UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Magufuli kama Nyerere wote wanatajwa sana mara kwa mara kwa mazuri na mabaya.Bora kwenye kuua?
kama hafananishwi na yeyote kwenye kuua na kuteka hapo sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli kama Nyerere wote wanatajwa sana mara kwa mara kwa mazuri na mabaya.Bora kwenye kuua?
kama hafananishwi na yeyote kwenye kuua na kuteka hapo sawa
Rubbish of the year, Magufuli will remain my hero foreverAmani iwe nanyi wanabodi
Leo nimeona nishare na nyie tofauti ndogo niliyoiona kati ya JPM na Samia Hadi sasa
1. Samia anafanya kazi kubwa sana ila haja invest kwenye mapambio ya kusifu na kuabudu.
Kielelezo cha haya ni takwimu kubwa zinazombeba zinazoendelea kutolewa hadi sasa kuhusu Tanzania kuipiku Kenya kuingiza bidhaa Uganda. Kama wote mmeona juzi bank kuu ya Uganda imetoa Takwimu kuwa kwa sasa Tanzania inaongoza kwa kuingiza bidhaa Uganda ikiipiku Kenya. Kama takwimu hizi zingetolewa kipindi cha JPM hadi sasa Msemaji wa Serikali angekuwa ameshaita press conference kulisema, Mataga nao wangekuwa wameshatengeneza picha kibao na zinasambaa kwenye mitandao, huku Gerson Msigwa nae akiwa anapost kwenye page yake na vijembe kibao.
Kwa upande mwingine Musiba na Magazeti yake wangekuwa wameshaandika nakala kibao kwenye magazeti yao na kumsifia JPM Kama JPM na wala sio CCM wala serikali. Bila kusahau vipindi vya TBC na Channel kuongelea hili Kwa kirefu zaidi.
2. Kuna kazi kubwa inafanywa kwenye miradi Ila Samia hapendi kuchukua sifa yeye Kama yeye bali kwa Serikali kwa ujumla.
Mfano wa haya ni kama ifuatavyo.
Jana Mkoa wa Dar es Salaam wamesaini mikataba kupitia tarula na wakandandari kujenga na kukarabati barabara za Maeneo ya Jiji la Dar es Salaam.
Ingekuwa kipindi cha JPM mikataba hii ingesainiwa Ikulu huku kukiwa na live coverage na mbele ya JPM peke yake. Ili siku ya mwisho sifa zirudi kwake kuwa yeye ndo ametoa hizo hela huku Paul Makonda akitoa sifa kem kem na kumfananisha JPM na Mtume au Nabii.
Ila chini ya Samia, Mkataba huu umesainiwa na Mkuu wa Mkoa tena bila hata Live coverage. Samia anataka kuonesha serikali inafanya kazi ila JPM alikuwa anataka kuonesha kuwa yeye ndo anafanya kazi. Kusaidiwa kwa Mkataba huu ni matunda yalioanza kuonekana na tozo ya miamala ambayo pesa zake ndo zinaenda kujenga hizi barabara kupitia Tarula Ila hatuoni majigambo haya kwa Samia.
Mwisho wa mfano kwenye hili jambo la pili ni Bandari ya Tanzania kupokea meli kubwa sana iliyoingiza mizigo ambayo asilimia 65 inaenda nchi za jirani. Ingekuwa kipindi cha JPM jambo hili pia lingefanywa kwa live coverage na sifa zote zingemrudia JPM kuonesha idadi ya mizigo kwenda nje kupitia Bandari yetu imeongezeka. Ila kwa Samia wala hili tukio halikuwa na live coverage na hakukuwa na mapambio ya kusifu na kuabudu kwake Samia Kama amekuwa Nani au mwokozi.
Mwisho napenda kusema kwa uchunguzi wangu mdogo, Samia anafanya mambo makubwa sana ila kimya kimya huku akiwa hataki sifa zirudi kwake binafsi tofauti na Mtangulizi wake ambae hata kwa madogo aliyokuwa akifanya sifa alitaka zirudi kwake binafsi. Anaendelea kutoa hela Bwawa la Nyerere na ujenzi unaendelea, anaendelea kutoa hela kwa wakandarasi wa barabara na reli na zinajengwa sana Kama inavyoonekana kule Mji wa Serikali Mtumba na Pia Kwenye reli ya umeme ila huyu mama hataki na hapendi sifa kwake binafsi bali kwa Chama chake na serikali yake.
Hongera Rais Samia.
Huyu ni majeruhi kwa utawala wa Magufuli [emoji1787]Haipiti siku JPM hajaongelewa
Kuna alama ameiacha ndo maana hakauki midomoni mwa wengi iwe kwa wema au ubaya
Pumzika salama raisi wangu,binafsi nilikukubali sana[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Tuko wengi kama wewe Shibela. Alale kwa amani. Maisha yake yalikuwa zawadi kwetu watanzania.Haipiti siku JPM hajaongelewa
Kuna alama ameiacha ndo maana hakauki midomoni mwa wengi iwe kwa wema au ubaya
Pumzika salama raisi wangu,binafsi nilikukubali sana[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Usipende kumlinganisha Nyerere na vitu visivyo faaMagufuli kama Nyerere kwa kutajwa mara kwa mara.
Nisinlinganishe katika nini? unatakiwa useme maana mimi kwa imani yangu nachojua ni Mungu pekee ndio alinganishwi na chochote ila Nyerere alikuwa binaadamu na Magufuli pia alikuwa binaadamu, sasa unaanzaje kusema nisiwafananishe bila kusema nisiwafananishe katika nini? Mimi nimeeleza Magufuli ni kama Nyerere kwa kutajwa sana hakuna mwengine anayetajwa sana kama Nyerere isipokuwa Magufuli tu.Usipende kumlinganisha Nyerere na vitu visivyo faa
Hii inaonesha kwamba utendaji wa Magufuli ni wa kuwajuza wananchi nini serikali inafanyaHongera
Magufuli ametajwa sana katika kipindi gani? Na wapi? Ndio hapo umlinganishe na Nyerere ukipata majibuNisinlinganishe katika nini? unatakiwa useme maana mimi kwa imani yangu nachojua ni Mungu pekee ndio alinganishwi na chochote ila Nyerere alikuwa binaadamu na Magufuli pia alikuwa binaadamu, sasa unaanzaje kusema nisiwafananishe bila kusema nisiwafananishe katika nini? Mimi nimeeleza Magufuli ni kama Nyerere kwa kutajwa sana hakuna mwengine anayetajwa sana kama Nyerere isipokuwa Magufuli tu.
Unataka kusema nini mkuu? kama unacho cha kusema unasema.Magufuli ametajwa sana katika kipindi gani? Na wapi? Ndio hapo umlinganishe na Nyerere ukipata majibu
Alinijeruhi lini na wapi??Huyu ni majeruhi kwa utawala wa Magufuli [emoji1787]
Mdini kivipi ? Embu fafanua?Nlichogundua mleta mada ni mdini sana
kweli tozo na levyHaipiti siku Kwa sababu Samia anafanya mazuri na makubwa
Kuna kuwajuza ambapo Rais Samia anafanya ipasavyo na kuna kusifu na kuabudu. Aliyepita aliwekeza kwenye kusifu na kuabuduHii inaonesha kwamba utendaji wa Magufuli ni wa kuwajuza wananchi nini serikali inafanya
Kwa hiyo unaona sifa habari kwenda kuipata benki kuu ya Uganda
Hujaona tozo za Mwezi tu Tarula wameingia mikataba kujenga barabara za Dar?? Huoni kuwa tozo ni muhimu?kweli tozo na levy
Siku za ushamba zimepita na tulidanganywa na kutishwa sana.Amani iwe nanyi wanabodi
Leo nimeona nishare na nyie tofauti ndogo niliyoiona kati ya JPM na Samia Hadi sasa
1. Samia anafanya kazi kubwa sana ila haja invest kwenye mapambio ya kusifu na kuabudu.
Kielelezo cha haya ni takwimu kubwa zinazombeba zinazoendelea kutolewa hadi sasa kuhusu Tanzania kuipiku Kenya kuingiza bidhaa Uganda. Kama wote mmeona juzi bank kuu ya Uganda imetoa Takwimu kuwa kwa sasa Tanzania inaongoza kwa kuingiza bidhaa Uganda ikiipiku Kenya. Kama takwimu hizi zingetolewa kipindi cha JPM hadi sasa Msemaji wa Serikali angekuwa ameshaita press conference kulisema, Mataga nao wangekuwa wameshatengeneza picha kibao na zinasambaa kwenye mitandao, huku Gerson Msigwa nae akiwa anapost kwenye page yake na vijembe kibao.
Kwa upande mwingine Musiba na Magazeti yake wangekuwa wameshaandika nakala kibao kwenye magazeti yao na kumsifia JPM Kama JPM na wala sio CCM wala serikali. Bila kusahau vipindi vya TBC na Channel kuongelea hili Kwa kirefu zaidi.
2. Kuna kazi kubwa inafanywa kwenye miradi Ila Samia hapendi kuchukua sifa yeye Kama yeye bali kwa Serikali kwa ujumla.
Mfano wa haya ni kama ifuatavyo.
Jana Mkoa wa Dar es Salaam wamesaini mikataba kupitia tarula na wakandandari kujenga na kukarabati barabara za Maeneo ya Jiji la Dar es Salaam.
Ingekuwa kipindi cha JPM mikataba hii ingesainiwa Ikulu huku kukiwa na live coverage na mbele ya JPM peke yake. Ili siku ya mwisho sifa zirudi kwake kuwa yeye ndo ametoa hizo hela huku Paul Makonda akitoa sifa kem kem na kumfananisha JPM na Mtume au Nabii.
Ila chini ya Samia, Mkataba huu umesainiwa na Mkuu wa Mkoa tena bila hata Live coverage. Samia anataka kuonesha serikali inafanya kazi ila JPM alikuwa anataka kuonesha kuwa yeye ndo anafanya kazi. Kusaidiwa kwa Mkataba huu ni matunda yalioanza kuonekana na tozo ya miamala ambayo pesa zake ndo zinaenda kujenga hizi barabara kupitia Tarula Ila hatuoni majigambo haya kwa Samia.
Mwisho wa mfano kwenye hili jambo la pili ni Bandari ya Tanzania kupokea meli kubwa sana iliyoingiza mizigo ambayo asilimia 65 inaenda nchi za jirani. Ingekuwa kipindi cha JPM jambo hili pia lingefanywa kwa live coverage na sifa zote zingemrudia JPM kuonesha idadi ya mizigo kwenda nje kupitia Bandari yetu imeongezeka. Ila kwa Samia wala hili tukio halikuwa na live coverage na hakukuwa na mapambio ya kusifu na kuabudu kwake Samia Kama amekuwa Nani au mwokozi.
Mwisho napenda kusema kwa uchunguzi wangu mdogo, Samia anafanya mambo makubwa sana ila kimya kimya huku akiwa hataki sifa zirudi kwake binafsi tofauti na Mtangulizi wake ambae hata kwa madogo aliyokuwa akifanya sifa alitaka zirudi kwake binafsi. Anaendelea kutoa hela Bwawa la Nyerere na ujenzi unaendelea, anaendelea kutoa hela kwa wakandarasi wa barabara na reli na zinajengwa sana Kama inavyoonekana kule Mji wa Serikali Mtumba na Pia Kwenye reli ya umeme ila huyu mama hataki na hapendi sifa kwake binafsi bali kwa Chama chake na serikali yake.
Hongera Rais Samia.
Bado unademka na mama!!!! Sisi tunalia na tozooooo!Amani iwe nanyi wanabodi
Leo nimeona nishare na nyie tofauti ndogo niliyoiona kati ya JPM na Samia Hadi sasa
1. Samia anafanya kazi kubwa sana ila haja invest kwenye mapambio ya kusifu na kuabudu.
Kielelezo cha haya ni takwimu kubwa zinazombeba zinazoendelea kutolewa hadi sasa kuhusu Tanzania kuipiku Kenya kuingiza bidhaa Uganda. Kama wote mmeona juzi bank kuu ya Uganda imetoa Takwimu kuwa kwa sasa Tanzania inaongoza kwa kuingiza bidhaa Uganda ikiipiku Kenya. Kama takwimu hizi zingetolewa kipindi cha JPM hadi sasa Msemaji wa Serikali angekuwa ameshaita press conference kulisema, Mataga nao wangekuwa wameshatengeneza picha kibao na zinasambaa kwenye mitandao, huku Gerson Msigwa nae akiwa anapost kwenye page yake na vijembe kibao.
Kwa upande mwingine Musiba na Magazeti yake wangekuwa wameshaandika nakala kibao kwenye magazeti yao na kumsifia JPM Kama JPM na wala sio CCM wala serikali. Bila kusahau vipindi vya TBC na Channel kuongelea hili Kwa kirefu zaidi.
2. Kuna kazi kubwa inafanywa kwenye miradi Ila Samia hapendi kuchukua sifa yeye Kama yeye bali kwa Serikali kwa ujumla.
Mfano wa haya ni kama ifuatavyo.
Jana Mkoa wa Dar es Salaam wamesaini mikataba kupitia tarula na wakandandari kujenga na kukarabati barabara za Maeneo ya Jiji la Dar es Salaam.
Ingekuwa kipindi cha JPM mikataba hii ingesainiwa Ikulu huku kukiwa na live coverage na mbele ya JPM peke yake. Ili siku ya mwisho sifa zirudi kwake kuwa yeye ndo ametoa hizo hela huku Paul Makonda akitoa sifa kem kem na kumfananisha JPM na Mtume au Nabii.
Ila chini ya Samia, Mkataba huu umesainiwa na Mkuu wa Mkoa tena bila hata Live coverage. Samia anataka kuonesha serikali inafanya kazi ila JPM alikuwa anataka kuonesha kuwa yeye ndo anafanya kazi. Kusaidiwa kwa Mkataba huu ni matunda yalioanza kuonekana na tozo ya miamala ambayo pesa zake ndo zinaenda kujenga hizi barabara kupitia Tarula Ila hatuoni majigambo haya kwa Samia.
Mwisho wa mfano kwenye hili jambo la pili ni Bandari ya Tanzania kupokea meli kubwa sana iliyoingiza mizigo ambayo asilimia 65 inaenda nchi za jirani. Ingekuwa kipindi cha JPM jambo hili pia lingefanywa kwa live coverage na sifa zote zingemrudia JPM kuonesha idadi ya mizigo kwenda nje kupitia Bandari yetu imeongezeka. Ila kwa Samia wala hili tukio halikuwa na live coverage na hakukuwa na mapambio ya kusifu na kuabudu kwake Samia Kama amekuwa Nani au mwokozi.
Mwisho napenda kusema kwa uchunguzi wangu mdogo, Samia anafanya mambo makubwa sana ila kimya kimya huku akiwa hataki sifa zirudi kwake binafsi tofauti na Mtangulizi wake ambae hata kwa madogo aliyokuwa akifanya sifa alitaka zirudi kwake binafsi. Anaendelea kutoa hela Bwawa la Nyerere na ujenzi unaendelea, anaendelea kutoa hela kwa wakandarasi wa barabara na reli na zinajengwa sana Kama inavyoonekana kule Mji wa Serikali Mtumba na Pia Kwenye reli ya umeme ila huyu mama hataki na hapendi sifa kwake binafsi bali kwa Chama chake na serikali yake.
Hongera Rais Samia.