Hii ndio sababu ya wanajeshi wengi kupigwa na Himars

Hii ndio sababu ya wanajeshi wengi kupigwa na Himars

Nadhani ni kweli. Ile ilikuwa timing ya hali ya juu. Kumbuka ni dkk ya ngapi wakati akili zote zinawaza na kushangilia mwaka mpya. Inaonekana kamanda wao aliwaruhu kwaajili ya New Year Wishes. Ndio Maana nasema mashambulizi yalifanyika kwa timing na akili ya Hali ya juu mno mno. Walijua muda huo kila mtu akili yake ilikuwa unawaza kushangilia mwaka mpya, kukumbatiana, kupongezana na kupeana wishes. KUMBUKA SETILAITI TAKRIBANI 500 ZA NCHI ZA MAGHARIBI ZINATUMIKA KUKUSANYA TAARIFA ZA KIINTELIJESIA DHIDI YA RUSSIA KWENYE ENEO LA MAPIGANO.. NA KATI YA HIZO SETELAITI ZA KIJESHI NI SABINI TUU ILA 470 NI SETELAITI ZA KIRAIA LAKINI ZINATUMIKA KINYUME NA MIKATABA YA KIMATAIFA.
WALITUMIA AKILI YA HALI YA JUU NA TIMING ILIYO PANGWA NA WATU WENYE AKILI NYINGI SANA.
RUSSIA WALIFANYA UJINGA WA HALI YA JUU.. WAMEFUNZWA KWA GHARAMA KUBWA YA DAMU NYINGI. ONE MISTAKE???
Hakuna aliyesalia ili aje kutoa ushuhuda hapa. Kwa hiyo ss sote tunadhani ilikuwa hivi ilikuwa vile. Ila ukweli unabaki pale pale kwamba wamekufa wengi na wamejeruhiwa wengi.
 
Kabisa ni uzembe

Russia anajua wazi anapigana na Nato indirectly. Nato wako bize kuwinda coordinates za wanajeshi wa Russia, halafu wanajiachia hivyo
Yani ukiangalia vyema utagundua jamaa wana deal na kuangamiza wanajeshi na kambi za jeshi tu..
Kama askari wao wangekuwa 79 wasinge kuwa na taharuki kiasi hiki, inaonekana ni wengi sana.
 
Yani ukiangalia vyema utagundua jamaa wana deal na kuangamiza wanajeshi na kambi za jeshi tu..
Kama askari wao wangekuwa 79 wasinge kuwa na taharuki kiasi hiki, inaonekana ni wengi sana.
Huo ndio ukweli kabisa. Hizo takwimu ni za kukisia kwani wapo waliosagika/sambaratika miili yao kiasi cha kutoweza kujulikana ni mtu mmoja au vipi, wapo waliocharangwa kama nyama buchani, waliorushwa kama popcorn, waliofukiwa kwenye kifusi, walioungua na kuwa mkaa au majivu kabisa n.k. Sio kazi rahisi eti leo hii unakuja na exact figure ni 79 na umeshasahau jana ulisema ni 63. Yan uchukue list ya wahudhuriaji (kama itakuwa haikuungulia humo) halafu uite majina -ukiona kimya ujue huyo ni RIP n.k. sio kazi rahisi kivile Asitudanganye hapa.
 
Wengine Bora mkalale,mapro wenyewe wa masuala ya vita tujadili mambo yetu hapa.mnatoa coment ambazo hazina kichwa Wala miguu.
 
Ile kauli ya Zelenskyy kuwa hawatasamehe ni ya kauli ya kisasi sana hao Warusi watakufa kama wadudu wasipoangalia huko...Himars zinatumwa 6 Nne zinapiga target hakuna vita hapo ni vile Dicteta hawafi watoto wake anaona poa tuu..
 
Back
Top Bottom