Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Ems na Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Ems na Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

Wazazi wengi hawana elimu ya kupembua mambo na hawajui misingi ya elimu, ni ama wao walikuwa mbumbumbu shuleni na wamekuwa limbukeni kushadiadia ems wakidhani huko ndiko kuna elimu hasa kuliko kayumbaz. Hawajui kuwa mtaala ni mmoja!
 
Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.


Kwanini?

1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.

2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...

Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
We jamaa uta kuwa na stress Sana, tafuta matokeo ya shule ya dodoma central secondary, uone madudu, shule ya, serikali, wanafunzi wote wana zero!
Harafu nenda St Mary's ulete mafinga, English medium, Div one zote! Sasa, nani aone wivu na one za Ku tafuta na, torch za kayumba!
Kwa, tasrifa yako, wengi wanaosomesha English medium, walisoma kayumba,
Ma shule ya serikali mengi ni madudu tu, ukiona Tabora boys/girls, Ilbolu, Ifunda, kuna one, wala haishangazi, maana huko serikali imeweka nguvu, unaweza kusema hizo ni English medium za serikali!
 
Hii vita imekuwa kali🐼
Uchungu wa kumtoa mtoto EMS na kumpeleka kayumba usikie kwa mwenzio hawa team kayumba wamepata sonona ya ghafla sana yaani wapo katika self denial na hapo ukute mtoto ndo kwanza kaingia std 1 na ukute walalamikaji wengi wamezaa uzazi usio himilivu kwa rasilimali walizo nazo na umri unaenda aisee ndo maana wanaanzisha nyuzi za hasira
 
Uchungu wa kumtoa mtoto EMS na kumpeleka kayumba usikie kwa mwenzio hawa team kayumba wamepata sonona ya ghafla sana yaani wapo katika self denial na hapo ukute mtoto ndo kwanza kaingia std 1 na ukute walalamikaji wengi wamezaa uzazi usio himilivu kwa rasilimali walizo nazo na umri unaenda aisee ndo maana wanaanzisha nyuzi za hasira
 
Division one ya Kayumba kama haina connections ni sawa na takataka tu mkuu wangu..
basi mjadala ufungwe leo leo baada ya kukiri kwamba ufaulu wa alama za juu wa private schools zikiwemo hizo ST. Francis na feza schools ni michongo tu, nenda shule za ST. LIKUD ukute DIV one 12 points kutoka kwa mtoto aliyewekeza akili kwenye kuelewa na sio kukariri solved papers.
 
We jamaa uta kuwa na stress Sana, tafuta matokeo ya shule ya dodoma central secondary, uone madudu, shule ya, serikali, wanafunzi wote wana zero!
Harafu nenda St Mary's ulete mafinga, English medium, Div one zote! Sasa, nani aone wivu na one za Ku tafuta na, torch za kayumba!
Kwa, tasrifa yako, wengi wanaosomesha English medium, walisoma kayumba,
Ma shule ya serikali mengi ni madudu tu, ukiona Tabora boys/girls, Ilbolu, Ifunda, kuna one, wala haishangazi, maana huko serikali imeweka nguvu, unaweza kusema hizo ni English medium za serikali!
Ni ujuha kudharau mchango wa shule za EMS ni ukweli ulio wazi sana zimetoa watu ambao wana mchango mkubwa sana kwenye sekta mbalimbali. Kingine serikali kamwe haiwezi fanya kila kitu lazima wadau wa maendeleo na wao waingie front wachangie.
Salah wa Silent Ocean kasoma Saint Marys je tuseme hana mchango wowote kwenye biashara kati ya china na Tanzania?
Benj Fernandez kasoma EMS je tuseme je fintech yake ya Nala haina mchango wowote ule?

Ni sawa na mtu aidharau hospital kama Bugando/KCMC/Aga Khan/Bakwata hospital na kusema hakuna haja ya kutumia hela kwenda kutibiwa huko watu wakatibiwe hospital za serikali tu maana gharama nafuu.

Halaf hii kusema ohh nimesoma Kayumba na nafanya kazi na mtu aliyesoma EMS na namzidi mshahara ni lini kuliwahi kuwa na mashindano ya mishahara kati ya walosoma kAYUMBA vs EMS?. Huyu aliyesoma EMS kwani alisoma ili aje kushindana mshahara na mtu wa Kayumba? Hi inaonyesha jinsi watu wengine walivyo na uwezo mdogo sana wa kufikiri na ni dalili ya mtu kuwa mchawi na wivu wa kishirikina.

Yaani hawa ndo wale majirani ambapo jiran yake akiwa na gari zuri kuliko yeye nongwa, akiwa na nyumba nzuri kuliko yeye nongwa. Watu wa roho ya hivi wanatamani walio na watoto EMS wakose pesa za kuwasomesha huko ili tu wawe sawa!
 
Hakuna secondary ya bure siku hizi mkuu. Kayumba wanachapika sana kipesa. Sema maskini muibie kidogo kidogo hatakushtukia mapema
 
Bila shaka wewe ndio aina ya wazazi wa Ems ambao mtoa Mada anawazungumzia. Nyuma ya sentensi yako Kuna sentensi inayo sema " HATOFIKA POPOTE HUYU MTOTO WA KAYUMBA ALIEPATA ONE"

Hiyo ni roho ya kichawi mkuu nenda kaombewe hilo pepo litoke
Huyo ndio takataka hajui anaandika nini, inawezekana ni mmiliki wa ki-EMS
 
Back
Top Bottom