Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Ems na Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Ems na Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

Fateema

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2024
Posts
234
Reaction score
495
Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.


Kwanini?

1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.

2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...

Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.


Kwanini?

1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.

2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...

Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
Division one ya Kayumba kama haina connections ni sawa na takataka tu mkuu wangu..
 
umaskini ni laana mbaya unapofusha vibaya leo tukizunguka shule za kata utajionea uhaba wa vifaa vya kufundishia walimu miundombinu pia aina ya ufundishaji sio y kumuinua mtoto
Hela haitafutwi inategwa...

Wewe usie na hela ndio hudhani hela hutafutwa
ni misemo tu ila jitahidi uwe nazo
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.
Kwani hao wa St. Kayumba wanaopata Division One wapo wangapi?

1000014190.jpg
 
Division one ya Kayumba kama haina connections ni sawa na takataka tu mkuu wangu..
Bila shaka wewe ndio aina ya wazazi wa Ems ambao mtoa Mada anawazungumzia. Nyuma ya sentensi yako Kuna sentensi inayo sema " HATOFIKA POPOTE HUYU MTOTO WA KAYUMBA ALIEPATA ONE"

Hiyo ni roho ya kichawi mkuu nenda kaombewe hilo pepo litoke
 
umaskini ni laana mbaya unapofusha vibaya leo tukizunguka shule za kata utajionea uhaba wa vifaa vya kufundishia walimu miundombinu pia aina ya ufundishaji sio y kumuinua mtoto

ni misemo tu ila jitahidi uwe nazo

Hujaelewa hoja ya mtoa mada
 
Back
Top Bottom