Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

Hii ndio sheria itakayo waumbua Simba sc Fifa

Kilicho inyima point 3 police dar dhidi ya simba ndio hicho hicho kitakacho inyima point 3 simba dhidi ya kagera na vice versa is true
 
Naomba kuuliza hapa pale mtu anapochelewa ku submitt claim/complaint chombo husika kinatakiwa ku struck out au ku dismiss hiyo matter ambayo imeletwa out of time...?
 
Kama hulijui vizur hili suala piga kimya brother, Kama uliangalia press conference ya TFF walikiri kuwa ni kweli Fakhi ana kadi tatu za njano
 
Points of facts zimekwisha jadiliwa na kutazamwa na vyombo vya soka vya chini.Fifa ni chombo cha juu cha soka itaangalia points of law na Vifungu vinavyobishaniwa sio points of facts.
 
Upo uwezekano mkubwa mechi ya simba na kagera kurudiwa kwenye neutral ground, kwa kufungwa na mbao jana yanga ubingwa bado upo mezani na huu ndiyo ukweli mchungu!
 
Kilicho wapeleka Simba FiFa sio ubingwa wa Yanga nikutaka kujua kama mchezaj mwenye kadi tatu anaruhusiwa kucheza ambaye pia sio mchezaji wa Yanga sasa nashangaa kuona Yanga ndio wanaolalamika nakupiga kelele Hata kama Fifa watasema Simba apewe point hatanyang'anywa Yanga ni kagera sasa sijuwi Maneno na mapovu ya Yanga yanatoka wapi
 
Wapenzi wa ile mipira ya mezani. Jamani, jitahidini basi angalao mshinde points pale U/taifa. Yanga hawajapewa points na tff bali waliziokotea uwanjani. Huo, ndo mpira kubalini yaishee. Mwisho wa ligi ndo mwanzo wa ligi nyengine, sio mwisho wa kucheza mpira. Next tyme hakikisheni mnawazaba hao kagera goli 100 kwa sekunde 2 ili wakome kuwashika shurubu.
Simba anazo points 68,Yanga anazo points 68 pia. Serengeti Boys ilikata rufaa na kushinda rufani yake na leo yuko Gabon,ndiyo utaratibu. Ukijichanganya lazima upokwe point tatu. Sasa kama watoa hukumu wenyewe wamejaa Usimba na Uyanga ndo maana unaona huu mkanganyiko,lakini ni straight point tatu Kagera anatakiwa kupokonywa bila ajizi.
Ni dosari kubwa sana kama hili likiachwa. Maana yake team zimepewa ruhusa kuchezesha mtu mwenye red card?
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
Kombe litaletwa! Hii kauli inachekesha sana. Ila ndio hivyo. Kwa gharama yoyote lazima mpewe kombe
 
Siku nyingine uwe unajitahidi kuficha ujinga wako Mkuu. Kwa kukusaidia tu kama Wewe ni Mtu wa Yanga FC kweli na unayajua ya ndani kabisa fuatilia haraka ujue nini kinaendelea sasa na kwanini Viongozi wa Yanga FC na wale Wabunge wa Yanga huku kukiwepo na Mwakilishi mmoja kutoka SportPesa wanapanga kwenda kutafuta suluhu kwa Uongozi wa Simba SC ili tu Simba wasiende huko FIFA kwa hofu moja kubwa tu kwamba ukweli ukijulikana TFF inaweza kuadhibiwa, Ligi Kusimamishwa na kubwa zaidi kuathiri uwakilishi wa Yanga FC kimataifa na pia kuathiri Udhamini wa SportPesa ambao kuna uwezekano mkubwa wao ndiyo wakawa Main Sponsor msimu ujao wa Premier League.

Jifunze kutofautisha Facebook ambapo kumejazana Wenzako mnaofanana Kiakili na huku JF ambapo ni Home of Great Thinkers.

Simba SC wakienda kweli FIFA Kesho tu asubuhi Yanga FC mtalileta wenyewe Kombe letu mitaa ya Msimbazi. Ombea tu haya mazungumzo yaende vizuri na busara itumike vinginevyo kuna dhahama kubwa inakuja na ambayo itamuharibia sana Rais Malinzi anayetaka kuwa Rais tena wa TFF katika Uchanguzi Mkuu ujao wa mwezi August 2017.
Acha urongo, Yanga itafute suluhu na wamatopeni?
 
Simba anazo points 68,Yanga anazo points 68 pia. Serengeti Boys ilikata rufaa na kushinda rufani yake na leo yuko Gabon,ndiyo utaratibu. Ukijichanganya lazima upokwe point tatu. Sasa kama watoa hukumu wenyewe wamejaa Usimba na Uyanga ndo maana unaona huu mkanganyiko,lakini ni straight point tatu Kagera anatakiwa kupokonywa bila ajizi.
Ni dosari kubwa sana kama hili likiachwa. Maana yake team zimepewa ruhusa kuchezesha mtu mwenye red card?
vipi kuhusu police dar dhidi ya simba?
 
Mimi shabiki wa yanga ktk vitu ninavyo shangaa ni simba kutishia tishia wanaenda fifa kwani yanga kawashikia nauli yao si waende kimya kimya alafu tuone kama uningwa watachukua wakati bingwa wa kihisoria ni YANGA tena bila point yoyote ya mezani wala mizengwe
 
Kama hulijui vizur hili suala piga kimya brother, Kama uliangalia press conference ya TFF walikiri kuwa ni kweli Fakhi ana kadi tatu za njano
Nope, iko barua ya hukumu waliyopewa Simba humu humu jf. Mengine yote ni uzushi wa mezani fc
 
Uko sahihi kabisa mkuu. Mikia wanadhani FIFA itaenda kuangalia mambi ya ushahidi.... mfano eti kweli kadi zilitolewa au hazikutolewa. Hiyo haipo kabisa, haima utaratibu kama huo. Cha kutazama hapo ni kama sheria zilifuatwa.
Huelew
 
We jamaa muongo sana kweli simba haitaki ubingwa inafanya mazungumzo na wakati jana yule tapeli wenu kawaonyesha waandishi wa habari kielelezo kuwa barua au rufaa yao imepokelewa au unataka tuamini maneno ya RAGE kuwa Simba ni mbumbumbu?!!

Umeshamaliza ili nami nikupe jibu lako mujarab kabisa?
 
Mkuu unamaanisha kweli 80s ama unamtishia tu jamaa? Nasomaga threads zako kimaudhui zinacontradict na umri wa mtu kuweza kuwa na uaezo wa kufuatilia mpira mid 80s. I mean some of your threads' contents are younger than your age!! Amazing!

Consult your Mum probably She can tell you more about Me.
 
Nahukia sana mtu anayeacha kujibu hoja na ku attack personalities. unapata wapi ujasiri wa kuwaita wenzio ni wa facebook na wewe ni wa great thinker wakati wewe ni kimeo zaidi! Usitudanganye wewe kuwa eti kuna watu wanatafuta suluhu hapa! hakuna kitu kama hicho. FIFA inasimamia sheria zake 17 na FA ndo inasimamia kanuni! Issue ya kanuni huwezi kuipeleka FIFA we mbumbumbu! Subiri utaona.

Tangia lini Yanga FC mkawa na akili?
 
Back
Top Bottom