Hii ndio sababu watu wengi wakitaka kufa hugombana wasife

Hii ndio sababu watu wengi wakitaka kufa hugombana wasife

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Mwanadamu hukuumbwa ili ufe. Uliumbwa ili uishi milele.

Mtu anapokuwa anakufa kabla hajakata moto huwa kuna pambano la kukataa kukubali kuwa anakufa. Hata wale waliomahututi hata kama kwa maumbile haonekani akifurukuta asife, huwa anapinga kabisa tukio hilo.

Kwa nini?
Mhubiri 3:11
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao;

Na suluhisho la hali ya kufurukuta au kugombania roho ni Kumuamini Yesu. Mtume Mohammad hakuacha kauli yoyote ya maana ya kuwatia moyo watakaomfuata, vilevile Butha, mizimu ya babu zako, mizimu ya kichina, kihindi na kiarabu na kizungu, Wanasayansi hawana kauli ya ujasiri baada ya kufa kwako, Atheism hauba kauli zaidi ya kukuvuruga na kukutelekeza..

Ni Yesu pekee ndiye mwenye kauli iliyonyooka kuhusu Yeyote atakayemfuata.
Yohana 6:37,39
Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.
Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho.

Hii ndio sababu inanifanya niendelee kumuamini Yesu katika hali zote.

Kumbukizi ya Kuzaliwa kwa Yesu ya dhehebu la kikristo la Katoliki waliyojitungia ikutafakarishe hili zaidi ya kitu kingine chochote.
 
Na kuhusu krismasi sio siku kuu ya ukristo kwasababu zifuatazo 1:Biblia haitaji Yesu alizaliwa tarehe ngapi au mwezi gani 2;Yesu hakuwai kuagiza wakristo washerehekee au kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa,na hata yeye licha ya miaka33 aliyoishi duniani hakuwai kusherehekea hiyo siku yake ya kuzaliwa Wala mitume wake hawakuwai kufanya sherehe hiyo na 3;Yesu aliagiza wakristo waadhimishe mlo wa jioni au meza ya bwana,ambapo alitoa mkate na divai kwakumaanisha mwili na damu yake kama dhabihu kwaajili ya kuwakomboa wanadamu,rejea LUKA22;19,20,,
 
Na katika Biblia watu pekee waliosherehekea siku zao za kuzaliwa walikuwa ni wapagani tu,wakwanza ni Farao mfalme wa Misri,ambapo katika kusherehekea alimkata kichwa mfanyakazi wake mmoja,na mtu wa pili alikuwa Herode,katika siku yake ya kuzaliwa ndiyo alimkata kichwa Yohana mbatizaji.
 
Mwanadamu hukuumbwa ili ufe. Uliumbwa ili uishi milele.

Mtu anapokuwa anakufa kabla hajakata moto huwa kuna pambano la kukataa kukubali kuwa anakufa. Hata wale waliomahututi hata kama kwa maumbile haonekani akifurukuta asife, huwa anapinga kabisa tukio hilo.

Kwa nini?
Mhubiri 3:11
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao;

Na suluhisho la hali ya kufurukuta au kugombania roho ni Kumuamini Yesu. Mtume Mohammad hakuacha kauli yoyote ya maana ya kuwatia moyo watakaomfuata, vilevile Butha, mizimu ya babu zako, mizimu ya kichina, kihindi na kiarabu na kizungu, Wanasayansi hawana kauli ya ujasiri baada ya kufa kwako, Atheism hauba kauli zaidi ya kukuvuruga na kukutelekeza..

Ni Yesu pekee ndiye mwenye kauli iliyonyooka kuhusu Yeyote atakayemfuata.
Yohana 6:37,39
Wote anipao Baba watakuja kwangu; wala ye yote ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe.
Na mapenzi yake aliyenipeleka ni haya, ya kwamba katika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufue siku ya mwisho.

Hii ndio sababu inanifanya niendelee kumuamini Yesu katika hali zote.

Kumbukizi ya Kuzaliwa kwa Yesu ya dhehebu la kikristo la Katoliki waliyojitungia ikutafakarishe hili zaidi ya kitu kingine chochote.
Mtu mwenye dhambi na asiye na imani ndiyo huwa hivyo.

Mwenye imani na Mwenyezi Mungu huwa anaukaribisha umauti na anaondoka kwa amani.
 
Ukifa ghafla...break of an eye...let say ajalini, huo muda unautoa wapi wa mapambano?
Hata kama ni sehemu ya sekunde.
Bado uhai utamtoka kwa kutokubali. Inaweza isionekane kwanje lakini connection ya uzima inapokata tukio hilo ubinadamu haulipokei kwa shangwe. Asili ya Mwanadamu haikuhusisha kifo kama sehemu ya maisha yake.
 
Hata kama ni sehemu ya sekunde.
Bado uhai utamtoka kwa kutokubali. Inaweza isionekane kwanje lakini connection ya uzima inapokata tukio hilo ubinadamu haulipokei kwa shangwe. Asili ya Mwanadamu haikuhusisha kifo kama sehemu ya maisha yake.
Kweli mkuu yani Mungu aliweka moyoni mwetu tamaa ya kuishi milele,na jambo zuri ni kwamba atawatimizia watakaostahili,kuishi milele katika Dunia paradiso.
 
Hata kama ni sehemu ya sekunde.
Bado uhai utamtoka kwa kutokubali. Inaweza isionekane kwanje lakini connection ya uzima inapokata tukio hilo ubinadamu haulipokei kwa shangwe. Asili ya Mwanadamu haikuhusisha kifo kama sehemu ya maisha yake.
Kweli mkuu yani Mungu aliweka moyoni mwetu tamaa ya kuishi milele,na jambo zuri ni kwamba atawatimizia watakaostahili,kuishi milele katika Dunia paradiso.
 
Na kuhusu krismasi sio siku kuu ya ukristo kwasababu zifuatazo 1:Biblia haitaji Yesu alizaliwa tarehe ngapi au mwezi gani 2;Yesu hakuwai kuagiza wakristo washerehekee au kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa,na hata yeye licha ya miaka33 aliyoishi duniani hakuwai kusherehekea hiyo siku yake ya kuzaliwa Wala mitume wake hawakuwai kufanya sherehe hiyo na 3;Yesu aliagiza wakristo waadhimishe mlo wa jioni au meza ya bwana,ambapo alitoa mkate na divai kwakumaanisha mwili na damu yake kama dhabihu kwaajili ya kuwakomboa wanadamu,rejea LUKA22;19,20,,
Krismass ni sikukuu ya dhehebu la Kanisa la kikristo Katoliki. Walikaa wao wenyewe kwa sababu zao kwenye vikao vyao wakaona kufanya hivyo kwa hekima yao ingewafaa.
Mfano mimi nisiye dhehebu hilo hainihusu labda niamue kuunga mkono maamuzi yao yakidini. Ila bado haitukatazi kuitumia kama fursa pia ya kumsema Yesu vyema ili wasiomjua wamfahamu kwa kina.
 
Mtu mwenye tatizo la pressure ya kushuka unamzungumziaje?
Sababu anakufa katulia bila kupambana.
Anasinzia na kulala moja kwa moja.
 
Na katika Biblia watu pekee waliosherehekea siku zao za kuzaliwa walikuwa ni wapagani tu,wakwanza ni Farao mfalme wa Misri,ambapo katika kusherehekea alimkata kichwa mfanyakazi wake mmoja,na mtu wa pili alikuwa Herode,katika siku yake ya kuzaliwa ndiyo alimkata kichwa Yohana mbatizaji.
Sherehe ya kuzaliwa kwa Yesu kiroho inafanyika kila siku kwa kukubali matendo yetu ya kibinadamu Yafe na yeye azaliwe kila siku kwenye maeneo ambayo bado tumekufa kiroho.

Matukio kama haya ni mazuri kuyatumia kukumbushana hatma zetu.
 
Mtu mwenye dhambi na asiye na imani ndiyo huwa hivyo.

Mwenye imani na Mwenyezi Mungu huwa anaukaribisha umauti na anaondoka kwa amani.
Wenye imani kwa Yesu maana huyu ndiye atafufua waliokufa. Ukiamini mfufuzi kifo unakikaribisha kama sherehe au hafla ya mapumziko.
 
Yesu hakuwai kuagiza wakristo washerehekee au kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa,na hata yeye licha ya miaka33 aliyoishi duniani hakuwai kusherehekea hiyo siku yake ya kuzaliwa Wala mitume wake hawakuwai kufanya sherehe hiyo
Huyu mdau Dionysius Exiguus mgunduzi wa Calendar unayotumia anaweza akawa na majibu haswa kwamba Yesu alizaliwa lini, Karne ya 6 hio

He wrongly dated the birth of Christ according to the Roman system (i.e., 754 years after the founding of Rome) as Dec. 25, 753.

Zaidi:
 
Huyu mdau Dionysius Exiguus mgunduzi wa Calendar unayotumia anaweza akawa na majibu haswa kwamba Yesu alizaliwa lini, Karne ya 6 hio

He wrongly dated the birth of Christ according to the Roman system (i.e., 754 years after the founding of Rome) as Dec. 25, 753.

Zaidi:
Anhaa ahsante mkuu,lakini hoja yangu ni kwamba siku ya Yesu kuzaliwa haikuwa na umuhimu wowote ndiomaana hata Biblia haikutaja.
 
Back
Top Bottom