Hii ndio Sababu ya Mungu Kutoonekana

Hii ndio Sababu ya Mungu Kutoonekana

Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake

Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake

Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake

Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.

Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.

Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.

Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo

ASANTENI
Mungu yupo utakuja kumwona tu siku moja japo si kwa macho ya nyama.
 
Hebu tujaalie unachokisema ndio sahihi.

Inamaana mungu hakuweka sababu yeyote ya sisi kumjua yeye, maana hakuweka mitume wala malaika, sawa.

Hivyo maana yake viumbe wote hawajui (wajinga) juu ya uwepo wa mungu.

Sasa wewe haya uliyoyaandika hapa umeyatoa wapi?

Hapa ndipo unadhihirika ubatili wa hoja yako maana unatudanganya.
 
Hebu tujaalie unachokisema ndio sahihi.

Inamaana mungu hakuweka sababu yeyote ya sisi kumjua yeye, maana hakuweka mitume wala malaika, sawa.

Ndio hakuweka Mitume wala Malaika.
Maana Kama Angeweka Kungekuwa na Muongozo Mmoja Tu siyo Miongozo na Vitabu vinavyopingana

Hivyo maana yake viumbe wote hawajui (wajinga) juu ya uwepo wa mungu.

Sasa wewe haya uliyoyaandika hapa umeyatoa wapi?

Hapa ndipo unadhihirika ubatili wa hoja yako maana unatudanganya.

Viumbe wanajua Uwepo wa Mungu ila Si kama Wewe unavyotafsiriwa kwenye Vitabu vyako. Kwamba Yupo mahali popote pale ukimuiita Anakuja kukusikiliza. Malaika, majini. Binadamu wote Tumeumbwa naye ila Hayupo Na Viumbe wake kila Kiumbe kipo mahali pake.

Kuhusu swala la Nimeyatoa Wapi nis Sawa na Nikuulize wewe umejuaje Kuhusu Mungu. Kila Kitu Kimeandikwa na Kusimulia na Mababu na Wazee wa Mwanzo kuwepo Hapa Ulimwenguni
 
Kuna watu wanasema Wamemuona Mungu.
Hao wanaodai wamemuona Mungu hawana tofauti na wewe, maana wewe unakuja na kuanza tu kusema Mungu hivi Mungu vile mara hivi mara hivi.

Najiuliza kwani wewe ni nani au una uhusiano gani na Mungu mpaka ukaweza kuyajua hayo yenye kuhusu Mungu na sie wengine tusijue?
 
Ndio hakuweka Mitume wala Malaika.
Maana Kama Angeweka Kungekuwa na Muongozo Mmoja Tu siyo Miongozo na Vitabu vinavyopingana



Viumbe wanajua Uwepo wa Mungu ila Si kama Wewe unavyotafsiriwa kwenye Vitabu vyako. Kwamba Yupo mahali popote pale ukimuiita Anakuja kukusikiliza. Malaika, majini. Binadamu wote Tumeumbwa naye ila Hayupo Na Viumbe wake kila Kiumbe kipo mahali pake.

Kuhusu swala la Nimeyatoa Wapi nis Sawa na Nikuulize wewe umejuaje Kuhusu Mungu. Kila Kitu Kimeandikwa na Kusimulia na Mababu na Wazee wa Mwanzo kuwepo Hapa Ulimwenguni
Kwahiyo hao wazee nao wameyatoa wapi ikiwa mungu hakutoa muongozo wowote?
 
Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake

Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake

Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake

Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.

Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.

Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.

Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo

ASANTENI
Sawa mfalme zumaridi,
Tumekusikia..
 
Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake

Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake

Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake

Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.

Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.

Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.

Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo

ASANTENI
Soma surah ikhlas utumuelewa MUNGU vizuri
 
Hii ni Forum huru. Si kila unachokijua wewe ndio ukweli. Unaweza Ukawa Umepotoshwa pia ndio mana unajaa Hasira

Fuatilia kitabu Ulichonacho utajua kwamba Mambo mengi yaliyoandikwa si Mambo ya Mungu bali viumbe walikaa wakaandika yao ili wakupotoshe akili yako na Watawale Hii dunia watakavyo.

Fuatilia kwa Makini utajua kwamba kuna Vita vilipoganwa kwenye hivyo vitabu vinaonyesha wazi kwamba malaika wa Mungu walipigwa na Wakashindwa na Shetani. Sasa Mungu anatumaje Malaika halafu wakaenda Kupigwa na Kushindwa


Wewe ukitumwa na Mungu hauwezi ukapigwa na viumbe vilivyokuzidi uwezo kiakili, kiteknolojia na kimaumbile?

Kwenye Manabii na mitume mbona nao walitumwa na Mungu Baadhi Yao waliuawa na watu?

Kwa Uelewa wako; unafikiri malaika wanafanana na kulingana uwezo?

Zipo Aina nyingi za malaika(wajumbe wa Mungu) waishio mbinguni. Wapo malaika wenye mbawa mbili, wapo wenye mbawa nne, sita mpaka 24.
Kuna makerubi na maserafi.

Unafikiri wanalingana uwezo?

Hata Majini yapo ya Aina kadhaa kulingana na jamii zao. Hayalingani uwezo Kama tulivyobinadamu.


Mungu kukutuma haimaanishi hautapigwa na waliokuzizi uwezo ikiwa ni Mungu ataruhusu upigwe
 
 
Mwenye Enzi Mungu haonekani kwa Sababu yeye hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Viumbe wake wapo walipo hana Upendeleo na Kiumbe Yeyote yule bali ana Enzi na Viumbe wake

Yeye hausiani na Viumbe wake na Wala hakai na Viumbe wake aliwaumba na Kuwaweka Katika Sayari zake na Kila Kiumbe akamjalia akili za Kuishi kwake

Habari za kwamba Mwenye Enzi Mungu Anaongea na Viumbe wake kupitia Malaika au Mwenyewe alikuwepo Duniani si Habari Sahihi. Na kama Ingekuwa hivyo mpaka leo hii basi Angekuwa anakuja Na Kuongea na Viumbe wake

Maana Kulingana na Vitabu Mwanzo alikuwa Anaongea na Kutembea bustanini na Kuongea na Viumbe wake ila Baadae akaacha na Kuanza kutuma malaika. Ila leo hii Hata hao Malaika Hawaonekani tena, Dhana hii Haiingii akilini Kwa Mtu anayetumia akili Timamu. Kitu kinachopelekea kwamba watu wengi wamepotoshwa kumhusu Mungu na Viumbe waovu.

Mwenye Enzi Mungu hakuwahi kufanya hayo yote hajawahi kaa na Viumbe wake wala kutuma Viumbe waende kwa Viumbe wengine kumuelezea yeye alivyo.

Hawa wanaoleta Ujumbe na Kusema Ni Ujumbe wa Mungu hawajatumwa Na Mungu mwenye Vyote bali ni Viumbe waharibifu waliokuja Duniani kimagendo. Na kuwaingia watu na Kusema Kupitia Vinywa vya Watu. Kama Vile Jini anavyoingia Kwa Mtu na kusema atakavyo.

Mungu Haonekani kwa Sababu hakai na wewe hapa Duniani na Hawezi onekana a maana Hayupo pamoja na Viumbe wake. Yeye yupo alipo na Wewe upo alipotaka uwepo

ASANTENI
Hivyo vitabu vya mwanzo, viliandikwa na nani kama sio binadamu??
 
Wewe ukitumwa na Mungu hauwezi ukapigwa na viumbe vilivyokuzidi uwezo kiakili, kiteknolojia na kimaumbile?

Kwenye Manabii na mitume mbona nao walitumwa na Mungu Baadhi Yao waliuawa na watu?
Ndugu yangu jiulize Mungu wa Kweli atume mtu halafu Huyo mtu ashindwe na Auawe. Yaani Mungu atume Kitu halafu kishindikane. Huyo atakuwa Mungu wa Kweli na Asiyeshindwa kitu kweli. Yaani Mungu aliyeumba Ulimwengu kwa Muujiza wake leo hii atume Kitu kishindikane na Kiuawe

Wewe huoni hao waliotumwa Walishindwa. Wakishindwa wao si ndio Mungu kashindwa ndugu yangu


Kwa Uelewa wako; unafikiri malaika wanafanana na kulingana uwezo?

Zipo Aina nyingi za malaika(wajumbe wa Mungu) waishio mbinguni. Wapo malaika wenye mbawa mbili, wapo wenye mbawa nne, sita mpaka 24.
Kuna makerubi na maserafi.

Unafikiri wanalingana uwezo?
Hata Majini yapo ya Aina kadhaa kulingana na jamii zao. Hayalingani uwezo Kama tulivyobinadamu.

KABLA Hujawajua Vizuri hao Viumbe jijue kwanza Wewe upoje kabla Hujajua viumbe wengine. Mjue Kwanza Mungu alikuumbaje ili uweje ndio ufuate Viumbe wengine



Mungu kukutuma haimaanishi hautapigwa na waliokuzizi uwezo ikiwa ni Mungu ataruhusu upigwe

Mungu hamtumi mtu maana Mungu hafanyi kazi zake kwa Kushirikiana na Viumbe wake. Hao wanaotuma ni Ma-mola wa Ulimwengu huu. Ndio maana Unawaona Sometimes mambo mengi yanashindikana pale wanapotuma hao Manabii na Mitume

Mungu Alifanya Vitu kwa Muujiza wake na Vikafanyika Havikushindikana Kufanyika. Ukiona Vinashindikana Ujue huyo Si Mungu mwenye Vyote
 
Paragraph ya nne, umezungumzia vitabu vya mwanzo, hata vyenyewe viliandikwa na binadamu
Ndio viliandikwa na Binadamu Ndugu. Ndio maana Nasema Tutumie Akili timamu kuvichambua Vitabu hivyo kujua Kama Ndani yake Vina Ukweli wa Kibinadamu na Ki utu kuliko kukubali mambo tu bila kutumia akili timamu
 
Binadamu wa kwanza Hakuongea na Mungu ila Aliwezeshwa kujua haya na Muujiza Wa Mungu
Inamaana mungu hakutuwezesha mimi na wewe kujiua haya Bali alimuwezesha binadamu wa kwanza kujua, na huyo ndio akawafikishia mababu ndio na sisi tukajua.

Sasa hapa huyo binadamu wa kwanza anakuwa anatofautigani na mtume/ mjumbe?
 
Kuna source yako muhimu na yenye kuaminika kuhusu hiki ulichoandika ?, au unaandika kulingana na upana wa ufahamu wako?.
 
Back
Top Bottom