LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
100% FactHuyo ndio takataka hajui anaandika nini, inawezekana ni mmiliki wa ki-EMS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100% FactHuyo ndio takataka hajui anaandika nini, inawezekana ni mmiliki wa ki-EMS
Nitakuolea dada yako nyau weweConnection ya nini, hiyo ni degree? We kwm ni zumbukuku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu kasoma St Francis, chuo Swiden, halafu nipo nae ofisi Moja na mshahara namzidi. Sasa huko alienda kufanya nini?. Ngoja niendelee kujitafuta mie.
Somesha mtoto acha propagandaNi ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.
Kwanini?
1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.
2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...
Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
Mtaala ni mmoja ila lugha tofauti mkuu hata ubora tofauti yaani umpeleke mtoto kwenye shule yenye wanafunzi 1500 madarasa yapo saba walimu 15 na kumpeleka mtoto kwenye shule yenye wanafunzi 300 na walimu 25 harafu useme ubora ni uleule?Wazazi wengi hawana elimu ya kupembua mambo na hawajui misingi ya elimu, ni ama wao walikuwa mbumbumbu shuleni na wamekuwa limbukeni kushadiadia ems wakidhani huko ndiko kuna elimu hasa kuliko kayumbaz. Hawajui kuwa mtaala ni mmoja!
Mtu kasoma St Francis, chuo Swiden, halafu nipo nae ofisi Moja na mshahara namzidi. Sasa huko alienda kufanya nini?. Ngoja niendelee kujitafuta mie.
Acha stress hizi mkuu tafuta hela!! Yani kusomesha mwanao unaona ni jambo kubwa lakuanzishia uzi? Binafsi natimiza wajibu kwakumpa anacho staili!! na wewe timiza wajibu kwkupeleka kayumba huo ndo uwezo wako” akipata one kayumba kwangu ni sawa tuNi ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.
Kwanini?
1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.
2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...
Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
it is just an option, still the curriculum is the the sameMtaala ni mmoja ila lugha tofauti mkuu hata ubora tofauti yaani umpeleke mtoto kwenye shule yenye wanafunzi 1500 madarasa yapo saba walimu 15 na kumpeleka mtoto kwenye shule yenye wanafunzi 300 na walimu 25 harafu useme ubora ni uleule?
English language is not an optionalit is just an option, still the curriculum is the the same