hata kayumba kuna elimu boraMimi nadhani kuna mazingira yanalazimisha mtu umpeleke mtoto Kayumba au Private.
Utofauti wa vipato, lakini pia Elimu bora na ulinzi kwa mtoto.
Hayo mengine ni ziada tu.
90%Kwani private schools ndio Kuna connection?
Ndio maana ex wangu na komwe lakoNi wivu tu
100% FactWazazi wengi hawana elimu ya kupembua mambo na hawajui misingi ya elimu, ni ama wao walikuwa mbumbumbu shuleni na wamekuwa limbukeni kushadiadia ems wakidhani huko ndiko kuna elimu hasa kuliko kayumbaz. Hawajui kuwa mtaala ni mmoja!
100% Facthata kayumba kuna elimu bora
Mtu kasoma St Francis, chuo Swiden, halafu nipo nae ofisi Moja na mshahara namzidi. Sasa huko alienda kufanya nini?. Ngoja niendelee kujitafuta mie.🤣🤣🤣🤣
Watakuroga mkuu
We jamaa uta kuwa na stress Sana, tafuta matokeo ya shule ya dodoma central secondary, uone madudu, shule ya, serikali, wanafunzi wote wana zero!Ni ukweli ulio wazi kwamba wazazi wanao somesha watoto wao Ems za private shule ya msingi na private schools shule za sekondari wanachukia Sana kuona watoto waliosoma Kayumba kuanzia la kwanza hadi form 4 wakipata Division One form 4.
Kwanini?
1. Wazazi wanaosomesha shule za EMs na private secondary huwaga wanataka kujitofautisha na wazazi wengine. Hutaka watoto wao wawe kwenye class tofauti na watoto wanaosomeshwa Kayumba. Sasa matokeo yanapotoka wote Wapo level moja wazazi hawa hukasirika Sana. Hawaendi watoto wao wawe level sawa na watoto wa Kayumba.
2. Wazazi wanao somesha Ems na Private schools hutumia hela nyingi na nguvu nyingi kulipa ada shule hizo ili watoto wao wapate ufaulu mkubwa ilihali wazazi wa Kayumba wao hawalipi chochote wanakula bata tu , Sasa matokeo yanapo toka halafu watoto wa Kayumba wakawa na wani kama watoto wao wa private wazazi hawa wa private hukasirika Sana na pengine hujiona wajinga...
Hata hawa wa humu JF wanaomponda LIKUD humponda Kwa sababu Likud huwaambia ukweli mchungu ambao unawafanya wajione wajinga kulipa hela nyingi kwenye shule za EMs na private za mtaala wa Necta, lakini ndani ya nafsi zao wanajua Likud yupo sahihi
Uchungu wa kumtoa mtoto EMS na kumpeleka kayumba usikie kwa mwenzio hawa team kayumba wamepata sonona ya ghafla sana yaani wapo katika self denial na hapo ukute mtoto ndo kwanza kaingia std 1 na ukute walalamikaji wengi wamezaa uzazi usio himilivu kwa rasilimali walizo nazo na umri unaenda aisee ndo maana wanaanzisha nyuzi za hasiraHii vita imekuwa kali🐼
Uchungu wa kumtoa mtoto EMS na kumpeleka kayumba usikie kwa mwenzio hawa team kayumba wamepata sonona ya ghafla sana yaani wapo katika self denial na hapo ukute mtoto ndo kwanza kaingia std 1 na ukute walalamikaji wengi wamezaa uzazi usio himilivu kwa rasilimali walizo nazo na umri unaenda aisee ndo maana wanaanzisha nyuzi za hasira
basi mjadala ufungwe leo leo baada ya kukiri kwamba ufaulu wa alama za juu wa private schools zikiwemo hizo ST. Francis na feza schools ni michongo tu, nenda shule za ST. LIKUD ukute DIV one 12 points kutoka kwa mtoto aliyewekeza akili kwenye kuelewa na sio kukariri solved papers.Division one ya Kayumba kama haina connections ni sawa na takataka tu mkuu wangu..
Ni ujuha kudharau mchango wa shule za EMS ni ukweli ulio wazi sana zimetoa watu ambao wana mchango mkubwa sana kwenye sekta mbalimbali. Kingine serikali kamwe haiwezi fanya kila kitu lazima wadau wa maendeleo na wao waingie front wachangie.We jamaa uta kuwa na stress Sana, tafuta matokeo ya shule ya dodoma central secondary, uone madudu, shule ya, serikali, wanafunzi wote wana zero!
Harafu nenda St Mary's ulete mafinga, English medium, Div one zote! Sasa, nani aone wivu na one za Ku tafuta na, torch za kayumba!
Kwa, tasrifa yako, wengi wanaosomesha English medium, walisoma kayumba,
Ma shule ya serikali mengi ni madudu tu, ukiona Tabora boys/girls, Ilbolu, Ifunda, kuna one, wala haishangazi, maana huko serikali imeweka nguvu, unaweza kusema hizo ni English medium za serikali!
Kwamba hata Sweden asingeenda abaki Nanjilinji kujitolea kwenye mashamba ya korosho au sio?Mtu kasoma St Francis, chuo Swiden, halafu nipo nae ofisi Moja na mshahara namzidi. Sasa huko alienda kufanya nini?. Ngoja niendelee kujitafuta mie.
Connection ya nini, hiyo ni degree? We kwm ni zumbukukuDivision one ya Kayumba kama haina connections ni sawa na takataka tu mkuu wangu..
Huyo ndio takataka hajui anaandika nini, inawezekana ni mmiliki wa ki-EMSBila shaka wewe ndio aina ya wazazi wa Ems ambao mtoa Mada anawazungumzia. Nyuma ya sentensi yako Kuna sentensi inayo sema " HATOFIKA POPOTE HUYU MTOTO WA KAYUMBA ALIEPATA ONE"
Hiyo ni roho ya kichawi mkuu nenda kaombewe hilo pepo litoke