Hii ndio sababu ya sisi Yanga kutojumuishwa African Super League ingawa tuna sifa ya kuwemo

Hii ndio sababu ya sisi Yanga kutojumuishwa African Super League ingawa tuna sifa ya kuwemo

Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Enyimba ni yangapi?
 
Hongereni Kwa kuwa wabobezi wa robo fainali, timu zinatofautiana Malengo.
Wengine wanafikiria kutwaa makombe, wengine kombe lao ni robo fainali
tulia wewee! hiyo robo fainali ya champions league unaijua? tokea baba yako aishuhudie utopolo ikicheza group stage alikuwa na miaka 7 mpaka leo wew unazaliwa Una ndevu kibao unapiga makelele eti kombe la simba ni robo fainali.

haya wewe hilo kombe unalo? uto ni uto tu hata azaliwe ulaya[emoji23].
 
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Kweli yanga NI kandambili aisee, hivi kweli naamini yanga Wana roho za kichawi na ndio maana huwa hawataki kuona mafanikio ya wenzao,sishangai hata wanapombania fei Toto kisa TU hawataki kumwomba akifanikiwa kimaisha Sasa Jambo la kujiuliza siku Mpira wake ukiisha je mtaendelea kumng'ang'ania hivyo hvyo kikosini mwenu? Mpira siku hizi NI maslahi Kuna wangapi mmewaacha yanga na walikuwa na mapenzi haswa ya kweli na nyie? Sioni hajabu mentality hii mkitoka nayo nje kuja kutuonea hasadi sie, Simba ndio inayojulikana duniani kaka miaka yote nyuma NI Simba ndio iliyokuwa inapeperusha bendela ya EAst AFrica sio yanga, kupoteza msomi mmoja au 2 NI kawaida Sana kwani wachezaji NI watu huwa wanachoka kinacjotakiwa NI sisi tu kuongezea nguvu kwa wachezaji wapya.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Ndio nasema mkishiriki nyinyi wenye vigezo inatosha.
Sisi tunasubiri mashindano mengine ya CAF kwakua tunatofautiana vipaumbele.
Sio suala la vipaombele hapo wewe,hapo ni status tu.....


Levels,

Mnapaswa kupambana,imewachukua Simba sc misimu mitano kufikia hapo ilipo,sio suala la kulala na kuamka tu itoshe kufikia walipo SIMBA SC,

Hii ligi mnayochukua msimu wa pili huu wenzenu wamebeba 4 times ,back to back,

Huko CAF hawashangai SIMBA SC kufika robo,ila watashangaa ikikwama group stage,WAMESET STANDARD ambazo ninyi ni mlima mkubwa ,jitihada zitawafikisha walipo na sio chuki
 
Sio suala la vipaombele hapo wewe,hapo ni status tu.....


Levels,

Mnapaswa kupambana,imewachukua Simba sc misimu mitano kufikia hapo ilipo,sio suala la kulala na kuamka tu itoshe kufikia walipo SIMBA SC,

Hii ligi mnayochukua msimu wa pili huu wenzenu wamebeba 4 times ,back to back,

Huko CAF hawashangai SIMBA SC kufika robo,ila watashangaa ikikwama group stage,WAMESET STANDARD ambazo ninyi ni mlima mkubwa ,jitihada zitawafikisha walipo na sio chuki
Kwahiyo Standard ni kufika ROBO?
Yanga wanenda kuset STANDARD ya kubeba Kombe lenyewe
 
Hongereni Kwa kuwa wabobezi wa robo fainali, timu zinatofautiana Malengo.
Wengine wanafikiria kutwaa makombe, wengine kombe lao ni robo fainali
Sasa waweza shinda kombe bila kufika hiyo hatua ya robo????

Wewe msimu huu ulikuwa na lengo la kushiriki Loser cup?au ulidondokea bahati mbaya baada ya kutolewa katika ligi ya wanaume?
 
Ingekuwa hivyo BERKANE, RAJA, na ZAMALEK wangeshiriki, tumia akili na sio Mk....ndu kufikiri.
jipigepige kifuani alafu sema mimi utopolo sina akili






HUNA AKILI


HUNA AKILI



HUNA AKILI



HUNA AKILI
 
Kwahiyo Standard ni kufika ROBO?
Yanga wanenda kuset STANDARD ya kubeba Kombe lenyewe
Kombe gani sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkiambiwa hamna akili mnalalamika,dah


Wewe umetolewa hata makundi hujagusa,hatua za awali huko.....

Kuwa yanga ni tatizo
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hii dhambi waliyoifanya Simba itawatafuna, inafahamika kuwa Simba wametumia ujanja wa kuweka pandikizi la huyu mdada kule CAF ili aweze kucheza kazi zote chafu ikiwemo hii ya kuisagia kunguni Yanga SC ambayo ndio club inayofanya vizuri Africa Mashariki na kati kwa miaka hii ya sasa,

Mwanadada Barbara Gonzalez alijifanya kuacha kazi ya utendaji mkuu Simba SC ili kutupoteza maboya na wao kwenda kutusiribia kule CAF ili tusipate ushiriki wa Ligi hii kubwa na yenye thamani kuliko zote kwa ngazi ya vilabu hapa Afrika.Kwasasa huyu mdada ana nafasi kubwa kule CAF maana anaingia katika vikao vingi vya maamuzi

Kiasili msimu huu yanga nasi tulipaswa kuwemo kutokana na perfomance yetu katika michuano ya kimataifa na ya ndani........

TUSUBIRI AIBU ITAKAYOLETWA NA WENZETU MAKOLOKOCHO

View attachment 2620393
Na Mungu anavyowalaani tangu mtu wao kaenda huko Yanga inapepea tu aibu atapata yeye kila atakachosema itaonekana uzushi tu
 
Yanga mna sifa gani yaani hata leo Manchester city na psg wakichukua UEFA champions league hawawezi kuwa team kubwa barani ulaya kwa hyo kucheza kombe la looser na vibonde ndio mmeshakuwa wakubwa kweli yanga wenye akili ni wawili tu pale
 
Yanga mna sifa gani yaani hata leo Manchester city na psg wakichukua UEFA champions league hawawezi kuwa team kubwa barani ulaya kwa hyo kucheza kombe la looser na vibonde ndio mmeshakuwa wakubwa kweli yanga wenye akili ni wawili tu pale
 
Viwango vya CAF vya miaka 5 nyuma ndo vinaamua washiriki..hivi kweli barbra ndo awazuie Yanga kucheza na kina GSM wapo kimya tuu...hebu jaribuni hata ku google na kutumia akili basi japo kiduuuuchu....
Akili za mashabiki wa yanga sometimes zinakuwa nyuma ya makalio maana hata hawajui mchakato unavyokuwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom