Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
milioni mia moja.... hii ilikuwa bonus100,000,000 ni shingapi?
Kweli MAKOLO......tumepigwa Kitu kizito......hata zile 20 .... billion tulidanganywa [emoji23][emoji23][emoji23]Mmoja ni kiprofeshino na mwingine wa chuplichupli....
Mfano wa hundi ya malipo ya sportpesa kwa Yanga
View attachment 2311299
Mfano wa hundi ya malipo ya m-bet kwa simba
View attachment 2311298
Nadhani hapo mmejionea nani ana mkataba wa ukweli na nani katupiga changa la macho[emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Ambapo hiyo haijafikia vile vichenchi 168 ambavyo ni point tu kwenye ile 26Bmilioni mia moja.... hii ilikuwa bonus
Kwa hiyo, hiyo pichani ndio cheque ambayo kama timu mnakuja kuvimba huku mtandaoni?milioni mia moja.... hii ilikuwa bonus
thamani ya mkataba ilikuwa ni 12 BAmbapo hiyo haijafikia vile vichenchi 168 ambavyo ni point tu kwenye ile 26B
Kumbe mkataba ni wa sh. milioni mia moja?Mfano wa hundi ya malipo ya sportpesa kwa Yanga
yeye ameweka uzi wa mkatabamilioni mia moja.... hii ilikuwa bonus
Nani kakuambia kilichoandikwa kwenye jersey ni hundi?Point kubwa hapo sio kuonesha nani kalipwa nini ila kuonesha jinsi hundi zinzvyotengenezwa.... Hundi gani inaandikwa kwenye jezi? 🤣🤣🤣
MKATABA NA BONUS TOFAUTIyeye ameweka uzi wa mkataba
Hundi yake iko wapi?thamani ya mkataba ilikuwa ni 12 B
Haipo hapo kwenye picha mkuu, nafikiri hawakuionesha zaidi ya docs za mkatabaHundi yake iko wapi?
Hii diary au hundi?View attachment 2311302
Siku hizi yanga wanacheza na mikataba... Onesheni kitu kama hicho tuwaamini
View attachment 2311302Kwa hiyo, hiyo pichani ndio cheque ambayo kama timu mnakuja kuvimba huku mtandaoni?
Kaweka mkataba wa makubaliano na sio jezi 😅😅😅Hundi yake iko wapi?