Hii ndio Value for Money ya kitita alichotumia Samia kupeleka wasaa Korea?

Hii ndio Value for Money ya kitita alichotumia Samia kupeleka wasaa Korea?

Lakini si mnajua hao wasanii ndiyo hutumika kuwapigia Kampeni Viongozi wetu kutokana na influence yao kwenye mitandao ya Kijamii.

Mambo ya 2025 yamekaribia

Tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta Chini 😜 🙌
Umemaliza Mkuu.
Hilo ndio lengo kuu.
 
Umemaliza Mkuu.
Hilo ndio lengo kuu.
Hii Nchi tunashida ya adui wawili wakubwa kati ya wale maadui watatu aliosema Mwl Nyerere wa Maradhi, Umasikini na Ujinga.

Sisi tuna ponzwa na Umasikini pamoja na Ujinga.

Hao maadui ndiyo wanafanya tuendelee kutumikishwa na Watawala Kwa kutumegea kipande cha mnofu ili kuwapoza watu wenye influence ili kuwaziba midomo walio wengi 🙌
 
Lakini si mnajua hao wasanii ndiyo hutumika kuwapigia Kampeni Viongozi wetu kutokana na influence yao kwenye mitandao ya Kijamii.

Mambo ya 2025 yamekaribia

Tuendelee kunywa mtori, nyama tutazikuta Chini 😜 🙌
Una mwanasheria?
 
Anaupiga mwingi kwa kweli.
Nyonzooo nyonzooo maamaee Nyonzo bin mvule Israel FOREVER whether you like it or not.

Nyoooonzooooo kammon

20240617_104327.jpg
 
Hiv mama kapu analotoa pesa anaulzaga salio au anatoa tuu hadi aambiwe kibuyu kimeishW
 
Una mwanasheria?
Koh Koh Koh ...........

Umefanya nikumbuke kwamba Nape huwa anasoma maoni humu na kuyapeleka Kwa Mama😜

Ila watanionea huruma Mimi Mzee wa miaka 79 🤗
 
Kwa kweli inauma sana kuona kodi zinachezewa kwa mambo ya kipuuzi yasiyokua na tija kwa taifa.
 
Tunaombeni na sisi wasanii wa sanaa ya wakubwa mtupeleke tukaonane na kina 100 khalifa na Cherokee
 
Mambo mengine sijui yanafanyika kwa maslahi gani.
Mbona hapeleki manesi,walimu,polisi na migambo wakaenda kula maisha ughaibuni. Hata wanaitwa nchi wahisani nawashangaa kuwezesha watu wanaofuja rasilimali
Nchi ya sanaa hao madoctor wamejaa mtaani no ajira,walimu ndio usiseme ila ujinga mara nyingi ndio unahela nyingi sn kuliko serious work and nirasihi kuufanya bila gharama kubwa
 
Hayo mabilioni yamelipwa hili watu wakaongee utoto maana hapo ni sawa ujui kiingereza harafu uanze kukiongea bila kujua hicho ndicho kiingereza au lugha za majini huko baharini!!! SHAME ON US MOTHER @#£%%KER..........OLE WENU MJE KWENYE OFISI YANGU MSEME TUMEFATA MATAKO LEVY MTAJUA HAMJUI
 
Waambiwe Korea haikuendelea kwa blah blah na umati wa jobless + machawa, Korea iliendelea kwa watu kufanya kazi kwa bidii kwa jasho na damu na sacrifice kubwa sana.

Kufanya kazi kwa bidii ndio kulileta Samsung, Hyundai, Ship buildings yards za kutosha nk na mwisho wa siku watu Bora wenye uchumi mzuri.
Shida kwa mfumo tulionaswa na IMF na World Bank, inaasababisha tozo na kodi kubwa kiasi inashindikana kuanzisha enterprise na zikakuwa kubwa.., ni lazima tujinasue kwanza kwenye mtego wa IMF na World Bank
 
Back
Top Bottom