atoke na muongozo utakao mfanya awe competent akimaliza.

Vipi hiki chuo kitamsaidia?
 
All in all iwe programming ama field yoyote ile ni passion ndo inamatter, haijalishi umeanza muda gani still it won't stop you from becoming one of the best, kuna mentality tumejiwekea kusingizia mtaala wa elimu and staffs, Elimu inamatatizo kila sehemu sio hapa bongo tu.
Shida ipo kwenye malezi, wazazi wa siku hizi unalea mtoto unamfanyisha challenge za kipuuzi tu tiktok kumfundisha ujinga ujinga humjengei msingi wa kusoma vitabu alafu badae uje kulaumu education system, Marc Zuckerberg alipewa kitabu cha C++ for dummies as a birthday gift na baba yake wakati yupo mdogo, huku bongo ni kuwavalisha vimini na kuwapigisha picha alafu unakuja kulaumu elimu. Infact mimi sioni tatizo kwenye elimu hata kidogo na wala hatujachelewa, unless tuache hii stupid mentality ya kutafuta scape goat kwa uzembe wetu wenyewe tutaendelea kuwa hivi hivi tu
Kama titok ina hela kwa nini wasifanyishwe challenge? Ishu is money! Kwa nini mtoto asumbuke na madude ya kumchosha wakati dunia ya sasa ni soft sana na unaweza piga hela hata kwa ku heka tu. lazima tuende dunia inavyotaka sio sisi tubavyotaka .
One of 21 century skills is to know how to use multimedia techonology. Na tunaamniwa kwamba UCHESHI ndio fani itayoingiza zaidi pesa ktk kipindi hiki cha AI, kwanu AI haitaweza kuchekesha.
Hata hivyo nakubaliana kwamba sisi hatufundishi mambo kwa kuzingstia umri bali kufuata madarasa. Wewe kama mzazi badili muelekeo na msimamie mwanao apate ujuzi anaoupenda mapema, ukitegemwa mfumo wa serikali utabaki kuendelea kulaumu. Tumia mifumo ya kielekroniki kumuwezesha mwanao.
 
Japo siku hizi sipendi sana kutoa maoni na kuandika JF leo nichangie.
Kwanza nimkatile mtoa mada kuwa Computer watu wanaanza kuilewa chuo kikuu, SIO KWELI KABISA. comp. Science ilianza kuibuka in90'+ watu walijifunza nakufuatilis na lilikuwa lengo la vijana wengi. Baadhi ya vyuo vilianza kutoa elimu ngazi ya certificate hivyo kumuwezesha mtu kipata ujuzi mapema mfano DIT na hata UDSM tawi la university computing center.

Failing; Field zote za science TZ na nyinginezo zimefeli hazitengenezi innovator bali implementor ila comp science ni kama wanadamu ya kunguni.
Wengi wamesema hapo juu mfumo wetu wa elimu ulishapitwa na wakati au viongozi hawatilii maanani, mfano ICT skills inatakiwa ianzie darasa la 3 ila computer shuleni hazipo na wala serikali haijawahi wa kutrain walimu au kuajili i ICT proffessionals mashuleni. Kufeli kwa programmer ni kufeli kimifumo siio kifani. Mfumo hauandai0
hata wanamuziki bora bali wanamziki huokoteza huko mtaani.

Passion, Talent vs Authoritative education; Tanzania na Dunia nzima inazingatia zaidi authoritative or institutionalized skills lakini watu huchahuliwa kwa kuzingatia talents
Japo watu wemgi mnadhani TZ haizingatii talents.Wanaochaguliwa PCM .PGM, PCB nk ni watu wenye talents hizo hivyo wanakidhi vigezo vya kusoma kozi za science.Vilebile Watu huchagua kozi kulingana na soko la ajira sio passion tu.
Entrepreneurship Mindset; mtoa mada tofautisha uwezo wa kitaaluma na ujasiliamali, kuweka app appstore ni suala la ujasiliamali zaidi wala si kitaaluma. Kwa hio mwalimu wa programming sio lazima awe na app. Walimu wa Chuo Kikuu wale ni wataaluma na wala sio wajasiliamali. Waataluma wengi duniani wala sio wajasiliamali!, bali hutoa msaada wa kitaaluma, ni sawa na kusema kwa nini wakufunzi hawamiliki shule wakati walimu na wafanyabiashara wanamiliki shule ?
Niishie hapa kwa kusema SISI AFRIKA nado kwa kila kitu sio wanasayansi tu. Tujifunze kuleta suluhisho sio lawama. Binafsi huwa napenda sana kujifunza kwa DANGOTE yule mtu huwa anatoa suluhisho la tatizo. Kisaikolojia kulaumu ni "DEFENSIVE MECHANISM OF FAILURES" unajiondoa wewe unawatupia wengine lawama. Kasikilize clip ya Roma Mkatoliki akijibu hoja za kuwasema wasanii kushindwa kufika kimataifa kama wenzao wanaijeria.
 
Unataka mtu aandike program from scratch una pesa za kumlipa? Wateja wenyewe mnakuja mnalialia mnataka website kwa laki 5. Nakuchapa li-template tu fasta.
Watu wengi humu wanaoneksna hawerlewi ulimwengu wa teknolojia unavyoenda. Ni kama leo umwambie mtu aunde injini ya gari ataanza from scratch ? Ukweli ni kwamba atamodify models and design zilizopo sokoni. Hata wafanyakazi wa Google nasikia hawaaanzi from scratch. Framework mbali mbali zimeundwa ili kukopi na kupsste to save time. IT ipo wazi sana na washukutiwe wazungu wakioamua kuanzisha oprn source code ili zitumike na wengine.
 
Mimi nimesoma Computer Science na moja ya kitu nkichogundua, Programming inabidi ianze kufundishwa toka Primary japo basics. Itasaidia sana.
Mbona primary inaanza kufundisha misingi ya programmming. Ispokuwa wewe unakuwa hujui kama unajifinza misingi hio.
Mfano. Mfumo wa number, characters system nk. Pti3mary unajifunza alama za uandishi ambazo ndio zinakuja kuwa programmming lenguage mfanno (>#~^&?". Ni alama unajifunza shule ya msingi. Sekonda6i unajifinza maths mfano set, probality nk. Unapoambiwa kujiunga IT uwe umafailu hesabu na science huo ndio msingi wenyewe.
 
Kama titok ina hela kwa nini wasifanyishwe challenge? Ishu is money! Kwa nini mtoto asumbuke na madude ya kumchosha wakati dunia ya sasa ni soft sana na unaweza piga hela hata kwa ku heka tu. lazima tuende dunia inavyotaka sio sisi tubavyotaka .
One of 21 century skills is to know how to use multimedia techonology. Na tunaamniwa kwamba UCHESHI ndio fani itayoingiza zaidi pesa ktk kipindi hiki cha AI, kwanu AI haitaweza kuchekesha.
Hata hivyo nakubaliana kwamba sisi hatufundishi mambo kwa kuzingstia umri bali kufuata madarasa. Wewe kama mzazi badili muelekeo na msimamie mwanao apate ujuzi anaoupenda mapema, ukitegemwa mfumo wa serikali utabaki kuendelea kulaumu. Tumia mifumo ya kielekroniki kumuwezesha mwanao.
You're not realistic here! Watoto wanakata kata viuno tu tiktok na sijaona aliyepata hela ya mana zaidi ya ujinga ujinga tu, wewe ndo sawa na wale anashadadia kitu kisa ameskia
By the way, wewe mfundishe mtoto wako kukata viuno tiktok instead of skills alafu tegemea kupata mtu independent after 20 years.
 
You're not realistic here! Watoto wanakata kata viuno tu tiktok na sijaona aliyepata hela ya mana zaidi ya ujinga ujinga tu, wewe ndo sawa na wale anashadadia kitu kisa ameskia
By the way, wewe mfundishe mtoto wako kukata viuno tiktok instead of skills alafu tegemea kupata mtu independent after 20 years.
Kwanza watoto hawafundishwi kukata viuno. Hdlafu kukata viuno kana ni jambo baya unawaangalia kwa sababu ipi ? Hii ina ashiria hata wewe unapenda watoto wanaokata viuno. Wewe uliepewa mabuku ya c++ umewahi unda nini cha maana ?
Hakuna nwafrika aliweza unda window achana na computer just window tu inawashinda.
Halafu kuwajazia watoto wadogo mavitabu ni kuwanyanyasa kusaikolojia. Kila mtoto ana talent yake wewe unataka tuwajazie mavitabu.
Upo kizamani sana, hayo ma c++ yanafanywa na AI. Walau ungesema tuwafundishe watoto matumizi ya AI ningekuelewa. Wakati wa kukaa kukariri kari umeisha pitw dunia inahamia kwingune kabisa. AI itafanya mambo mengi ila hata kata viuno, hata imba, hato igiza kwa isia.
Usijifanye wewe ndio unajua sana.
Hunijui sikujui. Jujii CV yangi dijui yakwako.
Usibeze maaamuzi ta watu walioamua kuchagua staili fukani ta maisha.
Kukata viuno ni profession kana zingine na watu wanai giza hela, wewe endrkea kubeza. Pitia you tube kati ta kecture za scrince na waneo kata viuno wepi wana view/ suscriber wengi. Kama hijui view nyingi ndio pesa karagabaho !
 
You're not realistic here! Watoto wanakata kata viuno tu tiktok na sijaona aliyepata hela ya mana zaidi ya ujinga ujinga tu, wewe ndo sawa na wale anashadadia kitu kisa ameskia
By the way, wewe mfundishe mtoto wako kukata viuno tiktok instead of skills alafu tegemea kupata mtu independent after 20 years.
Kukata viuno kumeajiri watu wengi kuliko hizo sayansi. Muziki umeajiri watu wengi sana. Don't complicate life. Waache watoyo wa enjo life enzi zako hakukuwa na tiktok waka you tube, this is new life usiwapangie watu cha kufanya . Dancing make people happy. Hayo ma c++ yamewahi fanya watu wawe na furaha ? Mnaishi kwa mihemko mihemko tu na mastress kibao.
Dancing is African culture, jama hupendi hamia ulaya.
 
Kwanza watoto hawafundishwi kukata viuno. Hdlafu kukata viuno kana ni jambo baya unawaangalia kwa sababu ipi ? Hii ina ashiria hata wewe unapenda watoto wanaokata viuno. Wewe uliepewa mabuku ya c++ umewahi unda nini cha maana ?
Hakuna nwafrika aliweza unda window achana na computer just window tu inawashinda.
Halafu kuwajazia watoto wadogo mavitabu ni kuwanyanyasa kusaikolojia. Kila mtoto ana talent yake wewe unataka tuwajazie mavitabu.
Upo kizamani sana, hayo ma c++ yanafanywa na AI. Walau ungesema tuwafundishe watoto matumizi ya AI ningekuelewa. Wakati wa kukaa kukariri kari umeisha pitw dunia inahamia kwingune kabisa. AI itafanya mambo mengi ila hata kata viuno, hata imba, hato igiza kwa isia.
Usijifanye wewe ndio unajua sana.
Hunijui sikujui. Jujii CV yangi dijui yakwako.
Usibeze maaamuzi ta watu walioamua kuchagua staili fukani ta maisha.
Kukata viuno ni profession kana zingine na watu wanai giza hela, wewe endrkea kubeza. Pitia you tube kati ta kecture za scrince na waneo kata viuno wepi wana view/ suscriber wengi. Kama hijui view nyingi ndio pesa karagabaho !
So imprudent.
Huwezi kuingiza hoja unaingilia mambo ya sikujuwi unijuwi hujuwi CV yangu, the Heck is this!?
Let me remind you, Mjadala unahusiana na kwanini Tanzania hakuna maprogrammer and so so! Sio ipi inaingiza hela kati ya kukata viuno na Programming (kama kuna mkata viuno bilionea unamjuwa nipe mfano) . People are making the damn money huko wewe umekalia hapa tiktok tiktok hovyo kabisa

Secondly, I just gave you the damn example "Mack alipewa kitabu cha C++ na baba yake" sijakwambia mimi nimepewa. (I'm a C programmer so don't mistake me for C++ I hate the language)

Third, '' hakuna mwafrika aliyeweza kuunda window" pointless kwanini waafrika tuunde window sasa? I bet dp you even know what the hell "Windows" is??

Fourth, you seem quite optimistic kwamba AI itareplace human kwenye kufanya programming and staffs so tuwafundishe watoto matumizi ya AI instead, I bet hujawahi kuandika code ndo mana unafikiria hivi

Fifth, hii kauli ya hakuna mwafrika aliyeweza kufanya blah blah blah usipende kuitumia. Kama wewe hujafanya wenzako tunafanya, I bet uko in your twenties na hujafanya chochote ndo mana unahisi kila mtu naye as long ni mweusi basi hajafanya chochote
 
Kukata viuno kumeajiri watu wengi kuliko hizo sayansi. Muziki umeajiri watu wengi sana. Don't complicate life. Waache watoyo wa enjo life enzi zako hakukuwa na tiktok waka you tube, this is new life usiwapangie watu cha kufanya . Dancing make people happy. Hayo ma c++ yamewahi fanya watu wawe na furaha ? Mnaishi kwa mihemko mihemko tu na mastress kibao.
Dancing is African culture, jama hupendi hamia ulaya.
Chai !
In case hujuwi hii, Tech has made lots of billionares kuliko hizo viuno vyako unavyosema, fungua macho wacha story za kijiweni
 
Back
Top Bottom