Hii ndiyo “CV” ya Shetani. Hafai kuajiriwa popote!

Hii ndiyo “CV” ya Shetani. Hafai kuajiriwa popote!

God created Lucifer as a perfect and beautiful angel (Ezekiel 28:15). However, through pride and rebellion, Lucifer corrupted himself and became Satan, the adversary (Isaiah 14:12-15
If Lucifer was created perfect and beautiful by God, why did he change and become Satan?

Was that creation perferct or Imperfect?

And if God is omniscient[All knowings] why couldn’t He foresee this Satan rebellion?

Does this suggest a limitation in God’s power or knowledge?
 
Pamoja na yote hayo bado kuna watu wanafanya mengi kutoka kwake
Kuna wengine ni (binadamu) CV zao shetani akalale
Yaani wana play double life
Kukipambazuka ni mcha Mungu mzuri ila giza likiingia tu daa
Watu hao Mungu anawaambia hivi katika Ufu 3:15-16:
"Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu."
 
Watu hao Mungu anawaambia hivi katika Ufu 3:15-16:
"Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu."
Na hao ndio wanaotwa Wanafiki
Tunao wengi sana
 
I don't think if a demon was invented by a specific person
"I don't think" means using self perspectives, Thoughts and Ideas, but I understand how you feel 🤷

If satan isn't the creation of a specific person and you believe his existence, then how can you explain to me about his origin and his attributes?
 
Watu wengi wanamsikia Shetani, na wanaamini yupo, lakini hawajui yeye ni nani, alitoka wapi, anafanya nini na malengo yake ni nini. Ifuatayo ni “CV” yake. Imeandikwa kwa Kiingereza. Ukiona lugha iliyotumika ni ngumu, google translator itakusaidia kupata tafsiri ya Kiswahili:

Name: Satan (aka Lucifer, The Devil, The Accuser)

Objective:

To deceive, destroy, and enslave humanity through lies, manipulation, and sin.

“Academic” Qualifications:
  • PhD in Deception and Lies: Expert in manipulating truth to achieve evil goals.
  • Masters in Demonic Operations: Skilled in managing and deploying demons to oppress, torment, and mislead people (Mark 5:9).
  • Bachelor of Witchcraft Collaborations (B.W.C): Partners with witchdoctors, mediums, and occultists to create spiritual bondage (Leviticus 19:31).
  • LLB in Accusations: Specializes in presenting cases against believers before God, aiming to discredit their faith (Revelation 12:10).
  • Certified Engineer in Destruction (Eng. Destruction): Designs traps to destroy marriages, relationships, and societies (John 10:10).

Background and History:
  • Former Angel in Heaven:
    I once held a high position as a beautiful and powerful angel (Ezekiel 28:12-15). However, I rebelled against God, seeking to exalt my throne above God’s (Isaiah 14:12-14). This rebellion led to my expulsion from heaven along with a third of the angels who followed me (Revelation 12:7-9).

Skills and Characteristics:
  1. Demonic Leadership:
    Commands a vast network of demons to execute evil plans, torment individuals, and influence nations (Ephesians 6:12).
  2. Occult Consultant:
    Collaborates with witchdoctors, sorcerers, and false prophets to spread false teachings and enslave people in fear (Deuteronomy 18:10-12).
  3. Expert in Division:
    Sows discord in families, churches, and communities to hinder unity and progress (Proverbs 6:16-19).
  4. Master Manipulator:
    Twists God’s Word to confuse believers and lead them astray (Matthew 4:6).
  5. Father of Lies:
    Lies habitually to deceive mankind and separate them from God (John 8:44).
  6. Tempter Extraordinaire:
    Offers power, fame, and wealth to lure people into sin, only to destroy them later (Matthew 4:1-11).
  7. Accuser:
    Uses accusations to instill guilt and fear in believers, weakening their faith and hope (Zechariah 3:1).
  8. Destroyer of Souls:
    Works tirelessly to lead people to eternal destruction through sin and rebellion (1 Peter 5:8).
  9. Masquerader:
    Disguises as an angel of light to gain trust and deceive (2 Corinthians 11:14).
  10. Collaborator with the Flesh:
    Exploits human weaknesses, desires, and pride to tempt people into sin (Galatians 5:19-21).
  11. Mastermind of Fear:
    Uses fear to control minds and prevent people from living in faith and freedom (2 Timothy 1:7).
  12. Cowardly Defeated:
    Trembles at the name of Jesus and knows the ultimate destiny is the lake of fire (Revelation 20:10).

Work History:
  • Garden of Eden, Genesis 3:
    Successfully deceived humanity by twisting God’s words and appealing to pride.
  • Job’s Trials, Job 1-2:
    Inflicted suffering on Job through accusations and destruction.
  • Rebellion in Heaven, Revelation 12:
    Led an unsuccessful rebellion against God and was cast out with fallen angels.
  • Throughout Human History:
    Actively worked through demons, witchcraft, and false religions to lead millions away from God.
  • Modern Times:
    Influences media and technology to promote immorality, idolatry, and godlessness.

Sefree’s Attestation:
This "CV" is a truthful representation of Satan’s character, actions, and intentions. He was once in heaven but rebelled against God, leading to his downfall. Since then, he has used lies, fear, and manipulation to enslave humanity. Through demons, witchdoctors, and the twisting of God’s Word, he is to destroy all that is good. However, his ultimate defeat is certain, and his eternal destiny is sealed in the lake of fire (Revelation 20:10).

Do not employ him in any area of your life. Resist him, and he will flee. Instead, trust in Jesus Christ, who offers life, peace, and victory (James 4:7).
Dr. Satan!
Shetani kweli kasoma sana, hicho chuo kiko wapi na wahadhiri ni akina nani?
Je, alisoma pekee yake àu wdlikuwa wengi?
Tafadhali jibu haya maswali yangu kuna watu wanataka ku apply kusoma hapo.
 
Nimeacha kusoma nilipoona maneno former angel. Jamani jamani jamani, acheni kufuru wadau hizi story za kusema Shetani alikuwa malaika tena wengine wanasema alikuwa malaika mkuu, hazithibitiki kimaandiko msidanganywe. Shetani ni jini na siyo malaika tena ana elimu kubwa hasa lakini hakuwahi kuwa kiongozi kwa malaika mbinguni. Malaika mkuu ni Jibril (Gabriel) tangia enzi na enzi kabla na hata baada ya shetani kuasi na kulaniwa
 
Mungu alimuumba mtu. Mtu akamuumba shetani. Shetani akamuumba Yesu
Ikiwa Mungu alimuumba mwanadamu, na mwanadamu akaumba Shetani, basi inakuaje Shetani awe na uwezo wa kumuumba Yesu huyohuyo ambaye ni sehemu ya mpango wa uumbaji wa Mungu?

Je, Yesu ni mpango wa Mungu au Shetani?
 
Ikiwa Mungu alimuumba mwanadamu, na mwanadamu akaumba Shetani, basi inakuaje Shetani awe na uwezo wa kumuumba Yesu huyohuyo ambaye ni sehemu ya mpango wa uumbaji wa Mungu?

Je, Yesu ni mpango wa Mungu au Shetani?
Inaonekana hiyo "CV" hujaisoma vizuri. Isome tena ujue shetani alitoka wapi/alikuwa wapi kabla ya kutupwa duniani.
 
Watu wengi wanamsikia Shetani, na wanaamini yupo, lakini hawajui yeye ni nani, alitoka wapi, anafanya nini na malengo yake ni nini. Ifuatayo ni “CV” yake. Imeandikwa kwa Kiingereza. Ukiona lugha iliyotumika ni ngumu, google translator itakusaidia kupata tafsiri ya Kiswahili:

Name: Satan (aka Lucifer, The Devil, The Accuser)

Objective:

To deceive, destroy, and enslave humanity through lies, manipulation, and sin.

“Academic” Qualifications:
  • PhD in Deception and Lies: Expert in manipulating truth to achieve evil goals.
  • Masters in Demonic Operations: Skilled in managing and deploying demons to oppress, torment, and mislead people (Mark 5:9).
  • Bachelor of Witchcraft Collaborations (B.W.C): Partners with witchdoctors, mediums, and occultists to create spiritual bondage (Leviticus 19:31).
  • LLB in Accusations: Specializes in presenting cases against believers before God, aiming to discredit their faith (Revelation 12:10).
  • Certified Engineer in Destruction (Eng. Destruction): Designs traps to destroy marriages, relationships, and societies (John 10:10).


Background and History:
  • Former Angel in Heaven:
    I once held a high position as a beautiful and powerful angel (Ezekiel 28:12-15). However, I rebelled against God, seeking to exalt my throne above God’s (Isaiah 14:12-14). This rebellion led to my expulsion from heaven along with a third of the angels who followed me (Revelation 12:7-9).


Skills and Characteristics:
  1. Demonic Leadership:
    Commands a vast network of demons to execute evil plans, torment individuals, and influence nations (Ephesians 6:12).
  2. Occult Consultant:
    Collaborates with witchdoctors, sorcerers, and false prophets to spread false teachings and enslave people in fear (Deuteronomy 18:10-12).
  3. Expert in Division:
    Sows discord in families, churches, and communities to hinder unity and progress (Proverbs 6:16-19).
  4. Master Manipulator:
    Twists God’s Word to confuse believers and lead them astray (Matthew 4:6).
  5. Father of Lies:
    Lies habitually to deceive mankind and separate them from God (John 8:44).
  6. Tempter Extraordinaire:
    Offers power, fame, and wealth to lure people into sin, only to destroy them later (Matthew 4:1-11).
  7. Accuser:
    Uses accusations to instill guilt and fear in believers, weakening their faith and hope (Zechariah 3:1).
  8. Destroyer of Souls:
    Works tirelessly to lead people to eternal destruction through sin and rebellion (1 Peter 5:8).
  9. Masquerader:
    Disguises as an angel of light to gain trust and deceive (2 Corinthians 11:14).
  10. Collaborator with the Flesh:
    Exploits human weaknesses, desires, and pride to tempt people into sin (Galatians 5:19-21).
  11. Mastermind of Fear:
    Uses fear to control minds and prevent people from living in faith and freedom (2 Timothy 1:7).
  12. Cowardly Defeated:
    Trembles at the name of Jesus and knows the ultimate destiny is the lake of fire (Revelation 20:10).


Work History:
  • Garden of Eden, Genesis 3:
    Successfully deceived humanity by twisting God’s words and appealing to pride.
  • Job’s Trials, Job 1-2:
    Inflicted suffering on Job through accusations and destruction.
  • Rebellion in Heaven, Revelation 12:
    Led an unsuccessful rebellion against God and was cast out with fallen angels.
  • Throughout Human History:
    Actively worked through demons, witchcraft, and false religions to lead millions away from God.
  • Modern Times:
    Influences media and technology to promote immorality, idolatry, and godlessness.


Sefree’s Attestation:
This "CV" is a truthful representation of Satan’s character, actions, and intentions. He was once in heaven but rebelled against God, leading to his downfall. Since then, he has used lies, fear, and manipulation to enslave humanity. Through demons, witchdoctors, and the twisting of God’s Word, he is to destroy all that is good. However, his ultimate defeat is certain, and his eternal destiny is sealed in the lake of fire (Revelation 20:10).

Do not employ him in any area of your life. Resist him, and he will flee. Instead, trust in Jesus Christ, who offers life, peace, and victory (James 4:7).
mbona kama wana CCM?
 
Nimeacha kusoma nilipoona maneno former angel. Jamani jamani jamani, acheni kufuru wadau hizi story za kusema Shetani alikuwa malaika tena wengine wanasema alikuwa malaika mkuu, hazithibitiki kimaandiko msidanganywe. Shetani ni jini na siyo malaika tena ana elimu kubwa hasa lakini hakuwahi kuwa kiongozi kwa malaika mbinguni. Malaika mkuu ni Jibril (Gabriel) tangia enzi na enzi kabla na hata baada ya shetani kuasi na kulaniwa
Maandiko yanayothibitisha mbona yameandikwa wazi kwenye "CV"?
 
Back
Top Bottom