Hii ndio sababu nchi makini kama China au Urusi haiwezi kukaribisha watu weusi kiholela nchini kwao

Hii ndio sababu nchi makini kama China au Urusi haiwezi kukaribisha watu weusi kiholela nchini kwao

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20230702-092411.png


Kinachoendelea Ufaransa,
kilichotokea Marekani wakati wa maandamo ya Black Lives Matter, na uhalifu mkubwa kwenye nchi ambazo watu weusi ni wengi kama vile Brazil, au nchi ya Afrika yenye influence ya wazungu kama South Afrika ni ishara kuwa mtu mweusi ukimchanganya na mtu mweupe lazima uhalifu, vurugu, malalamiko yasiyoisha yatakuwepo

Nchi za Magharibi zimekuwa zikiruhusu wahamiaji wengi weusi kwa kigezo cha haki za binadamu, watu hao wakienda huko hugeuka wahalifu na wanaoichukia nchi, na kosa kidogo tu wapo tayari kuchoma nchi nzima

Ndio maana nazikubali nchi za mashariki kama vile China, Urusi, nchi hizi huwezi kuona wakikaribisha wahamiaji weusi hovyo hovyo kwa kigezo cha haki za binadamu au kutetea mashoga.


Ukienda China au Urusi uwe na shughuli maalum ya kufanya kama ni biashara au masomo, sio kuzamia tu
Nchi kama Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, unakuta imejaa wazamiaji wa Nigeria, Kenya, Congo na kwingineko ambao ikitokea tatizo kidogo ndio wa kwanza kuchoma nchi

Baadhi ya nchi za Ulaya Magharibi zimeanza kushtuka na kuanza kuchagua wanasiasa wenye mrengo wa kizalendo au wenyewe wanaita Far-Right ambao hawacheki na kima.

Italia imechagua waziri mkuu mwanamke mwenye msimamo wa kizalendo, Marekani ilimchagua Trump ambaye matatizo ya Covid ndio yalimuangusha ila sasa anaweza kumuondoa Biden, Ufaransa nayo Macron aliponea chup chup kwa mwanamama mwingine Le Penn, na baada ya haya mavurugu , Le Penn atadhinda

Huko Ujerumani pia kuna vyama kama AfD vyenye msimamo mkali kuhusu uhamiaji ambavyo vinapata umaarufu
 
Nchi kama Australia Ina idadi ndogo sana ya wa Africa na ndio mana huez skia haya majanga, Wizi kwao ni adimu saa , hata ajali so rahisi kiziona kwasababu ni wazungu ni watii na sio waafrica.
Africa tunahulka ya inferior hapa wasomi mtusaidie tumekua tukijishtukia sana na kutufanya tuwe na hulka za hasira pasipo na sababu kupelekea mitazamo hasi na msongo wa mawazo.

Alotuumba sjui alijua ITAKUA hivi.
 
Ila kweli aisee hii ngozi na inapenda mavurugu na zetu wenye asili ya kiarabu ila mzungu mzungu tu aisee.
 
Vipi kuhusu wahamiaji wa nchi za kiarabu kwa wazungu, wenyewe wametulia au ni vurugu tupu?
 
Ma watu Meusi sisi ni wajinga na watu wa kutawaliwa milele wala sipingi tena serikali ikiuza mali yoyote wala sitapinga tena mikataba ya serikali tena na pia nitaipongeza serikali kwa mikataba yote ya kijinga ili wakoloni wafurahie mali zetu tulizo shindwa kuzingatia
 
View attachment 2675908

Kinachoendelea Ufaransa,
kilichotokea Marekani wakati wa maandamo ya Black Lives Matter, na uhalifu mkubwa kwenye nchi ambazo watu weusi ni wengi kama vile Brazil, South Afrika ni ishara kuwa mtu mweusi ukimchanganya na mtu mweupe lazima uhalifu, vurugu, malalamiko yasiyoisha yatakuwepo

Nchi za Magharibi zimekuwa zikiruhusu wahamiaji wengi weusi kwa kigezo cha haki za binadamu, watu hao wakienda huko hugeuka wahalifu na wanaoichukia nchi, na kosa kidogo tu wapo tayari kuchoma nchi nzima

Ndio maana nazikubali nchi za mashariki kama vile China, Urusi, nchi hizi huwezi kuona wakikaribisha wahamiaji weusi hovyo hovyo kwa kigezo cha haki za binadamu au kutetea mashoga.


Ukienda China au Urusi uwe na shughuli maalum ya kufanya kama ni biashara au masomo, sio kuzamia tu
Nchi kama Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, unakuta imejaa wazamiaji wa Nigeria, Kenya, Congo na kwingineko ambao ikitokea tatizo kidogo ndio wa kwanza kuchoma nchi

Baadhi ya nchi za Ulaya Magharibi zimeanza kushtuka na kuanza kuchagua wanasiasa wenye mrengo wa kizalendo au wenyewe wanaita Far-Right ambao hawacheki na kima.

Italia imechagua waziri mkuu mwanamke mwenye msimamo wa kizalendo, Marekani ilimchagua Trump ambaye matatizo ya Covid ndio yalimuangusha ila sasa anaweza kumuondoa Biden, Ufaransa nayo Macron aliponea chup chup kwa mwanamama mwingine Le Penn, na baada ya haya mavurugu , Le Penn atadhinda

Huko Ujerumani pia kuna vyama kama AfD vyenye msimamo mkali kuhusu uhamiaji ambavyo vinapata umaarufu
Sababu waafrika ni wasaka fursa, sasa hivi hiyo flow yao inaenda kuwa redirected.
Saudia, Qatar na UAE ndiyo waliandaliwa mapema kuja kuwa destination ya Waafrika wengi.
Kati ya watu milioni 9+ wa UAE, watu 8+ ni raia wa kigeni huku raia wa nchi husika wakiwa ni kama 1.8 milion pekee, huku waafrika wakiwa ni 6.7% ya population.
Miaka miwili hadi mitano ijayo, Afrika itaanza 'kuelekezwa' Uarabuni baada ya India na China kuonekana 'kugoma' kuwakaribisha. Uarabuni imeonekana itakuwa ni rahisi sana sababu ya dini, japo hawakua tayari lakini issue ya dini imewapa kigugumizi, sababu wanaunganishwa na waafrika kupitia dini.
So game ipo well planned
 
View attachment 2675908

Kinachoendelea Ufaransa,
kilichotokea Marekani wakati wa maandamo ya Black Lives Matter, na uhalifu mkubwa kwenye nchi ambazo watu weusi ni wengi kama vile Brazil, South Afrika ni ishara kuwa mtu mweusi ukimchanganya na mtu mweupe lazima uhalifu, vurugu, malalamiko yasiyoisha yatakuwepo

Nchi za Magharibi zimekuwa zikiruhusu wahamiaji wengi weusi kwa kigezo cha haki za binadamu, watu hao wakienda huko hugeuka wahalifu na wanaoichukia nchi, na kosa kidogo tu wapo tayari kuchoma nchi nzima

Ndio maana nazikubali nchi za mashariki kama vile China, Urusi, nchi hizi huwezi kuona wakikaribisha wahamiaji weusi hovyo hovyo kwa kigezo cha haki za binadamu au kutetea mashoga.


Ukienda China au Urusi uwe na shughuli maalum ya kufanya kama ni biashara au masomo, sio kuzamia tu
Nchi kama Uingereza, Ufaransa, Marekani, Canada, unakuta imejaa wazamiaji wa Nigeria, Kenya, Congo na kwingineko ambao ikitokea tatizo kidogo ndio wa kwanza kuchoma nchi

Baadhi ya nchi za Ulaya Magharibi zimeanza kushtuka na kuanza kuchagua wanasiasa wenye mrengo wa kizalendo au wenyewe wanaita Far-Right ambao hawacheki na kima.

Italia imechagua waziri mkuu mwanamke mwenye msimamo wa kizalendo, Marekani ilimchagua Trump ambaye matatizo ya Covid ndio yalimuangusha ila sasa anaweza kumuondoa Biden, Ufaransa nayo Macron aliponea chup chup kwa mwanamama mwingine Le Penn, na baada ya haya mavurugu , Le Penn atadhinda

Huko Ujerumani pia kuna vyama kama AfD vyenye msimamo mkali kuhusu uhamiaji ambavyo vinapata umaarufu
"Backs are born with a sense of a half-mad mindset and self esteem".
By Jan Smuts
 
KUNA WARUSI WEUSI HUMU WA BUZA KWA MPALANGE KUMBE HATA HAWATAKIWI NA WARUSI WENYEWE😂😂😂👌
 
eti 'Nchi zenye weusi wengi kama vile SOUTH AFRICA'[emoji51][emoji51]

[emoji23][emoji23][emoji23]duh Mwana hataki hata South Africa Kuwe na Watu weusi Yaan mwamba Hajui kule white ndo wageni
 
Back
Top Bottom