Hii ndio Value for Money ya kitita alichotumia Samia kupeleka wasaa Korea?

Hii ndio Value for Money ya kitita alichotumia Samia kupeleka wasaa Korea?

Ipo haja ya kwenda Kuongeza Mke Kenya ili kuja kupata Uzao wa Kijasiri miaka 30 ijayo.

Sisi Uzao wa Nyerere tumeonesha hatuna ujasiri wa kufanya maamuzi magumu kwenye boksi la Kura
Mkuu ni elimu. Trust me. Na usiniambie eti mbona tuna vyuo vikuu vingi. Elimu ya Bongo haina kiwango. Inajaza watu ujinga badalaya kuwaelimisha. Watu hawawezi kufikiri rationally. Watu hawajui matatizo yao yanatokana na nini. Na kingine ni uvivu. Watu wanataka kupata vitu kwa short cut na hawaamini kwenye kufanya kazi na kuwa na nidhamu kwenye matumizi. Wanadhani wanaweza kununua maji na yakawapa muujiza wa mafanikio.
 
Mkuu ni elimu. Trust me. Na usiniambie eti mbona tuna vyuo vikuu vingi. Elimu ya Bongo haina kiwango. Inajaza watu ujinga badalaya kuwaelimisha. Watu hawawezi kufikiri rationally. Watu hawajui matatizo yao yanatokana na nini. Na kingine ni uvivu. Watu wanataka kupata vitu kwa short cut na hawaamini kwenye kufanya kazi na kuwa na nidhamu kwenye matumizi. Wanadhani wanaweza kununua maji na yakawapa muujiza wa mafanikio.
Hatari sana Mkuu

Nchi imejaza Machawa Kila Kona 🙌

Na sasa ndiyo tumeongezewa janga la Kamari na Kubeti

Nakionea huruma kizazi Kijacho, huenda kikawa na hali mbaya kuliko kawaida
 
Najaribu kujitafakari kile kizazi cha manazi wa kijerumani au Red army Russians, Japanese kamikadze, au hata wajukuu wa Washington na watoto wa malkia halafu unafananisha na hawa wapiga soga huku wajukuu wa kambarage unabaki umeduwaa tu.
 
Mambo mengine sijui yanafanyika kwa maslahi gani.
Mbona hapeleki manesi,walimu,polisi na migambo wakaenda kula maisha ughaibuni. Hata wanaitwa nchi wahisani nawashangaa kuwezesha watu wanaofuja rasilimali
Watafikiwa nao subiri wasanii kwanza.
 
Mambo mengine sijui yanafanyika kwa maslahi gani.
Mbona hapeleki manesi,walimu,polisi na migambo wakaenda kula maisha ughaibuni. Hata wanaitwa nchi wahisani nawashangaa kuwezesha watu wanaofuja rasilimali
Inashangaza sana,kuwalipa maslahi na stahiki zao kama vyeo/madaraja imekuwa ngumu halafu ujinga huu unafanyika.

Tanzania inahitaji GEN Z 100×zaidi ya Kenya
 
View attachment 3034763
Mpaka sasa tumefichwa ni bilioni ngapi zimetumika. Lakini najiuliza hii ndio value for money?
Ki hasibu imekaaje hii ?

Ila wasanii waombe sasa vifaa vya production vipunguzwe kodi..maeneo ya serikali yatumike ktk sanaa

Serikali ingepeleka na ma director na ma producer, watu wa sound na make up
 
Kwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.



1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)

2. Ingia Invite & Earn

3. Bonyeza Redeem

4. Weka hii code 2ZJVO8ZK

Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
 
Mambo mengine sijui yanafanyika kwa maslahi gani.
Mbona hapeleki manesi,walimu,polisi na migambo wakaenda kula maisha ughaibuni. Hata wanaitwa nchi wahisani nawashangaa kuwezesha watu wanaofuja rasilimali
Ndege 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️ wafananao huruka pamoja.
 
Tukomae kulipa Kodi ili wasanii wale kulingana na urefu wa kamba zao
 
Back
Top Bottom