Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Mambo Mtani Mrembo?Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.
Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.
Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.
Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
Wakati huo Yanga haikuwa vizuri. Mafanikio ya msimu mmoja yasingebali kila kituHii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,
Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi
Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........
TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO
View attachment 2620393
Ndio nasema mkishiriki nyinyi wenye vigezo inatosha.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sana aiseeeeehhhh
Sio hamtakiwi kushiriki kwa hiari yenu kenge nyie,HAMNA SIFA ZA KUSHIRIKI
What is the African Super League?
The African Super League is a tournament involving elite African football clubs.
The motive behind this new vision is the massive financial returns that will exceed the barrier of 200 million dollars, with the drive to generate close to $3bn in revenue.
This sum of money is believed to be used to develop and improve football stadia, infrastructure and the promotion of football in Africa.
Also, the participating clubs would be obliged to meet specific criteria with respect to youth and women’s football development in order to stay in.
Tuache ushabiki wa kishamba, Simba imestahili kuwa hapo kwa muda walau walijitahidi kufika robo fainali. Sisi tumekuwa imara kuanzia msimu uliopita na imara zaidi kimataifa msimu huu. Hebu tuache kusema vibaya watu bila sababu. Kikubwa timu yangu ya Yanga iwekeze zaidi na iwe na muendelezo mzuri kimataifa, Babra is a Super women, Simba wanatamani uwepo wakeHii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,
Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi
Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........
TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO
View attachment 2620393
utopolo hata mkipewa mapumziko ya mwaka mzima mtaendelea kucheza shirikisho tu.Kama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.
Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.
Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.
Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
wameelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimecheka sana aiseeeeehhhh
Sio hamtakiwi kushiriki kwa hiari yenu kenge nyie,HAMNA SIFA ZA KUSHIRIKI
What is the African Super League?
The African Super League is a tournament involving elite African football clubs.
The motive behind this new vision is the massive financial returns that will exceed the barrier of 200 million dollars, with the drive to generate close to $3bn in revenue.
This sum of money is believed to be used to develop and improve football stadia, infrastructure and the promotion of football in Africa.
Also, the participating clubs would be obliged to meet specific criteria with respect to youth and women’s football development in order to stay in.
caf gani wewee! caf champions league ni group stage ambayo ni nightmare kwa utopwinyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio nasema mkishiriki nyinyi wenye vigezo inatosha.
Sisi tunasubiri mashindano mengine ya CAF kwakua tunatofautiana vipaumbele.
Ulishaambiwa kule utopolo wenye akili ni hao [emoji111]Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Hongereni Kwa kuwa wabobezi wa robo fainali, timu zinatofautiana Malengo.caf gani wewee! caf champions league ni group stage ambayo ni nightmare kwa utopwinyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisema ubingwa wa shirikisho bwana..Mambo Mtani Mrembo?
Nasubiri ahadi yangu kwa hamu sana leo hii ikiwa Yanga atatangaza ubingwa wa NBC PL 2022/2023, nimekaa pale [emoji117][emoji142][emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mkuu [emoji38]Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,
Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi
Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........
TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO
View attachment 2620393
Unatumia makalio kufikiri!Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,
Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi
Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........
TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO
View attachment 2620393
Ingekuwa hivyo BERKANE, RAJA, na ZAMALEK wangeshiriki, tumia akili na sio Mk....ndu kufikiri.Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Chuki itakuua ndugu yangu, watalaamu ndio wanajua nani anastahili kushiriki na nani hastahili kushiriki kuwa mpoleKama Yanga tunahitaji kufanya vizuri kwenye mashindano yote msimu ujao hatutakiwi kushiriki michuano iyo.
Baada ya mashindano yetu ya ndani na CAF kwisha wachezaji wetu wanahitaji mapumziko Kwaajili ya Recovery.
Hii itatusaidia msimu mpya wa mashindano wachezaji kuwa fit Kwaajili ya michuano ya ndani na nje.
Kitendo Cha wachezaji kucheza bila kupumzika kinasababisha uchovu na majeruhi yasiyo kwisha kwenye timu.
Tuwaachie Simba watuwakilishe maana hakuna la maana watakalo fanya na wakirudi uku kwenye mashindano mengine tunaendelea kuwa nyanyasa Kwa kutwaa vikombe vyote.
Kongole sana mkuu kwa kuelewa kwa haraka[emoji1474]Tuache ushabiki wa kishamba, Simba imestahili kuwa hapo kwa muda walau walijitahidi kufika robo fainali. Sisi tumekuwa imara kuanzia msimu uliopita na imara zaidi kimataifa msimu huu. Hebu tuache kusema vibaya watu bila sababu. Kikubwa timu yangu ya Yanga iwekeze zaidi na iwe na muendelezo mzuri kimataifa, Babra is a Super women, Simba wanatamani uwepo wake